deni

Deni (born 26 July 1989) is an Indonesian weightlifter who competes in the 69 kg division. He placed 12th at the 2012 and 2016 Olympics. He won gold medals at the 2011 Universiade and 2013 and 2017 Southeast Asian Games.

View More On Wikipedia.org
  1. Raia Fulani

    Kuhusu Bajeti Kuu, mmesikia tu deni la Taifa na ufafanuzi wa bajeti ya Tr 56?

    Habari za mchana. Leo nimepata nafasi ya kusikiliza hotuba ya bajeti toka kwa Waziri. Pamoja na deni la Taifa kuendelea kukua, hii itupe ishara kwamba tunaenda uelekeo usio sahihi. Sijui ni kwa nini wananchi huku chini wanasononeka ila wakubwa huko juu wako kimya. Kubwa ninalotaka kulisemea...
  2. M

    Mama anaupiga mwingi, deni la taifa amelipaisha hadi kufikia Tsh Trilioni 107

    Barabara , kajenga Mama Dpw kawaleta Mama Flyover.... mama Mwendokasi...mama Shirika la ndege la Zanzibar, Mama Watalii kuongezeka kwa wingi licha ya Tanapa kutokutoa gawio zuri kama inavyopambwa... ni Mama, sjui wanampiga tu huko, mi sijui Ngorongoro kote kule ni Mama Deni kalipaisha kwa...
  3. nyachina

    Ongezeko la deni la taifa na ukuaji wa uchumi wa Tanzania

    DENI LA TAIFA Naomba kutoa hoja hii tafakarishi kwa mustakabali wa nchi yetu. Naomba tuwapime viongozi wetu katika ukuaji wa uchumi wa nchi ukilinganisha na ongezeko la deni. Tulinganishe ukuaji wa deni kati ya awamu ya Nne ya JK (miaka 10) na awamu hizi mbili za JPM na SSH. Wakati JK anaingia...
  4. Zanzibar-ASP

    PENDEKEZO: Liitwe deni la mama, na sio deni la taifa

    Kumekuwa na utamaduni wa kila pesa ya taifa inapotumika kwa maendeleo inasemwa ni pesa ambayo mama yetu ametoa kama fadhila kwa wananchi wake anaowapenda. Lakini pia umeonekana kuwa, kumbe sehemu kubwa ya hizo pesa ambazo mama yetu anazitoa huwa anakopa na mwisho hubakia kuwa deni la taifa...
  5. Zanzibar-ASP

    Tunaambiwa uchumi umekuwa na makusanyo ya mapato ya ndani yameongezeka sana, lakini deni la taifa limeongezeka maradufu. Deni litalipwaje sasa?

    Kuna vitu na mambo ukiyatafakari yanaumiza na kutia hasira mnoo. Hii nchi ina laana? Nini logic ya deni la taifa kuzidi kuongezeka kwa speed ya ajabu kuliko kipindi kingine chochote na wakati huo huo uwezo wetu wa kinchi kuwa na mapato na kukua kiuchumi ukielezwa kuwa juu kuliko kipindi kingine...
  6. W

    Kila Mtanzania anadaiwa takriban Tshs. Milioni 1.66 kutokana na deni la Taifa

    "Mama hana deni" kwa hiyo sisi ndo tuna deni?. Hizi hela zinazokopwa na kuambiwa sisi Wananchi ndo tunadaiwa huwa zinaenda wapi jamani, mkeka wa matumizi ya fedha kwenye miradi hauwekwi wazi tunaambiwa tu kuna miradi imefanyika. Tunataka kujua ni shing ngapi zimetumika? Kufikia Machi 2025...
  7. Inside10

    Serikali: Deni la taifa lafikia Tsh. Trilioni 107 ikiwa ni ongezeko la 14.9%

    Kutoka kwa Prof. Kitila akiwa bungeni muda huu amesema, Hadi kufikia Machi 2025, deni la Taifa lilifikia Sh107.7 trilioni kutoka Sh91.7 trilioni katika kipindi kama hicho mwaka 2024 ikiwa ni sawa na ongezeko la asilimia 14.9. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila...
  8. Nehemia Kilave

    Kuna majibu yoyote kutoka kwa mtaalamu wa fedha wa Yanga ya kwenda kulihakiki deni lao pale TFF ?

    Barua ya jana ya TFF ilijieleza vizuri kuwa Yanga wapeleke mtaalamu leo saa Nne ,kuna majibu yoyote ? Au ni Agenda ya kututoa kwenye mijadala ya Msingi.
  9. FRANCIS DA DON

    Fumbo la Hisabati: Analipa Shs. 14 kila mwaka, lakini deni lake linaongezeka kwa Shs. 10 kwa mwaka

    Kwa mfano mtu anadaiwa Shs. 60/= , akiwa analipa hilo deni kwa wastani wa shs. 15/= kwa mwaka , tunategemea baada ya miaka mitatu deni libaki Shs.15/=. Au kama anakopa tena kila mwaka sawa sawa na kiasi anacholipa, basi deni tunatarajia kibaki pale pale Shs.60/=. Maajabu. Pamoja na kulipa...
  10. Hyrax

    Hivi ikitokea mdaiwa wa HESLB hajawahi kuajiriwa mpaka maisha yake yote anazeeka lile deni inakuwaje?

    Naomba majibu wakuu kuna mtu wangu wa karibu hajawahi kuajiriwa huu mwaka wa 22.
  11. Mr Beach Boy

    Nawezaje kukwepa deni kwenye account Yangu.?

    Nilikopa boom advance bhana, Sasa hili boom ndio la mwisho na hela ikiingia tu kwenye account inakatwa automatically na system Wazee wa IT nitumie njia gani kukwepa deni hili ??
  12. J

    PreGE2025 Shangwe la Wafugaji: Chanjo Milioni 77 na Hereni Milioni 37 kutolewa bure na Serikali, Wafugaji wadai hawana deni tena na Mama Samia

    == Bila kujali mfugaji unamifugo mingapi Mama Samia atakupa chanjo na hereni kwa mifugo yako yote bure kabisa. Serikali inatarajia kuzindua Kampeni ya Chanjo ya Mifugo Kitaifa kati ya mwezi Mei hadi Juni, 2025 ambapo jumla ya dozi 19,099,100 za chanjo ya Homa ya Mapafu ya Ngombe (CBPP)...
  13. Kyenju

    Deni la Taifa la Marekani lazidi kupanda

    If foreign markets don’t trust the US gov’t debt instruments what gov’t do they trust more. 1. United States. • GDP (2023, nominal): ~$25.5 trillion (world’s largest economy). • National Debt (2023): ~$31.4 trillion • Debt-to-GDP Ratio: ~123% (2023). 2. Japan • GDP (2023, nominal): ~$4.2...
  14. Sumbaye

    Je, Ni kweli Mama hana Deni au hatumjui mdeni wetu?

    Kila nikipota mtaani nakutana na Mabango ya mama hana deni. Nikipita mitandaoni nakutana hashtags kwamba "Mama hana deni", "Mama ametenda" au Mama yuko kazini". Wabunge tuliowatuma kwenda bungeni nao wanaimba wimbo ule ule Mama hana deni. Tufafakari pamoja, ni kweli hana deni au sisi hatumjui...
  15. Faana

    Picha: Pale unapodaiwa na jirani yako halafu hulipi deni

    Nimeiona hii huko kwingine, kuna funzo hapa, haya yanatokea sana, miaka miwili iliyopita kuna jirani yangu mstaafu alimkopesha bwana mmoja aliyekuwa anamsaidia kazi za shambani, akatatulie matatizo ya kifamilia kijijini kwao, ila hivi karibuni kuna nakala ya mstaafu huyo imeonekana kwenye kaya...
  16. B

    David Kafulila: Deni la TZS97T ni stahimilivu kwa Vipindi vyote

    https://youtu.be/gjrrbUm9Xgg?si=wlBvnC5Dg4FuVziw Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila amesema deni la Tanzania ni stahimilivu kwa Vipindi vyote,
  17. DaudiAiko

    Deni la taifa litaendelea kuwa himilivu kama serikali itakopa kwa sababu za msingi

    Wanabodi, Suala la serikali mbalimbali kukopa fedha kwenye taasisi za fedha kama vile benki ya dunia au IMF halijaanza leo na wala halitaisha hivi karibuni. Katika dunia ya sasa, inaaminika kwamba mikopo ni njia mojawapo inayoweza kutumiwa na serikali yoyote katika kuendeleza miradi yake na...
  18. S

    Tetesi: Tanzania ikichukua mkopo, asilimia fulani lazima iende Zanzibar kama serikali inayojitegemea; lakini katika kulipa deni la Taifa, Zanzibar haihusiki?

    Kuna kitu hapa nimeelezwa kama ujanja fulani unaofanyika ambao kama ni kweli basi Tanzania bara tuna kila sababu ya kupiga kelele. Nimeambiwa hii mikopo mingi tunayomshangilia mama, kimsingi ni kwa ajili ya kuwainua Zanzibar. Inasemwa kila mkopo unaochukuliwa na Tanzania, Zanzibar lazima...
  19. Mwande na Mndewa

    Deni la Taifa ni deni la Tanzania sio Zanzibar!.

    .. Ukweli Ni Kwamba Deni La Taifa,ni deni la kinachoitw Tanzania,kwa Muktadha wa deni la Taifa la Tanzania, Ikumbukwe Zanzibar wana Deni lao kama Zanzibar mwaka jana lilikuwa Trillion moja tu Hivi karibun CAG wa Zanzibar watasoma report ya Zanzibar na Wazanzibar kuhusu deni lao la Taifa La nchi...
  20. Angyelile99

    Mazingira ya ukuaji wa deni la taifa

    deni la taifa mpaka sasa limekishwa kufikia asirimia 97 ambayo ni sambamba na sifa za mchi zisizo weza kukopesheka kwa baadae kama tu halito rejeshwa kwa wakati. nini sababu za kukua kwa deni hilo. kuna sababu kadha wa kadha, na miongoni mwake ni kama; 01 Rais kukosa washauri wazuri na...
Back
Top Bottom