Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Haki huinua Taifa, Nchi yetu imeanza kuingia midomoni mwa Watu kila kona duniani kwa sasa,
Kwa Taarifa hii tu, Dar es salaam itapokea wageni lukuki toka nje na ndani,
Kila Mzalendo lazima aone kazi nzuri na njema anayoifanya Rais Samia Suluhu Hassan kwa Tanzania...