Mchakato wa kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025 katika Jimbo la Nzega Vijijini umeacha gumzo zito, baada ya aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo, Dkt. Hamisi Kigwangalla, kudaiwa kuangushwa kwa hila, hujuma na mchezo mchafu wa kisiasa.
Kwa mujibu wa taarifa...