chumba

Chumba is a traditional form of music and dance performed by the Garifuna people in several Central American countries. Like punta (another type of Garifuna music), chumba songs are highly polyrhythmic, but have a slower tempo.The chumba dance is a solo dance performed by a woman, often exhibiting a large degree of individual style.

View More On Wikipedia.org
  1. U

    JamiiForums Tanzania Nahitaji chumba Self cha Kupanga Arusha

    Habari Natafuta chumba cha kupanga Arusha, maeneo ya Moshono au Njiro. Kiwe chumba kimmoja ambacho ni self , kiwe kina nafasi na jiko dogo Chumba kiwe katika mazira masafi yenye ulinzi na karibu na barabara. Budget ni 100k
  2. Daktari W Sindabhalla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Boxer yangu katika chumba cha mpangaji mwenzangu

    Habari wana JF. Ninaomba ufahamu ili niiokoe ndoa ya watu. Wiki iliyopita nilimtembelea dada yangu anayeishi Dodoma mjini - Chang'ombe Extension. Yeye na MR. wake na watoto 2 wana chumba na sebule. Kwakuwa nilikuwa na majukumu binafsi mbali na kuitembelea familia hii na kutokana na ufinyu...
  3. She Quoted you

    JamiiForums Tanzania Natafuta Chumba cha Kupanga Kigoma Mjini

    Habari, Natafuta chumba cha kupanga Kigoma mjini isiwe Ujiji wala uswahilini. Nitapendelea maeneo kama Kilimahewa,mjimwema,nazareth,maweni na viunga karibu na hivyo Chumba self cha nje napendelea zaidi Nyumba iwe ya kisasa (Presentable) Maji umeme na huduma zingine za muhimu usalama fence
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nataka kujenga chumba na sebule ya dharura

    Wakuu habari za hapa jamvini? Nitumbukie kwenye mada yenyewe. Ni hivi nilijenga msingi wa nyumba ya vyumba vitatu moja master, sebule, dining, stoo na public toilet katika plot mbili tofauti na sehemu tofauti pia moja wilayani kwetu na nyingine katika kata yangu. Sasa kote nimeshindwa...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Chumba na sebule, nadhani ramani yake ni hii tu

  6. lucasmore

    JamiiForums Tanzania Natafuta chumba single Dodoma, budget yangu ni Tshs 60k

    Habari wadau, Natafuta chumba single, budget yangu ni Tshs 60k. Kiwe ndani ya fence. Njoo na picha whatsapp 0768475474
  7. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Wapangaji wa chumba kimoja Ulaya zama za Viwanda zilipoanza

    Wengi walihama kutoka vijijini kutafuta ya kazi katika miji yenye viwanda. Familia nyingi za vibarua zilimudu kupanga chumba kimoja tu mjini. Vyoo vilikua nje.
  8. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Korido, sebule, chumba, jiko, master, dining nk, vinatakiwa kuwa na wastani wa ukubwa kiasi gani?

    Eti wakuu hivi vitu pamoja na milango, madirisha na umbali hadi darini kwa wastani unakuwa kuwaje. Maana nasikia hadi ngazi zina kipimo chake cha urefu na upana.
  9. H

    JamiiForums Tanzania Nahitaji chumba masters maeneo ya Kimara, nipo serious

    Dalali yoyote ambae yupo tayari kufanya biashara naomba anicheki kwa no;0783 24 2247 Nahitaji chumba chenye sifa zifuatazo: Kiwe ni master room Kiwe maeneo ya Kimara Kiwe ndani ya geti/fensi usalama wa kutosha Luku ya kujitegemea (Japo co lazma sana) Bajeti yangu ni 70K-100K Nipo serious...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta chumba Moshi

    Wakuu natafuta chumba Moshi maeneo ya karibu na KCMC..Chumba chenye choo ndani. Bajeti yangu ni 70k-90k kwa mwezi. Mwenye connection tafadhali naomba msaada
  11. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania 1786 kulikua na shreia na taratibu za kufuata ukichukua chumba Guest House

  12. Little brain

    JamiiForums Tanzania Kwanini Coastal Union hawakuingia kwenye chumba rasmi cha kubadilisha jezi?

    Nafahamu kuwa mguto ni kiongozi wa bodi ya league na coastal union pia, lakini kwanini ameruhusu ili jambo?
  13. buffalo44

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Chumba Single Sinza, Magomeni Kanisani, Kawe, Mbezi au Goba

    Hello wakuu. Nipo natafuta chumba single. Kuanza life baada ya chuo. Naomba mwenye nyumba yoyote aliye maeneo hayo anisaidie room single Bajeti yangu ni 60k - 80k kwa mwezi. Dalali niseme hela yako inaniwia ngumu. Ikiwa 50% nipo tayari. Msaada wenu.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta chumba cha kupanga Ikwilili

    Kama heading inavyojieleza, nakuja Ikwilili kuyasaka maisha. Nimevutiwa na uchangamfu wa hiyo center. Mwenye connection anijulishe
  15. Imaniyanguitaniponyatu

    JamiiForums Tanzania Anayetafuta nyumba au chumba cha kupanga Dodoma

    Kwa mgeni au mwenyeji wa Dodoma mjini, mwenye uhitaji wa chumba au nyumba ya kupanga ani PM kwa mawasiliano zaidi
  16. Rufiji dam

    JamiiForums Tanzania Kyerwa, Kagera: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa agoma kufungua ofisi ya TANESCO kutokana na gharama kutoendana na ujenzi uliofanyika

    Hii ndio nchi yetu ambayo inajali wananchi na kuwasogezea huduma. Hili ni jengo la Tanesco lenye thamani ya milioni 408. -- Mchanganuo wa gharama zilizotumika kujenga ofisi ya TANESCO Wilaya ya Kyerwa, Kagera ambayo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekataa kuifungua (TZS): 1. Chumba cha walinzi...
  17. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Chumba self contained karibuni

  18. platyhelminthesis

    JamiiForums Tanzania Ni sharti gani la ajabu umewahi kupewa na mwenye nyumba wakati umepanga au unatafuta chumba?

    Asee mimi sharti la kijinga lilikua ni kusema kama unataka kuongeza mkataba wa kupanga miezi miwili kabla ya muda kuisha[emoji23][emoji23][emoji23]
  19. 666 chata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Visa vya mapenzi visivyosahaulika

    Nikiwa nimemaliza kidato cha nne miaka ya 2000's kweusi nikawa nimechill tu home hakuna ishu hakuna mpango, mjini hakuna mashamba. Kwa hiyo nikawa busy na mapenzi na by that time nilikua nimemzimia kwa binti mmoja hivi anakaa mtaa wa tatu tokea home. Tulikuwa tunapendana sana yaani hata...
  20. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Idea za kupanga chumba cha teenager

    Teenagers wengi bado ni wanafunzi wanahitaji sehemu ya kujisomea wakiwa nyumbani. Ni muhimu kuanza kumfundisha kusafisha na kupanga chumba chake kila mara hasa weekend. Haya ndiyo maandalizi ya kupanga nyumba yake miaka
Back
Top Bottom