Habari wana JF
Leo nipende kutoa uzi unaohusiana na maswala ya kifedha katika taifa hili la TANZANIA.
Ikumbukwe tangu aondoke mwendazake,deni la taifa lilikuta takribani trillion 8.2 tangu aachiwe kijiti na mkwere ambapo lilikuwa ni trillioni 35.
Ok tusirudi nyuma sana,ni vyema tuanzie hapa...