daladala

Dala dala are minibus share taxis in Tanzania. Often overcrowded and operated at unsafe speeds, these minibuses developed as a response to an insufficient public transport system in the country. While the name may be a corruption of the English word "dollar", they are also referred to as thumni.Before minibuses became widely used, a truck with benches placed in the bed was the typical Tanzanian privately owned public transport. Called chai maharagwe, these were popular c. 1990.While dala dala may run fixed routes picking up passengers at central locations, they will also stop anywhere along their route to drop someone off or allow a prospective passenger to board.In contrast to most of these minibuses, in Dar es Salaam some dala dala are publicly operated as of 2008.

View More On Wikipedia.org
  1. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Arusha: Changamoto wanazopitia abiria wanaotumia Kituo Kikubwa cha Daladala Kilombero msimu huu wa mvua

    Kituo kikubwa cha daladala kilichopo Kilombero karibu kabisa na Soko la Kilombero jijini hapa kimegeuka kuwa kero kubwa hasa kipindi hiki cha mvua kutokana na kukosekana kwa sehemu ya kujikinga mvua kwa abiria wanaotumia kituo hicho. Muundo wa kituo hiki umejengwa kama uwanja wa mpira na sio...
  2. Kabwelavoice

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Stendi ya Daladala ya Mbezi Mwisho inanuka mkojo tupu

    Habari Wadau, Ukweli hii ni kero ambayo mwisho wa siku itakuja kuzaa magonjwa ya mlipuko. Stendi ya Mbezi mwisho ya daladala ambayo hata magari ya Mwendokasi yanapaki pale, kuna kero ya watu kukojoa hovyo ndani ya stendi huku walinzi na migambo wa jiji wakifukuzana na wamachinga tu lakini...
  3. The Mafia

    JamiiForums Tanzania Tahadhari: Kuna wizi mpya umeingia Dar es Salaam, Vituo vya Daladala tuwe makini

    Habari, Kuna Wizi Mpya Upo Stendi Za Daladala, hasa asubuhi muda ambao usafiri unasumbua, anatokea jamaa karibu yako nae anajifanya kulalamikia ugumu wa usafiri, na wewe unachukulia ni abiria mwenzio mnaweza kuzoeana kwa muda mkiongelea adha za usafiri, baada ya muda linatokea gari private...
  4. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Wametumwa kubomoa miundombinu yetu?

    TAZARA Flyover hapo , kwa Mfugale. Gari linapindukaje? Tena gari la namba za daladala. Serikali mpooo?
  5. Nyundo_tz

    JamiiForums Tanzania David Mwaibula, aliyebuni mistari ya daladala Dar es salaam yupo wapi?

    Wadau, Najua mtakuwa mnamkumbuka sana huyu "mheshimiwa" kwa style aliyokuja nayo ya kupiga ufito wa rangi tofauti tofauti kwa kila daladala za jijini ili iwe rahisi kwa abiria kutambua gari husika linapoishia kitu ambacho mikoa mingine ilikuja ikaiga. Pongezi zake! Lakini ilikuaje akapoteza...
  6. marehem x

    JamiiForums Tanzania Stend ya daladala Mbezi Louis ifikiriwe, UBUNGO manispaa amkeni

    Jamani ifike wakati kuwe na mapaparazi wa maeneo nyeti yenye matukio na mazingira hatarishi. Stend ya daladala ilengwe itajwe kama eneo sensitive. Kuna msongamano mkubwa sana wa binadam. Na vyakula mbogana vitoweo vikiuzwa eneo hili ni hatari sana na magonjwa ni rahisi sana kusambazwa jiji zima...
  7. Annie X6

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Stendi ya Daladala Mbezi iangaliwe kwa jicho pana

    Stend imekaa mkao mzuri tatizo kubwa ni management na administration ya stendi. Kwa ufupi stend inamzunguluko mkubwa sana wa binadam naweza kusema movement ni 1000 men and women per minute. Kwa wale ambao tulikuwa na maskani sana pale mtaa wa Kongo Kariakoo. Hapa Mbezi stend speed ni kubwa...
  8. itoko jr

    JamiiForums Tanzania Kusinzia kwenye daladala ni tabia mbaya sana

    Habarini wanaJF I hope uko fit. Moja kwa moja niende kwenye mada mara nyingi nikiwa kwenye daladala naona baadhii ya watu wanasinzia au kulala kabisa wakiwa wamekaa kweny seat huku wakikoroma na kushusha udenda mzito daaah inakera hadi mtu unajisikia kinyaa. Mimi binafsi hiyo tabia siipendi...
  9. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara wa malori ya mizigo wamekuwa kero kwa abiria Stendi ya Kilombero

    Kituo cha magari madogo ya abiria Kilichopo kilombero jijini Arusha maarufu kama stand ya Kilombero kimezidiwa na wingi wa shughuli nyingi za kiuchumi hususani biashara tofauti na Lengo kuu la kituo hicho cha daladala. Kituo hicho ndio kitovu cha daladala karibu zote zinazoelekea sehemu...
  10. Russia is not your enemy

    JamiiForums Tanzania Hii Tabia siipendi, unapanda kwenye daladala mwanamke anagandisha makalio kwenye mkwaju

    Hii Hali imenipata mara kadhaa. Hizi daladala za bongo mnajaa wanaume na wanawake na wamama walivyo na maeneo laini yaani unahisi kabisa kitu laini kinakugusa. Hii hali siipendi basi tu. Mola akinijaalia kauwezo nipate kausafiri niachane hii adha. Wanamama Muda mwingine hudhan tunapenda...
  11. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Je, ni ustaarabu ukiwa kwenye Daladala na una simu ya Tsh Milioni 1 na Laki 7 kisha kudai kwa kelele chenji ya Tsh 100 kwa kondakta?

    Sasa kama Wewe Abiria Mwenzangu umeshika Simu ya Gharama (ya Kitajiri) ya Tsh 1,700,000/= na Unaidai Chenji yako ya Tsh 100/= kwa Kondakta tena kwa Kelele nyingi Daladalani Mimi GENTAMYCINE Choka Mbaya mwenye Simu yangu hii ya Phillips Kitochi nifanyeje? Najua kuwa Hela yoyote ni Halali ya...
  12. BigTall

    JamiiForums Tanzania Vikapu vya kuhifadhi uchafu kwenye daladala za Dar es Salaam navyo ni uchafu pia

    Mamlaka za Mkoa ndani ya Dar es Salaam zilibuni jambo zuri la kuwepo kwa ndoo au mifuko au vyovyote unavyoweza kuviita vile vya kuhifadhia uchafu kwenye daladala. Lakini pamoja na hivyo nimefanya uchunguzi ambao si rasmi, nimegundua kuwa ndoo nyingi au hivyo vifaa vingi vinavyotika kuweka...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Wadada ndani ya Daladala

    Kuna hii kadhia ya kwenye daladala zetu, inanikera sana, ya abiria kusimama mistari miwili wakielekezana migongo. Makondakta wana ujuzi wa kupanga abiria, huoni hata nafasi imeachwa. Msongamano huu upo pia kwenye Mabasi yetu ya Mwendokasi, ingawa kule utaratibu si kama we kwenye daladala...
  14. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Daladala kugoma Februari 16, wanadai bajaji zinakwapua abiria wao na kuwamaliza

    Wamiliki na madereva wa daladala jijini Mwanza wamesema watasitisha kutoa huduma ya usafiri kwa wakazi wa jiji hilo kufuatia uwepo wa bajaji mjini zinazobeba abiria katika vituo vya daladala na kupelekea wao kushindwa kufanya kazi. Hayo yamebainishwa kwenye kikao maalum kilichowakutanisha...
  15. D

    JamiiForums Tanzania Stand ya daladala Mbezi Louis imegeuzwa soko?

    Ni jambo la kusikitisha sana Stand ya daladala Mbezi luis kugeuzwa soko, hasa nyakati za Jioni kuanzia saa 12 Jion na kuendelea. Ukipita stand ya Mbezi luis kuanzia barabara ya kwenda Kinyerezi kunakuwa na foleni kubwa sana daldala haziingii ndani ya stand zinapaki na kushusha abiria njiani kwa...
  16. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania AJABU ZA MBEYA NA DAR: Bodaboda, Bajaj, vipanya vs Coaster daladala

    Kwenye hii miji miwili ya MBEYA na DAR ES SALAAM kuna mambo yanachekesha sana. Unajiuliza wafanya maamuzi walikuwa wanatafakari kweli? Mbona walifanya maamuzi ambayo yako Illogical! Mwaka 2008 Dar es Salaam jiji walipiga marufuku mabasi madogo almaarufu vipanya "Hiace". Sababu ilikuwa ni...
  17. P

    JamiiForums Tanzania Muonekano wa kituo kipya cha daladala cha Kinyerezi

    #mamayukokazini #mamaanafanikisha #kaziiendelee
  18. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Utafiti usio rasmi: Wanaosinzia kwenye daladala wanavuta hewa chafu

    Baraza la Taifa la Uhifadhi Mazingira (NEMC), limezitaka taasisi za utafiti nchini kufanya utafiti kufuatia kuwepo kwa tafiti zisizo rasmi zinazoeleza kwamba, ukataji miti hovyo unafanya hewa ya ukaa kuongezeka na kusababisha watu wanapopanda kwenye daladala kuanza kusinzia. Akizungumza jijini...
  19. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Pamoja na kuitafuta miaka yangu hii ya 60 bado nikipanda Dala Dala nawapisha Wazee, ila Vijana 'mnauchuna' tu Vitini

    Ndiyo maana mnaishia tu Kuvuta Bangi, Kupewa hovyo Mimba, mnafeli hovyo Mashuleni, Akili hamna huku wengine mkipenda kuwa kama Dada zenu wakati ni Watoto wa Kiume. Nidhamu ni Ufunguo wa kila Jambo na chanzo cha Baraka Maishani hasa ikionyeshwa na Mtoto / Kijana mbele ya Wakubwa zake hata kama...
  20. Binadamu Mtakatifu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadada kwenye daladala

    Jamani kelele za hawa wadada et tunabambiwa ila sometime wanayatakaga wenyewe Nimekaa zangu kwenye siti mtu anakuletea kalio mpaka puani hata hajistukiii mbaya zaidi limewamba Sikutakiana lawama huku ikabidi nizuge nimelala maana sipendagi ujinga kibisa
Back
Top Bottom