control number

  1. L

    Control number huwa inaisha muda wake wa matumizi?

    Wadau wa JF, Naomba kuuliza eti control number kwa ajili ya kulipia ankara huwa ina expire ndani ya muda gani?
  2. K

    Utaratibu kununua vocha za TTCL ni kero; Unalipia Benki baada ya kupewa control number

    Nilienda kununua vocha ya shs 5,000.00 pale Telephone House, ile natoa pesa naambiwa nipewe control number nikalipie benki. Jamani hii ni biashara au huduma na huku wanadai rudi nyumbani kumenoga. Hebu wajirekebishe.
  3. A

    Msaada: control number request DIT inasumbua

    Kwa aliyefanikiwa kuapply dit hyo control namb ilifika baada ya muda gani,,Mimi nimerequest masaa matatu saizi sioni kinachoendelea
  4. Meneja Wa Makampuni

    Wanaoshindwa kupata control number bodi ya mikopo njooni niwasaidieni hapa

    Wanaoshindwa kupata control number bodi ya mikopo njooni niwasaidieni hapa. Lakini na ninyi nisaidieni jinsi ya kutuma hiyo elfu 30 kwenda loan board kwa MPESA
  5. 2

    Msaada wa kupata control number kwenye kujisajili loans board (helsb) 2021/22

    Ndugu zangu mwenye kujua anisaidie maana mimi najaribu ila sipati control number kwaajili ya kufanya malipo, tangu asubuhi mpaka usiku huu.
  6. B

    Rais Samia, una taarifa za changamoto ya mifumo ya TEHAMA nchini hasa kukosekana kwa huduma ya malipo up (control number)?

    Ni takribani mwezi Sasa malipo ya serikali hayafanyiki kwenye taasisi mbalimbali baada ya kile kinachodaiwa mfumo wa hazina unaotoa control number kushindwa kufanya hivyo. Kutokana na changamoto ya control number fedha lazima zitakuwa zinapigwa kwa sababu huduma zinatolewa manually kitu ambacho...
  7. B

    Hazina na Serikali Mtandao chunguzeni ufanisi wa malipo ya serikali kupitia control number, huenda tunapigwa kama Rais Samia alivyowahi kutahadharisha

    Wakati Mhe. Rais anaingia Madarakani aliwataka watendaji wa serikali kufanya tathimini kuhusu aina ya mifumo inayohitajika serikalini na kuboresha ufanisi. Juzi Kati Tanesco walipata matatizo kwenye mfumo wa LUKU nakupelekea kukosekana kwa huduma hii. Niliwaza sana kuhusu udukuzi wa kimtandao...
  8. Erythrocyte

    Wadau walalamikia uduni wa risiti zinazotolewa kwa waliopima Corona JNIA , yadaiwa hakuna control number , malipo ni cash

    Ushahidi wa tuhuma hizi huu hapa Hii ndio risiti unayopewa baada ya kulipia vipimo vya COVID 19 kwenye uwanja wa kimataifa . Mungu ibariki Tanzania .
  9. and 998 others

    Control Number imepunguza Wizi

    Wale Vishoka mtaani na wahasibu wezi serikalini wanaisoma namba kwa vitendo. Hivi sasa mpaka Police Loss Report (Tsh. 500/=) Lazima ku-generate Control Number. Heko Awamu hii. Hakuna janja-janja kila mtu atafikiwa. NB: Katika kuweka mgomo baridi wa kunyang'anywa ulaji. Watendaji wameamua kutoa...
  10. Countrywide

    GE2020 Nilikuwepo kwenye mkutano, sijapenda kuchangishwa fedha kinguvu

    Leo kama kawaida niliwahi mapema sana kwenye mkutano kusikiliza sera za mgombea wetu. Mengi ameeleza vizuri sana japo kuna ambayo ameyarudia rudia sana. Kingine nilichopenda ni muda wa mgombea umekuwa mrefu sana kapata karibu saa nzima tofauti na 2015 kipindi cha Lowassa ambae alikuwa anaongea...
  11. S

    TAKUKURU Mtwara chunguzeni chuo cha kilimo Mtwara(MATI) kulipisha wanafunzi tsh 10,000 ili wapate control number

    Kuna taarifa kuwa chuo kinawatoza wanafunzi 10,000 Tsh kuwatengenezera control number wakati wnataka kwenda benkikulipa ada. Kibaya ni kuwa hawatoi hata risiti kwa malipo ya kupata control number. Tafadhali lifanyie kazi kama sheria ya kodi inasema hivyo kuwa kupata control number unalipia
Back
Top Bottom