Bila Chama hakuna maendeleo. Kupitia Chama ndipo inatengenezwa ilani ya kunadi maendeleo katika kipindi husika (hapa nchini kila baada ya miaka mitano).
Sisi CCM tunaamini ili tuendelee tunahitaji vitu vitatu;
1. Watu,
2. Ardhi,
3. Siasa Safi
NB: Ni vema kila mwananchi akasome ilani ya Chama...