clearing

  1. B

    Ni lini TRA watatangaza kuomba usajili wa clearing and forwarding services?

    Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza. Naomba kuuliza ni lini applications za shughuli tajwa zitatangazwa.
  2. zachaja

    Freight Clearing and Forwarding Services

    S.A Link Traders Ltd ni kampuni iliyopata leseni na TRA ya kutoa mizigo bandarini, viwanjani na mipakani (borders), yaani freight clearing and forwarding. Karibuni mtuletee kazi za kugomboa mizigo, tunazifanya kwa ufanisi, uaminifu mkubwa na kwa bei nzuri. Pia tunatoa kamisheni ya mpaka 40% kwa...
  3. Felician Paschal

    Nimeshindana na Clearing agent

    Kama kichwa kinavyojieleza. Nimeagiza gari japan, na inatarajiwa kufika tar 7 Nov. Document zilishafika kama week moja iliyopita nikampa agent kwa ajili ya clearing, aliniambia gharama ni laki 2 tu. Sasa analazimisha nilipe mil moja jumla na gharama zake, na mm nimemwambia siwez kumtumia pesa...
  4. K

    Natafuta kazi katika kampuni ya clearing and forwarding

    M
  5. newmzalendo

    Nafasi ya Kazi : Declaration Clerk Clearing and Forwading

    Job Position : Declaration Clark in a Clearing and Forwarding Company Location : City Center, Daresaalaam Qualification : Form IV Certificate and Clearing and Forwarding Certificate Gender : Female send CV to email : careers@dnh.co.tz
  6. C

    Msaada kwa mliosoma/mnaosoma clearing and forwading.

    Hello jf. nina imani humu kuna wadau wanasoma au waliwahi kusoma clearing and forwading. naomba msaada wa notes nina shida nazo hasa za First year. Natanguliza shukran
  7. Wakanda Logistics

    Clearing and forwarding (logistics)

    DN holdings company limited ni logistics company inahusika sana na kutoa shehena za mizigo mbalimbali bandarini kama mawakala wa forodha(clearing and forwading) Dn holdings company limited tunapatikana nkrumaha street p.O.Box 6924 dar es salaam na kamata stesheni ya train. Kwa mawasiliano...
  8. Carina

    BeFoward ni Clearing agents Tanzania?

    Wakuu naomba kuuliza, nimeagiza gari Japan through BeFoward nilitaka kujua kama wana fanya pia kazi ya kuclear gari inapofika bandarini Dar es Salaam. Huduma zao zikoje na pia bei zao zikoje pia. Asante nawasilisha
  9. Kaka Pekee

    Msaada: Ushuru wa Bandari ni kiasi gani?

    Habari, Kwa utashi, uzoefu, ujuzi na hekima zenu tafadhali naomba kufahamishwa taratibu na gharama za Ushuru wa Bandari wakati wa kutoa gari kwa Port ya Dar Es Salaam. Nimejipigapiga na kuagiza kagari toka Japan ambako gharama yake ya Ushuru wa TRA kwa mujibu wa TRA Calculator ni kama 4Million...
Back
Top Bottom