Annie X6
JF-Expert Member
- Mar 16, 2023
- 405
- 751
Stend imekaa mkao mzuri tatizo kubwa ni management na administration ya stendi.
Kwa ufupi stend inamzunguluko mkubwa sana wa binadam naweza kusema movement ni 1000 men and women per minute.
Kwa wale ambao tulikuwa na maskani sana pale mtaa wa Kongo Kariakoo. Hapa Mbezi stend speed ni kubwa mno.
Serikali ya manispaa ya UBUNGO ifanye jambo pale itapata pesa nyingi sana kwa siku achilia mbali bidder waliempa akusanye.
Kuna uvujaji mkubwa sana wa shilingi. Nendeni kaeni Baraza la manispaa mbuni jinsi ya kupambana na wale wanaozurura pale stend wakijifanya maajenti wa mabasi na wafanyabiashara ndogondogo.
Ieleweke kwamba Magufuli bus terminal imeshawashinda. Magufuli bus terminal is one of the center of the park hapa jijini am apo pangekuwa hata eneo la utalii. Lkk nenda sasa hivi ni kero kero na jangwa la wahuni.
Magufuli bus terminal sio hoja yangu hapa lkn abiria wanaotumia stend ya hyo hutumia kituo kikuu cha daladala mbezi Lois aanzeni na kituo hiki. Kina uholela mwing mno.
Jeshi la usalama wa raia kazi yao inahitajika pale. Wawekeeni ofisi na walipeni posho na section zinazohusika zielezwe umuhimu huo.
Acheni kuifanya nchi hii kama hatuna akili bana. Kituo ni kero unaona kabisa watu wanakamatana wanafanya biashara bure bure hii kitu haikubaliki.
Maoni.
1. Waondoeni vijana pale kwa mbinu ya charge ya kuingia stend. Ana kqzi wanazofanya na kama ni kazi iwe inalipa mamlaka ya serikali ya manispaa
Kwa ufupi stend inamzunguluko mkubwa sana wa binadam naweza kusema movement ni 1000 men and women per minute.
Kwa wale ambao tulikuwa na maskani sana pale mtaa wa Kongo Kariakoo. Hapa Mbezi stend speed ni kubwa mno.
Serikali ya manispaa ya UBUNGO ifanye jambo pale itapata pesa nyingi sana kwa siku achilia mbali bidder waliempa akusanye.
Kuna uvujaji mkubwa sana wa shilingi. Nendeni kaeni Baraza la manispaa mbuni jinsi ya kupambana na wale wanaozurura pale stend wakijifanya maajenti wa mabasi na wafanyabiashara ndogondogo.
Ieleweke kwamba Magufuli bus terminal imeshawashinda. Magufuli bus terminal is one of the center of the park hapa jijini am apo pangekuwa hata eneo la utalii. Lkk nenda sasa hivi ni kero kero na jangwa la wahuni.
Magufuli bus terminal sio hoja yangu hapa lkn abiria wanaotumia stend ya hyo hutumia kituo kikuu cha daladala mbezi Lois aanzeni na kituo hiki. Kina uholela mwing mno.
Jeshi la usalama wa raia kazi yao inahitajika pale. Wawekeeni ofisi na walipeni posho na section zinazohusika zielezwe umuhimu huo.
Acheni kuifanya nchi hii kama hatuna akili bana. Kituo ni kero unaona kabisa watu wanakamatana wanafanya biashara bure bure hii kitu haikubaliki.
Maoni.
1. Waondoeni vijana pale kwa mbinu ya charge ya kuingia stend. Ana kqzi wanazofanya na kama ni kazi iwe inalipa mamlaka ya serikali ya manispaa