clouds

In meteorology, a cloud is an aerosol consisting of a visible mass of minute liquid droplets, frozen crystals, or other particles suspended in the atmosphere of a planetary body or similar space. Water or various other chemicals may compose the droplets and crystals. On Earth, clouds are formed as a result of saturation of the air when it is cooled to its dew point, or when it gains sufficient moisture (usually in the form of water vapor) from an adjacent source to raise the dew point to the ambient temperature.
They are seen in the Earth's homosphere, which includes the troposphere, stratosphere, and mesosphere. Nephology is the science of clouds, which is undertaken in the cloud physics branch of meteorology. There are two methods of naming clouds in their respective layers of the homosphere, Latin and common.
Genus types in the troposphere, the atmospheric layer closest to Earth's surface, have Latin names due to the universal adoption of Luke Howard's nomenclature that was formally proposed in 1802. It became the basis of a modern international system that divides clouds into five physical forms which can be further divided or classified into altitude levels to derive ten basic genera. The main representative cloud types for each of these forms are stratus, cirrus, stratocumulus, cumulus, and cumulonimbus. Low-level clouds do not have any altitude-related prefixes. However mid-level stratiform and stratocumuliform types are given the prefix alto- while high-level varients of these same two forms carry the prefix cirro-. Genus types with sufficient vertical extent to occupy more than one level are classified formally as low- or mid-level depending on the altitude at which initially forms. They are also more informally characterized as multi-level or vertical, which also do not carry any altitude related prefixes. Most of the ten genera derived by this method of classification can be subdivided into species and further subdivided into varieties. Very low stratiform clouds that extend down to the Earth's surface are given the common names fog and mist, but have no Latin names.
In the stratosphere and mesosphere, clouds have common names for their main types. They may have the appearance of stratiform veils or sheets, cirriform wisps, or stratocumuliform bands or ripples. They are seen infrequently, mostly in the polar regions of Earth. Clouds have been observed in the atmospheres of other planets and moons in the Solar System and beyond. However, due to their different temperature characteristics, they are often composed of other substances such as methane, ammonia, and sulfuric acid, as well as water.
Tropospheric clouds can have a direct effect on climate change on Earth. They may reflect incoming rays from the sun which can contribute to a cooling effect where and when these clouds occur, or trap longer wave radiation that reflects back up from the Earth's surface which can cause a warming effect. The altitude, form, and thickness of the clouds are the main factors that affect the local heating or cooling of Earth and the atmosphere. Clouds that form above the troposphere are too scarce and too thin to have any influence on climate change.
The tabular overview that follows is very broad in scope. It draws from several methods of cloud classification, both formal and informal, used in different levels of the Earth's homosphere by a number of cited authorities. Despite some differences in methodologies and terminologies, the classification schemes seen in this article can be harmonized by using an informal cross-classification of physical forms and altitude levels to derive the 10 tropospheric genera, the fog and mist that forms at surface level, and several additional major types above the troposphere. The cumulus genus includes four species that indicate vertical size and structure which can affect both forms and levels. This table should not be seen as a strict or singular classification, but as an illustration of how various major cloud types are related to each other and defined through a full range of altitude levels from Earth's surface to the "edge of space".

View More On Wikipedia.org
  1. F

    Miss Lolo wa Clouds TV na ujumbe wa "Your boyfriend Loves me"

    Nipo hapa natazama the spark ya Clouds Tv kinachorushwa kila siku za wiki saa 11 jioni hadi 12. Namwona Miss Lolo ambaye ni Mtangazaji wa kipindi amevaa blausi ya kijani mpauko kimeabdikwa "Your boyfriend Loves me". Maana yake Rafiki yako wa kiume ananipenda. Watangazaji wa Tv huwa...
  2. Beberu

    Anayeijua Clouds City vyema njoo hapa

    Wakuu, kila mtu apambane na hali yake , Kuna hivi. Viwanja wanatangaza clouds FM kwenye mji wameuita clouds city, SQM 1 wanauza 8,000/- Ina maana kiwanja cha sqm 800 ni 6.4M, Viwanja hivi vipo sehemu inaitwa tundwi Songani, wanakupa ofa ya kulipa kwa miezi 33, Sasa shida yangu kuja...
  3. Bujibuji Simba Nyamaume

    ''Mikataba Imeisha'' ya Clouds Tv ni program ya kidhalilishaji inayokiuka haki ya usiri mfanyakazi anapomaliza muda wake

    Clouds Media Group wamiliki wa Clouds TV, wameanza kupunguza wafanyakazi kwa namna ya kidhalikishaji na ukiukaji mkubwa wa haki ya Usiri na faragha. Tumeona watangazaji kadhaa wakianikwa mitandaoni kwamba mikataba yao imeisha na wameachwa. Tunaomba uongozi wa Clouds Media kuacha mara moja...
  4. GENTAMYCINE

    Kwa Mazungumzo ayafanyayo sasa Msemaji wa Yanga SC Clouds FM kumbe 'Skudu' kasajiliwa kwa Burudani na siyo kusaidia timu

    "Tumewaletea wana Yanga SC Mchezaji ambaye hatakama hatofunga Goli ila atahakikisha Mashabiki Wote Uwanjani wanaburudika kwa Maufundi yake ya Kuchezea Mpira" amesema Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe aliye Studioni sasa Spoti Extra ya Clouds FM. Haji Manara (Mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC) hakukosea...
  5. BARD AI

    Clouds FM imeshakuwa Radio ya Kubet, vipindi vyote ni "Tuma Buku, Cheza na Buku, Buku Mchongo,"

    Ni aibu kwa level ya Radio kama Clouds kuwa na matangazo yanayohamasisha watu kubet kila dakika. Ubunifu wa kupata mapato umeisha wamebaki kutegemea Buku Buku za wasikilizaji. Clouds imekua radio ya ajabu sana kwasasa. Kama hali imekuwa ngumu wauze hisa tu ili wapate mwekezaji mwingine. Mbona...
  6. NDUKI

    CLOUDS FM | Before & After...!

    SALAAM...! Natumai muwazima kabisa. Well...! Clouds FM (CMG) ni Radio iliyoleta mapinduzi katika huu muziki wa kizazi kipya na hata miziki mingine, tangu ilivyosemwa kuwa muziki wa Bongo Flavor ni uhuni watu waliukataa. Ila niseme tu, ujio wa radio hii uliwaaminisha WENGI sana kuwa huu muziki...
  7. Huihui2

    Live Clouds TV: Ujinga wa Watanzania kwa Pastor Eubert Angel

    Kinachoendelea Clouds TV kutoka Leaders club ni aibu tupu. Pastor Mzimbabwe anayeishi London anawaburuza kama kawaida yao. Nawakunbusha kidogo utapeli wake wa zamani hapa. Kama alivyo prophet Alfa Lukaku, mzaire , nani ya Johannesburg. Alifanya muujiza wa kumfufua mtu. Aliyejifanya kafa...
  8. BARD AI

    B Dozen (B12) arejea Clouds Media Group

    Ni vibe la hela yote, ni shangwe za volume yote, ni cheers za glasi zote kwa Mashabiki, Wafuasi na Wa-Cloudsnia wote ndani na nje ya Tanzania leo baada ya Mfalme wa show za mchana Mtangazaji Hamisi Mandi maarufu kama B Dozen, B12, B Twangala kutangaza kurejea rasmi Clouds Media Group baada ya...
  9. Mr Why

    IPP Media na Clouds Media uzeni kampuni zenu kwa wawekezaji vijana, bado mpo kizee sana

    Ipp Media na Clouds Media uzeni kampuni zenu kwa wawekezaji vijana wafumue na kuunda upya vituo vyenye muonekano wa kushawishi vijana kutazama channel zenu kwasababu mpo kizee sana channel zenu zimekaa kizee ndio maana vijana wamewakimbia na kwenda Wasafi Media ninyi mmeabaki na wazee na vijana...
  10. SAYVILLE

    Clouds Media acheni uhuni, mahojiano yenu na Feisal Salum siyo professional!

    Baada ya kuangalia mahojiano ambayo Feisal Salum amefanya na Clouds Media, nimeshangazwa sana na kitendo chao cha kuachia mambo ya "off-air" yaruke hewani tena kwa muda mrefu. Kuna video ambayo imekuwa inasambaa ambayo inasikika Feisal akizungumza na Wakili wake pamoja na watangazaji wa Clouds...
  11. N

    Aibu ya Mwaka: Sauti Zimevuja, Feitoto akifundishwa namna ya kuongea uongo Clouds

    Tukisema huyu dogo anapotezwa na washauri wake, hasikii. Kaenda clouds kuongea shits kumbe kuna watu wamempanga namna ya kuongea. Kuna kundi la watu liko nyuma yake linampoteza bila yeye kujua? Hivi huyu hana management? Elimu Elimu Elimu, mzee Lowassa apewe maua yake.
  12. NALIA NGWENA

    Feisal Salumu: Nimeondoka Yanga kutokana na manyanyaso, nilizungumza na Rais wa Yanga kwa saa 6, nikamwambia nataka kuondoka

    "niliambiwa na viongozi wa Yanga kuwa nauza mechi iliniuma sana na nikipokuwa nawapigia simu hao viongozi waliokuwa wanatamka hayo maneno hawapokei simu yangu. "Viongozi walikua wanamtukana mama yangu na kutoa matusi ya kumnyanyasa hata ingekua ni wewe ndugu mwandishi usingekubali kutukaniwa...
  13. Mpwayungu Village

    CLOUDS: Mishahara ya walimu inadhalilisha utu wao

    Mpaka vyombo vya Habari vimeliona hili, walimu mjitathimini vinginevyo mtadharaulika mpaka kufa kwenu. Mnachekwa mpaka na watoto wanadai mmekuwa ombaomba kwa kuwaomba wanafunzi wawanunulie Chai muda wa break na wakisema pesa hawana mnawachapa. Walimu wengi mnawalazimisha wanafunzi wanunue...
  14. Roving Journalist

    Maxence Melo: Kile unachokipenda ndicho unacholetewa kwenye digitali

    Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo akizungumza katika Kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM anasema “Kwenye ulimwengu wa kidijitali wewe ni bidhaa ambayo inatokana na namna ambavyo wewe unachakata maudhui (algorithm).” Hivi ndivyo mitandao inavyotengeneza pesa, kuna maudhui utayaona...
  15. John Gregory

    Clouds Tv imekosa studio yenye hadhi kipindi cha Sports Bar?

    Habari wakuu, Nimeshangaa sana kuona hii studio/chumba cha habari wanachotumia Clouds Tv katika kipindi cha Sports bar mpaka nikajiuliza kwa nini wameamua kufanya hivyo? Je, wamekosa resource? Ubahili? Au ukata? Kwakweli chumba cha habari ni kama wapo ndani ya 'contena' au kabatini, Yaani...
  16. BARD AI

    Clouds FM inapoteza mvuto au imeshindwa kwenda sawa na mabadiliko na uwepo Radio nyingine?

    Kama ni mfuatiliaji mzuri wa vipindi vya Radio, utagundua kuwa kuanzia saa 12 asubuhi kipindi cha Good Morning kutoka Wasafi FM kinasikilizwa sana mitaani, kwenye madaladala, magari binafsi kuliko ilivyo Power Breakfast ya Clouds FM. Nimeshindwa kuelewa tatizo ni nini kwa Clouds kupoteza...
  17. GENTAMYCINE

    Adam Mchomvu wa Clouds FM endelea hivyo hivyo kutembeza Kichapo kwa Wapuuzi na Wanafiki tupo na tutakutetea

    Mmeshajua kuwa Adam Mchomvu hapendi Shobo na kwamba ukijaa tu katika 18 zake Unachapika kwa Kipondo chake Tukuka na cha Kishalubela kwanini Umchokoze? Nimefurahi mno alivyotoa Dozi kwa mwana Yanga Mmoja na Msanii huku Yeye Adam Mchomvu akiwa ni mwana Simba Kindakindaki Mwenzangu. Hopeless...
  18. N

    Adam Mchomvu ana nini hasa dhidi ya Clouds kushindwa kumdhibiti?

    Limekuwa ni suala linalojirudia kila siku kwa Adam Mchovu kama sio kupiga watu basi kutukana ama kufanya mambo ya fedheha. Kushindwa kwa uongozi wa Clouds Fm kuweza kumdhibiti na kumpa adhabu stahiki basi inamaanisha aidha anafanya upuuzi wake kwa baraka za uongozi wake ama ni mkubwa mno kuliko...
  19. T

    Clouds TV imeanza kuwa kituo cha kutetea wauza madawa ya kulevya

    Clouds TV jana iliita muuza madawa ya kulevya anaeitwa Jack Cliff kuja kujitetea jinsi alivyokamatwa na madawa ya kulevya. Taarifa za uhakika zinaonyesha kua mamlaka nchini China/Macau zilimkamata Jack akiwa na madawa ya kuelvya aina ya Heroine kilo 1.1 mwilini mwake na kupelekea kufungwa...
Back
Top Bottom