Mimi ni mtumishi katika mkoa mmoja hapa Tanzania, Mwezi wa 5 mwaka Jana niliomba mkopo katika benki ya CRDB, lakini wakachelewa kunipatia mkopo wakisema mwajili wangu hakuidhinisha makato,mwisho nikawaomba tuahilishe zoezi la mkopo na tukakubaliana.
Ajabu ni kuwa kumbe Mwajili aliidhinisha makato na akayaweka ktk saraly slip yangu hivyo crdb walipaswa kunipatia mkopo lkn hawakufanya hivyo, Baadae nikaenda nmb kuomba mkopo nikijua crdb tulishaachana.
Ndiyo Mwajiri akagomea kunipitishia mkopo mpya akidai nimeshachukua CRDB na akanionyesha saralyslip yenye makato kwamba CRDB wamenipatia, ikabidi awasiliane na crdb kujua Kama hawajanipatia mkopo husika.
Crdb walikili kutonipatia mkopo na wakaahidi kunipatia pesa waliyoikata pamoja na barua ya kuomba radhi,lkn Hadi leo hawajafanya hivyo, Nakusudia kwenda mahakamani kudai Fidia kwa kuanza kunikata bila kunipatia mkopo wangu.
Pia kukaa na pesa yangu bila idhini yangu,,Ushauri wa kisheria Tafadhali
Ajabu ni kuwa kumbe Mwajili aliidhinisha makato na akayaweka ktk saraly slip yangu hivyo crdb walipaswa kunipatia mkopo lkn hawakufanya hivyo, Baadae nikaenda nmb kuomba mkopo nikijua crdb tulishaachana.
Ndiyo Mwajiri akagomea kunipitishia mkopo mpya akidai nimeshachukua CRDB na akanionyesha saralyslip yenye makato kwamba CRDB wamenipatia, ikabidi awasiliane na crdb kujua Kama hawajanipatia mkopo husika.
Crdb walikili kutonipatia mkopo na wakaahidi kunipatia pesa waliyoikata pamoja na barua ya kuomba radhi,lkn Hadi leo hawajafanya hivyo, Nakusudia kwenda mahakamani kudai Fidia kwa kuanza kunikata bila kunipatia mkopo wangu.
Pia kukaa na pesa yangu bila idhini yangu,,Ushauri wa kisheria Tafadhali