chips

CHiPs is an American crime drama television series created by Rick Rosner, that originally aired on NBC from September 15, 1977, to May 1, 1983. It follows the lives of two motorcycle officers of the California Highway Patrol (CHP). The series ran for 139 episodes over six seasons, plus one reunion television film in October 1998.

View More On Wikipedia.org
  1. rich1

    Kero ya Moshi kwenye ofisi yangu kutoka kwenye jiko la chips na mishikaki.

    Habar wandugu..... Pemben na ofisi yangu imeanzishwa biashara ya kuchoma nyama na chips, naomben njia ya kukwepana na kero ya mosh kutoka kwenye majiko.
  2. X

    Dalili nyingine ya umasikini: "Weka chips za kushiba"

    Hapo suluhisho ni kuongeza hela uwekewe kipimo utakachoshiba. Pesa zitafutwe wakuu Mliozaliwa mwaka 1996 bado siku 3 tu kuna jambo litawakuta
  3. Fbn

    Breaknews: China imekataa kupokea chips za NVidia toka Marekani

    China imekataa kupokea chips za Nvidia, kampuni maarufu ya Marekani inayotengeneza vifaa vya kompyuta na graphics. Sababu kuu ya hatua hii ni hofu ya usalama inayoletwa na Marekani, ambayo inatuhumu China kwa matumizi ya teknolojia ya kisasa kwa madhumuni ya ujasusi na matumizi ya kijeshi...
  4. J

    Chips tamu ana hofu, anajua akiongea Leo, hajui kesho Mdunguaji atakuja na lipi!

    Ukitaka kumtoa nyoka pangoni wewe mwaga petroli tu au mafuta ya taa. Hata awe mkubwa kiasi gani lazima atatoka tu. Mmoja kati ya watu wanaoonja shubiri za Mdunguaji kutokea mafichoni ni chips tamu. Kwanza alianza kujitutumua kidogo kidogo baada ya vidampa wake kushindwa kuzima moto wa...
  5. Melki Wamatukio

    ‎Hivi ni kwanini Chips za Dar hazina ladha?

    Tokea nianze kutafuna chips za Dar sijaona utamu wowote kwa kweli. Yaani picha linaanza viazi vimeumuka halafu full mafuta kama vile unatafuna kipochi, havina ladha hata kidogo, viungo navyo vinaandaliwa kiholela holela, labda kidogo mayonaizi ‎ ‎Yaani chips za huku huwezi mdanganyia binti...
  6. B

    Set nzima ya vifaa vya chips inauzwa

    MAHALI Dar es salaam kinondoni PIGA SIMU 0683473391 JUICE DISPENSER mpya inauzwa 1.4 hadi 1.5M hii nakupatia kwa 850,000 inapiga kazi haswaa...inagandisha kabisaa...hapo unaizungushia sticker nyingine rangi yako tu inaonekana fresh zaidi Kabati mbili zote 180000 moja unaeza...
  7. B

    deep frier za chips zunauzwa litre 6 kila moja

    hizi deep frier za chips zinauzwa kila moja ni 130,000 zipo mbili....nimezitumia muda mfupi kiasj kwamba na karatasi nimebandua jana wakati naziosha naziuza sababu nimebadirisha biashara 0744597493 napatikana Dar es salaam tukielewana bei utaletewa mpaka mlangoni
  8. Dennis Robert Shughuru

    Tanzania tunatakiwa tubrand chips mayai

    Kuna mnigeria amekuja Tanzania amesema moja ya vyakua alivyovipenda chips mayai ni kimoja wapo Kwanini kama nchi tusibrand vyakula kama chips mayai yaani kikafanyiwa maboresho kwenye kupikwa yaani kukawa na standard ya kupika chips mayai CHIPS MAYAI INAJUMUISHA VIAZI AMBAVYO NI CARBOHYDRATES...
  9. Strong25

    Bei ya FOIL za kufungia chips zinauzwa bei gani?

    Naomba kujuzwa zile foil huwa zinauzwa bei gani na ukubwa wake (yan zinakua na urefu wa mita/futi ngapi
  10. M

    China yapiga marufuku 'Chip' za NVIDIA kutoka Marekani, sasa kujitegemea kabisa katika teknolojia

    China imechukua hatua kwa kupiga marufuku rasmi matumizi ya chips (vipuri vya kielektroniki) kutoka kampuni ya Marekani, NVIDIA. Hatua hii inaonesha wazi kuwa China haiko tena tayari kutegemea teknolojia kutoka Marekani. Badala yake, China imeamua kujiamini na kuanza kujenga teknolojia zake...
  11. Fbn

    China Yazindua Uzalishaji wa Chipu za AI Zinazotumia Mantiki Isiyo ya Kawaida (Non-Binary AI Chips)

    China imeanza uzalishaji kwa wingi wa chipu za kisasa za akili bandia (AI) zinazotumia mfumo usio wa jadi wa “non-binary” — yaani hazifanyi kazi kwa mfumo wa kawaida wa tarakimu mbili (binary) wa 1 na 0 pekee. Badala yake, chipu hizi zinaweza kuchakata taarifa kwa kutumia hali ya uwezekano...
  12. GENTAMYCINE

    Kumekucha: Wanaume wengi wa Dar hawana Nguvu za Kiume kwa kupenda kula Chips zenye Mafuta mengi hivyo waanze kula Chips zinazokaangwa na Maji

    Wala tusipotezeane sana muda nendeni manaratv mkamsikie wenyewe, ila Mimi nauliza tu Utakaanga vipi Chips na Maji? Sasa taratibu naanza kuamini kuwa huenda Tanzania ikawa na Madaktari Vihiyo (wa Mchongo) na ambao huenda wakawa wanavuta mno Bangi kuliko hata ambao wanazilima huko Tarime (Mara) na...
  13. A

    AINA GANI YA MAJIKO INA LOW COST OF OPERATIONS KWAAJILI YA KUPIKIA CHIPS NA SOURCE YA NISHATI INAPATIKANA KWA URAHISI (JIKO LA CHIPS)?

    AINA GANI YA MAJIKO INA LOW COST OF OPERATIONS KWAAJILI YA KUPIKIA CHIPS NA SOURCE YA NISHATI INAPATIKANA KWA URAHISI (JIKO LA CHIPS)? Ambazo azitoi moshi ni rafik kwa mazingira?
  14. U

    Chips mayai hazijaanzia Tanzania, ( Labda uwizi wa kura ) Hiki chakula tuliletewa na tulifundishwa

    Watanzania kuna mambo mengi sana hawajui, na wamekuwa wakidhani na kujisifu kuwa ni wagunduzi wa mapishi mbalimbali, jambo ambalo si la kweli, ila kwenye mapishi ya asili ni kweli hayo ni ya kwetu kabisa, na unaweza usiyaone nchi nyingine. Sisi watanzania tumekuwa tukijisifia sana kuhusu...
  15. haszu

    Chakula cha mchana: chips kavu, yai na kuku kidari

    Karibuni, Raha jipe mwenyewe, kula chips yai haviondoi uanaume wako.
  16. P

    Wadau naomba chimbo la foils za kufungashia chips kwa bei ya jumla Kariakoo

    Wadau naomba chimbo la foils za kufungashia chips kwa bei ya jumla kariakoo. Anaejua anisaidie, nipo mikoani. Asanteni
  17. M

    Biashara ya chips

    Naombie abc za hii biashara. Profit inakuwaje? Gunia moja faida ikoje?
  18. Yoda

    Kwa nini kitimoto kinauzwa Bar na Hotel kubwa tu? Ni marufuku mama ntilie na wauza chips kuuza kitimoto?

    Hivi kitimoto ni kwa ajili ya walevi na wenye kipato kikubwa tu? Kwa nini hii nyama inauziwa baa na hotel kubwa tu halafu iliyoiva pia inapimwa kuanzia nusu kilo tu? Kwa nini hakuna mama ntilie wanaouza kitimoto kama mboga ya ugali na wali?? Hatuoni huu ni unyanyapaa kwa watu wasioweza kuagiza...
  19. wa kibondemaji

    Nina kiasi cha shilingi milioni 3. Nataka nifungue sehemu ya chips, kuku, mishkaki, Je mtaji unatosha?

    Nina kiasi cha shilingi milioni 3. Nataka nifungue sehem ya chips , kuku, mishkaki samaki juice na vinywaji sio vilevi. Naombeni ushauri kuhusu mtaji huo unatosha? Na vipi Faida na changamoto zake
Back
Top Bottom