usedphotocopytz
Senior Member
- Aug 18, 2015
- 171
- 14
Nyumba imekamilika BOMA lenye vyumba vitatu kimoja masta, mashimo ya choo tayari nishafunika , fensi tayari imekamilika.
Naiuza mimi mwenyewe mmiliki hakuna dalali , ina square mita 400 , ipo buyuni chanika kama unaelekea sekondari ya buyuni, sio mbali na barabarabi ni kama mita 100 tu, umeme uko karibu.
Nilijenga kwa matumizi yangu iko imara sana RUKHSA kuja na fundi kukagua, bei naanza milion 60 tshs lakini usiogope bei uko unauhitaji nipigie nipe ofa yako niiskie usjali. biashara maelewano.
0715331233
Picha naweza, anayetaka videos ataniambia ntamtumia watsapp.
Naiuza mimi mwenyewe mmiliki hakuna dalali , ina square mita 400 , ipo buyuni chanika kama unaelekea sekondari ya buyuni, sio mbali na barabarabi ni kama mita 100 tu, umeme uko karibu.
Nilijenga kwa matumizi yangu iko imara sana RUKHSA kuja na fundi kukagua, bei naanza milion 60 tshs lakini usiogope bei uko unauhitaji nipigie nipe ofa yako niiskie usjali. biashara maelewano.
0715331233
Picha naweza, anayetaka videos ataniambia ntamtumia watsapp.