Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,411
- 11,061
Wasalaam JF,
Bila wivu ila ukweli usemwe, hawa jamaa tuliosoma nao primary, secondary na vyuo, akishapata udaktari wa Falsafa yaani PhD au uprofessa wanajikuta sana, wanajiona kama elimu yake ni uboss wakati elimu ni yake na maisha ni yake, kama wewe ni Frank, Anna, Rachel , Juma hilo ndio jina lako sasa sijui shida ni nini.
Huu upuuzi vipi huwa mnakutana nao?
Wadiz
Bila wivu ila ukweli usemwe, hawa jamaa tuliosoma nao primary, secondary na vyuo, akishapata udaktari wa Falsafa yaani PhD au uprofessa wanajikuta sana, wanajiona kama elimu yake ni uboss wakati elimu ni yake na maisha ni yake, kama wewe ni Frank, Anna, Rachel , Juma hilo ndio jina lako sasa sijui shida ni nini.
Huu upuuzi vipi huwa mnakutana nao?
Wadiz