deal

In cryptography, DEAL (Data Encryption Algorithm with Larger blocks) is a symmetric block cipher derived from the Data Encryption Standard (DES). Its design was presented Lars Knudsen at the SAC conference in 1997, and submitted as a proposal to the AES contest in 1998 by Richard Outerbridge.
DEAL is a Feistel network which uses DES as the round function. It has a 128-bit block size and a variable key size of either 128, 192, or 256 bits; with 128-bit and 192-bit keys it applies 6 rounds, or 8 rounds with 256-bit keys. It has performance comparable to Triple DES, and was therefore relatively slow among AES candidates.

View More On Wikipedia.org
  1. Daby

    JamiiForums Tanzania Una deal vipi na matengenezo ya nyumbani kwako usiyoweza kuyamaliza?

    Ni mimi pekee yangu hili linanitokea au hata kwa wanaume wengine/wababa? Utakuta kwa mfano kuna socket haifanyi kazi nyumbani, baiskeli ya mtoto, mlango au kifaa cha umeme,-kinapoharibika mara nyingi sitafuti fundi. Ninauhakika nitatengeneza kama sijui kutengeneza nitajifunza. Kama ni...
  2. Nazjaz

    JamiiForums Tanzania Ukizingua, Kikwete haku-deal na watu, ali-deal mtu

    Mzee Kikwete alikuwa vizuri sana kupangilia vitu vya kuongea hakuwa mropokaji na mtu kwa watu. Alijua kudeal na mtu siyo watu! Yaani kama issue ya Gwajiboy, yaani waumini wala asingewapiga mabomu ange deal na mhusika ila baada ya kufatuta hasa chanzo ni nini. Bahati mbaya sana Mama inawezekana...
  3. D

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mzize anaitajika zamalek , madali wamekuwa wengi , deal limekuwa cancelled

    I will be short Mzize zamalek deal. Madalali wamekuwa wengi kama board Yamakolo (Simba sc ) The deal has been stalled , due to large number of unknown agents , with zamalek unaware who to contract for the deal . A lot of red frags 🚨🚨🚨 . The admistration will see other options.
  4. Even MOre

    JamiiForums Tanzania Hivi ndivyo nilivyo deal na Jirani Bahiri

    NRNE 🔨 Leo nimekumbuka wayback mkasa wa kama miaka 6 hivi nyuma. Kuna kipindi nilipanga chumba maeneo flan nikiwa ni senior bachelor mmbobevu 😂 sasa kwenye nyumba ya mtaa niliopanga kulikuwa kuna chumba cha nje barabarani ambacho kilikuwa kinatumika kukodishwa kama kibanda cha biashara. Baada...
  5. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Life Lesson: Usifanye deal na Mwanamke

    Kwema wakuu? Leo, nimepata tukio moja la masuala ya hela ambalo nilifanya na mwanamke mmoja, kazi imekamilika, zimeanza ngonjera. Hili ni tukio la Nne maishani mwangu, so nimejifunza, usifanye deal na mwanamke. NEVER.
  6. R

    JamiiForums Tanzania Hivi hizi njemba zinazoiga iga biashara mna deal nazo vipi, mtu anakuja kufungua biashara kama yako pembeni yako

    Umeumiza kichwa kuanzisha biashara yako, si kwa lelemama, si kwa bahati nasibu, umekesha sana usiku kwasababu ya kufanya research, ulichunguza location, ukapima mzunguko wa wateja, ukapanga jinsi bidhaa zako zitakavyokaa, ukafikiria bei ambayo inaweza kuvutia wateja, ukajifunza mbinu bora za...
  7. P

    JamiiForums Tanzania Hivi mtu kama huyu una deal nae vipi? ananizungusha kunilipa pesa yangu

    Iko hivi... Kuna Mzee mmoja naheshimiana nae Sana, imepita kama muda alienda dukani kwangu kuchukua vifaa Kwa ajili ya kufanya finishing ya apartments zake anazojenga, akachukua vifaa vya 7,280,000/= ikaandikwa deni, sio mara ya kwanza kufanya hivo ni mtu nimeshafanya nae biashara muda mrefu...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Elon Musk says xAI has acquired X in deal that values social media site at $33 billion

    Elon Musk said on Friday that his startup xAI has merged with X, his social network, in an all-stock transaction that values the artificial intelligence company at $80 billion and the social media company at $33 billion. More...
  9. Mapenzi ya Mungu

    JamiiForums Tanzania What we know about US-Ukraine minerals deal

    What we know about US-Ukraine minerals deal 16 minutes ago Ian Aikman & James Gregory BBC News Share Save Reuters Ukraine's President Zelensky first discussed a minerals deal with then presidential candidate Donald Trump last September Ukraine says it has agreed to the terms of a "preliminary"...
  10. W

    JamiiForums Tanzania Uli deal vipi na rafiki aliewahi kukusaliti ? mkikutana kuna salamu au maongezi ?

    Nilikutana na usaliti kutoka kwa rafiki, anaongea shit kuhusu mafanikio yangu. nilijitenga naye kwa muda (kumpa space) aliniomba msamaha mara kadhaa, nikachukua muda wa kutafakari nikampa nafasi ya pili, Lakini akarudia usaliti wake, Nilim face macho kwa utosi nikamwambia hana utofauti na...
  11. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Mbowe na COVID 19 kula deal, nimesikitika sana-sana

    Watu tunakomaa humu kumlaumu Tulia na Samia kwa kuiletea hasara serikali kwa uwepo wa kina Mdee bungeni, kumbe wale wabunge ni wake wa Kigaila na Salimu Mwalimu? Yaani hawa wasaidizi wa Mbowe ndio waandae ushahidi mahakamani wa kuwatoa wake zao bungeni? Pamoja na mambo mengi ya hovyo ya Mbowe...
  12. Logikos

    JamiiForums Tanzania Truth be told, when it Comes to Relations, Women have a Raw Deal...;

    Being Emotional and Cultural Stereotypes as well as the need to Conform...., being hit-on from the time they reach puberty (hivyo kuitaji kuwakataa matapeli na kuepuka matamanio)....., Ingawa mambo yanabadilika nashangaa sana limetokea kundi la wanaume wanaolalamika kwamba katika uwanja huu wa...
  13. Mtoa Taarifa

    JamiiForums Tanzania Tanzania to Uphold Adani Container Terminal Deal Despite Allegations

    Tanzania will maintain its agreements with an Adani Group subsidiary despite the recent indictment of Gautam Adani, the group’s billionaire chairman, on charges of bribery and fraud, a senior ports authority official confirmed. Last week, Adani and his nephew faced fraud charges and arrest...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Hamisa Mobeto you're great. The Ki can't function anymore. DEAL DONE

    Simba gave you a Mission and you' ve accomplished it with outstanding performance. Hamisa you deserve to be awarded. Jamani wenye mawasiliano na Aziz Ki naomba mtumieni hii ili ajue Tz kuna Mafia waliotukuka
  15. Feisal2020

    JamiiForums Tanzania Mahakama Yamuachia Rapa Young Thug Baada ya Kukiria Makosa, Ala Plea Deal

    Nyota wa rap wa Marekani, Young Thug, ameachiwa kutoka gerezani jana Alhamisi baada ya kukiri mashtaka ya kushiriki katika uhalifu wa genge, kumiliki silaha, na kutumia dawa za kulevya. Kesi hii inatajwa kuwa kesi iliyochukua muda mrefu zaidi katika historia ya Georgia. Thug (Jeffery Lamar...
  16. Logikos

    JamiiForums Tanzania How questionable Adani deal makes electricity costlier (Bangladesh Case Study)

    Report by; Titu Datta Gupta & Sharier Khan The costly power from Adani’s 1,600MW coal power plant in India is one of the many reasons why Bangladeshis are paying significantly higher rates to use electricity in recent years With Bangladesh buying some of its power from India's electricity...
  17. T

    JamiiForums Tanzania Exchange deal ya kiwanja na toyota alphard no E

    Habari wapendwa! Kuna jamaa yangu ana uhitaji kibiashara hana mtaji wa hela ila anataka gari aina ya Alphard no E iliyo katika hali nzuri kwa ajili ya wazo lake kibiashara. YEYE: Kiwanja 30 kwa 30 Kipo kibaha mail moja Kina beacons tayari, kina pagale zuri hatua ya rinta, umeme na maji...
  18. G

    JamiiForums Tanzania Wanawake hawapendani, Una deal vipi na vita ya kimya kimya ya mke, dada zako na mama yako?

    Ni vita ambayo wao hudhani hatujui ipo lakini huwa tunajifanya washamba mambo yaende, kwa wanaume wengine huwa hawajui haya mambo wanaishia kuharibu. Wanaume wengi wanavuta jiko pale mambo yanapoanza kukaa sawa panapokuwa na chanzo cha kipato, nguvu ya pesa inakuwepo unaanza kusaidia nyumbani...
  19. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Deal done! Baada ya likizo kwisha.. Kaya zikafutwa

    Walianza kuhamishwa wanyama wa mwituni kwenda jangwani.. Kisha ikafuatia likizo ya mchongo ya kimyakimya na coumaflage ya kifo.. Ili kutoa nafasi kutengeneza mambo vizuri mezani Kila kitu kilipokaa sawa na mishekeli kuingia kibindoni ndipo likizo ikafika ukomo Kilichofuatia baada ya liziko ni...
  20. Mributz

    JamiiForums Tanzania Klabu ya Simba imepeleka ofa rasmi katika klabu ya KMC wakimuhitaji kiungo Awesu Awesu

    ... 🚨 𝗖𝗢𝗡𝗙𝗜𝗥𝗠𝗘𝗗 Klabu ya Simba imepeleka ofa rasmi katika klabu ya KMC wakimuhitaji kiungo Awesu Awesu. Mazungumzo yameenda vizuri. Simba SC wanataka waliwahi dirisha la usajili ambalo litafungwa leo usiku. Tayari klabu hizo mbili zimefikia hatua nzuri katika makubaliano yao kuhusu usajili...
Back
Top Bottom