chanika

Chanika is an administrative ward in the Ilala district of the Dar es Salaam Region of Tanzania. According to the 2002 census, the ward has a total population of 23,450.

View More On Wikipedia.org
  1. Fateema

    Wafanyakazi wa kazi za ndani na watu wa usafi wanapatikana Chanika Mwisho

    Habari zenu wana JF, Kwa wale ambao mna shida na wafanyakazi wa kazi za ndani nimefungua ofisi. Tuna huduma ya wafanyakazi wa kazi za ndani. Wapo wanao weza kulala kwa mwajiri na wapo ambao wanaenda na kurudi. Pia kama una mgahawa wa chakula, wanaweza pia kufanya kazi hiyo. Pia tunatoa...
  2. A

    KERO Mamlaka za Serikali za Mitaa Chanika (Dar) zimeshindwa kusimamia ukusanyaji taka katika mitaa ya Gogo, Bondeni na Polisi

    Kwa takribani miezi mitano, Mzabuni aliyechukua tenda ya Ukusanyaji taka katika Mitaa ya Chanika ya Gogo, Bondeni na Polisi wameshindwa jukumu hilo, hakuna taarifa rasmi au maelezo kutoka Serikali za Mtaa kuhusiana na jambo hili! Mzabuni huyu alijisifu sana kipindi alipokuwa akichukua tenda hii...
  3. A

    KERO TANESCO - Chanika, mtaa Wa Mazinda, mjitafakari mnakata umeme kila siku saa 1 usiku mnarudisha saa 5 usiku

    Yaani huwezi kuamini Wananchi baadhi huku wamekuwa wanateseka saaana na kero ya umeme! Umeme unakata saa moja usiku na kurudi saa 5 usiku! Mchana unakatika na kurudi.. "This is too much" Hii ni kwa zaidi ya miezi kibao huku nyuma yaani Chanika kwa MAZINDA nikama bado wapo miaka ya zamani sana...
  4. ESCORT 1

    Chanika ni kama unaenda mkoa mwingine

    Leo nimeamini Chanika ilipaswa iwe mkoa wa Pwani. Angalia picha inajieleza kabisa
  5. Mwanadiplomasia Mahiri

    Sofa la Mzee Bakhressa, unapata kiwanja kizuri huko Chanika, tuendelee kutafuta pesa

    Hili ni sofa brand ya Lorenzo Leather ambalo kwa moja kama hilo ubaoni ni Sh. Milioni 5 na Laki 6 (5,645,000) Kwa Mzee Bakhressa hiyo ni bei ya kawaida tu, ila kwangu mimi napata kabisa kiwanja Chanika huko. Ukiwa na sebule kubwa ukihitaji kama manne basi andaa kuanzia Milioni 21 na kuendelea...
  6. The Lost Boy

    TRA Chanika mnakwama wapi?

    Lau nitataka kufungua biashara leo, nikienda TRA nitapata kila kitu kwa maana TIN na Tax Clearance pasipo tabu yoyote. Tena hatumwi hata afisa kuja kuona hiyo biashara. Kimbembe ni pale utapotaka kufunga hiyo biashara. Utaambiwa andika barua ya kufunga hiyo biashara, peleka kwa mjumbe...
  7. C

    House4Sale Nyumba inauzwa ipo Chanika Masantula, Dar es Salaam

    Habari Wana JF, Nyumba inauzwa ipo Chanika Masantula Dar es Saalam. Ina eneo la nusu heka. Ina vyumba vinne vyote master. Ina sebule, jiko, Stoo na dining kubwa tu. Ina nyumba ya uani ya vyumba vitano, Stoo, na choo chake. Bei ni milioni tisini (90,000,000) Whatsapp 0622905303 Au nipigie...
  8. passion_amo1

    Wakazi wa Gongo la Mboto kuelekea Chanika tunasubiri kwa hamu awamu mpya ya ujenzi wa mwendokasi

    Watanzania wenzangu ni matumani yangu mu buheri wa afya, mliopo na Matatizo mbali mbali muwe na subira na kutokata tamaa hata mnapohisi kushindwa. Leo katika pita pita zangu nikakutana na uzi wa dada Janeth Thomson Mwambije akiwa amekutana na mkuu wa wilaya ya ILALA mheshimiwa Edward Jonas...
  9. Y

    Biashara ndogo ndogo Chanika Dar es salaam

    Wakuu wa JF ....nauliza kwa maeneo ya Chanika Dar kwa sasa ni biashara gani ndogo inaweza kuwa nzuri kwa kufanya maeneo yale ya Chanika kwa Mtaji takribani wa 2M
  10. PureView zeiss

    AFRICON 2027 inakuja na neema ya ujenzi wa barabara 4 ,kuanzia mbagala - chamazi- chanika

    Ni neema juu ya neema Kwa Sisi wakazi wa maeneo haya ya mbagala,chamazi,msongola,kitonga Hadi chanika baada serikali kutaka kuanza ujenzi ramsi wa barabara 4 ( 2 lanes).. Toka mwezi uliopita TANROAD wamepigwa alama ya X nyumba zote zilizopo kwenye hifadhi ya barabara pamoja na notes ya siku 14...
  11. Mr Why

    Nyumba Mpya Zinazozwa Chanika Zinausalama Kweli?

    Wakulungwa kumekuwa na matangazo ya nyumba mpya zinazouzwa Chanika, Chamazi na kwingineko kila kona sasa watu wengi sana wamekuwa na hofu wakitaka kufahamu usalama wa hizi nyumba isijekuwa kuna janja janja JF wapo watu hapa ni wajanja wa kufahamu mambo katika jiji hili la Dar es Salaam ingekuwa...
  12. LIKUD

    Ukitaka kufanikiwa kwa urahisi hapa jijini Dar es salaam. Nenda kaishi Chanika

    Kwa sababu Chanika kuna " uhai" . Huhitaji kuwa expert wa kusoma alama za anga na alama za ardhi kun'gamua kwamba chanika kuna " uhai" . Kama sauti yako ya ndani ( inner voice) ipo active and effective, siku ukifika Chanika uta detect " uhai" juu ya ardhi ya chanika. Siku hizi wafanya biashara...
  13. LIKUD

    English Medium iliyo karibu na Chanika

    Mpangaji wangu amepanga kwangu Chanika anatafuta shule nzuri ya English Medium iliyopo karibu na Chanika. Au inayo weza kufikika kwa urahisi kutoka Chanika. Inaweza kuwa Mvuti, Chamazi, Segerea, Ukonga, Gomz etc. Ada kuanzia laki tisa hadi milioni moja na laki 2 kwa mwaka. iwe na watoto wengi...
  14. K

    House4Sale Nauza nyumba maeneo mbalimbali Dar

    Chanika Magenge, mtaa Toroka Uje. Bei 16milioni. Serious buy nipigie tufanye biashara 0712347749, 0746474849. Nyumba ina vyumba 3. Master 1, viwili vya kawaida Choo cha public kipo ndani kingine nje. Sittingroom, deningroom Flem za biashara 2. Kozi 2 ya uzio Eneo la kujenga mabanda ya uani...
  15. usedphotocopytz

    House4Sale Nyumba (BOMA) naiuza bei poa Chanika Buyuni DSM

    Nyumba imekamilika BOMA lenye vyumba vitatu kimoja masta, mashimo ya choo tayari nishafunika , fensi tayari imekamilika. Naiuza mimi mwenyewe mmiliki hakuna dalali , ina square mita 400 , ipo buyuni chanika kama unaelekea sekondari ya buyuni, sio mbali na barabarabi ni kama mita 100 tu, umeme...
  16. J

    Kiwanja kinauzwa Chanika

    Habari Kiwanja kinauzwa Chanika maeneo ya Buyuni, Kigezi Kina ukubwa wa 1600 sqm bei ni milioni 18, ama ukitaka kukatiwa pia sawa Maelezo zaidi DM
  17. Enkaly

    Kero ya daraja la Nyiburu kwa wakazi wa Chanika

    Daraja la Nyiburu ni daraja pekee ambalo limekua kero kwa wakazi wa Chanika. Madiwani wapo, wabunge wapo hivi inahitajika nin cha ziada ambacho kama wakazi tunaweza kuelezwa mkandarasi alipewa muda gani kumaliza hilo daraja? Sasa ni zaidi ya miwili kama wanajenga flyover kweli? Daraja la...
  18. D

    Usalama wa Raia na Mali zao: Vibaka waliokata watu mapanga nyumba 21 Chanika ni fedheha isiyovumilika

    Taarifa inasema! Vibaka walivamia katika kata tatu huko chanika na kuathili nyumba 21 Ingawa haijajulikani rasmi idadi halisi ya vibaka hao lakini haiondoi ukweli kwamba kuna uzembe katika mfumo wa ulinzi. Tukiaachana na intelijensia ya kushindwa kuwabaini hao vibaka mapema! Inashangaza kuona...
  19. STREET SMART

    Plot4Sale Kiwanja/ Shamba linauzwa Heka Moja Chanika Mwanzo Mgumu

    Habari za asubuhi wadau, nimeshikwa na shida nauza kiwanja changu kilichopo Mwanzo mgumu chanika. Ukubwa hekari moja Bei 2.5m maongezi yapo Mawasiliano piga simu 0718658747
  20. M

    House4Rent Je, unahitaji Nyumba ya Kupanga, Apartment ama Nyumba ya kununua? Karibu katika uzi huu

    Nyumba Iko Kimara Suka - 1Km kutoka Morogoro road, kushoto ukiwa kama unakwenda Mbezi. Sifa za nyumba: Ziko mbili ndani ya fence 1 Vyumba 3 kimoja Master AC mbili (Sitting room moja na master bedroom moja) Jiko la ndani + Stoo ya ndani + Public toilet ndani Feni za juu vyumba vyote Sliding...
Back
Top Bottom