BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,372
- 8,108
Wakuu, kuna jambo nataka kujifunza leo, hivi ni utaratibu kwenye Madaladala (Hasa ya Dar) kwamba Trafiki akipiga mkono anayetakiwa kwenda kuongea naye ni Kondakta?
Kwa ninavyofahamu ukisamishwa na Trafiki hautakiwi kushuka kwenye gari mpaka Trafiki aje akague anachokitaka bila wahusika wa gari kushuka, kama itatokea shida ndio unatakiwa kushuka kwaajili ya maelezo.
Sasa kwenye Daladala Kondakta anashuka kwenda mbele ya Gari au nyuma kufanya nini? Wasikilize wazee wa minyama hapa.
Kwa ninavyofahamu ukisamishwa na Trafiki hautakiwi kushuka kwenye gari mpaka Trafiki aje akague anachokitaka bila wahusika wa gari kushuka, kama itatokea shida ndio unatakiwa kushuka kwaajili ya maelezo.
Sasa kwenye Daladala Kondakta anashuka kwenda mbele ya Gari au nyuma kufanya nini? Wasikilize wazee wa minyama hapa.