Sasa nimetambua kuwa Chama ni watu. CCM ipo mikononi mwa watu wabaya wasiokuwa na huruma

Idugunde

JF-Expert Member
May 21, 2020
6,273
6,637
Angalia hali ya maisha inayowakabili wananchi wa kawaida ilivyo. Kupata mlo mmoja kwa siku ni tabu. Lakini waziri wa kilimo anaona sawa tu kuuza mazao ya chakula holela nje ya nchi bila udhibiti.

Angalia hali ya maisha ilivyo ngumu tozo za kila namna zinawaathiri watanzania wa hali ya chini. Waziri wa Nape anasema atafanya mkakati ili kila mtanzania akopeshwe simu janja. Mwananchi wa hali ya china hata mlo mmoja kupata tabu simu janja ya nini? Maana hata kununua bando ni tabu.

Huko wizara ya nishati kuna harufu ya uvundo. Lakini wao wanakenua meno na kufurahi. Ni sababu ya kuwa hawana huruma na watanzania.

Waziri wa fedha ndio hovyo kabisa. Yaani hajali lolote maana hata buku teni imebaki kuwa haina thamani kwa bajeti ya siku.

Uzuri wa Chama ni kuwa na watu wazuri. CCM hii ya sasa ipo mikononi mwa watu wabaya.

Idu.. nikiwa Igunga.
 
Angalia hali ya maisha inayowakabili wananchi wa kawaida ilivyo. Kupata mlo mmoja kwa siku ni tabu. Lakini waziri wa kilimo anaona sawa tu kuuza mazao ya chakula holela nje ya nchi bila udhibiti.

Angalia hali ya maisha ilivyo ngumu tozo za kila namna zinawaathiri watanzania wa hali ya chini. Waziri wa Nape anasema atafanya mkakati ili kila mtanzania akopeshwe simu janja. Mwananchi wa hali ya china hata mlo mmoja kupata tabu simu janja ya nini? Maana hata kununua bando ni tabu.

Huko wizara ya nishati kuna harufu ya uvundo. Lakini wao wanakenua meno na kufurahi. Ni sababu ya kuwa hawana huruma na watanzania.

Waziri wa fedha ndio hovyo kabisa. Yaani hajali lolote maana hata buku teni imebaki kuwa haina thamani kwa bajeti ya siku.

Uzuri wa Chama ni kuwa na watu wazuri. CCM hii ya sasa ipo mikononi mwa watu wabaya.

Idu.. nikiwa Igunga.
Watu wabaya na wasio na huruma walishamiri zaidi awamu ya tano, bora kidogo awamu hii watu wanaishi bila hofu za kushambuliwa kwa risasi, kutekwa, kuteswa, kuporwa mali wala kuuawa.
 
ccm wamesha onja nyama za watu hawawezi kubadilika hata aje nani ...dai katiba mpya kwanza mkuu , hayo mengine yatajiseti mbele ya safar
 
Kipindi kile tunalalamika, mlitukejeli kwa kutuambia sisi ni wapiga dili na pia watumishi tuliofukuzwa kwa vyeti feki!

Ona sasa! Mwisho wa siku, wote tunaisoma namba. Infact ccm yote imeoza. Hakuna unafuu wowote.
Msiba usikilizie kwa mwenzio Wahenga walishasema
 
Angalia hali ya maisha inayowakabili wananchi wa kawaida ilivyo. Kupata mlo mmoja kwa siku ni tabu. Lakini waziri wa kilimo anaona sawa tu kuuza mazao ya chakula holela nje ya nchi bila udhibiti.

Angalia hali ya maisha ilivyo ngumu tozo za kila namna zinawaathiri watanzania wa hali ya chini. Waziri wa Nape anasema atafanya mkakati ili kila mtanzania akopeshwe simu janja. Mwananchi wa hali ya china hata mlo mmoja kupata tabu simu janja ya nini? Maana hata kununua bando ni tabu.

Huko wizara ya nishati kuna harufu ya uvundo. Lakini wao wanakenua meno na kufurahi. Ni sababu ya kuwa hawana huruma na watanzania.

Waziri wa fedha ndio hovyo kabisa. Yaani hajali lolote maana hata buku teni imebaki kuwa haina thamani kwa bajeti ya siku.

Uzuri wa Chama ni kuwa na watu wazuri. CCM hii ya sasa ipo mikononi mwa watu wabaya.

Idu.. nikiwa Igunga.
CCM MBELE KWA MBELE
 
Angalia hali ya maisha inayowakabili wananchi wa kawaida ilivyo. Kupata mlo mmoja kwa siku ni tabu. Lakini waziri wa kilimo anaona sawa tu kuuza mazao ya chakula holela nje ya nchi bila udhibiti.

Angalia hali ya maisha ilivyo ngumu tozo za kila namna zinawaathiri watanzania wa hali ya chini. Waziri wa Nape anasema atafanya mkakati ili kila mtanzania akopeshwe simu janja. Mwananchi wa hali ya china hata mlo mmoja kupata tabu simu janja ya nini? Maana hata kununua bando ni tabu.

Huko wizara ya nishati kuna harufu ya uvundo. Lakini wao wanakenua meno na kufurahi. Ni sababu ya kuwa hawana huruma na watanzania.

Waziri wa fedha ndio hovyo kabisa. Yaani hajali lolote maana hata buku teni imebaki kuwa haina thamani kwa bajeti ya siku.

Uzuri wa Chama ni kuwa na watu wazuri. CCM hii ya sasa ipo mikononi mwa watu wabaya.

Idu.. nikiwa Igunga.
Ndugu Idugunde unaposikia kundi fulani linalalamika hata kama wewe uko kwenye neema tulia utafakari kwa nini watu wanalalamika?Je ni uongo au ni chuki tu,au ni uvivu wa kufikiri,au kweli wanateseka?Ambapo sisi tulilalamika sana Kipindi cha Magufuri lakini mlituita majina ya ajabu ajabu ili kutuziba midomo kama vile:-Vyeti feki,Vibaraka wa Mabeberu,Wezi,Wavivu n.k ili tu mtu wenu aendelee kutawala.Inasikitisha nchi huru watu wake wanhangaika na uwezo binafsi wa mtu badala ya mfumo kwa kweli inasikitisha sana.
Yote uliyoyaongea ni ya kweli hujakosea hata moja ila shida ni dharau zenu ambazo zilileta Viongozi wabovu walioteuliwa na Magufuri 2019 na 2020 akishirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na Wakurugenzi wake.Tafadhari tambua kuwa nchi siyo mali ya Kiongozi hata awe mzuri namna gani,bali nchi ni mali ya Wananchi na ndiyo wenye Mamlaka ya kumchagua Kiongozi wanayeona anawafaa ili akishindwa kufanya kazi barabara iwe ni rahisi kumwajibisha.
Sasa unaona hao Viongozi waliopo hawana uchungu na Wananchi wana uchungu na vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na familia zao.Ikifika 2024 Wakurugenzi,Walimu na Vyombo vya ulinzi na usalama wataongezewa marupurupu kibao ili unapofika muda wa uchaguzi wapitishwe viongozi wanaopendekezwa na hao walioshika mpini.Jifunze kwa hili kuna watu walilia hivi hivi awamu ya tano mliwaona wajinga na wapumbavu lakini na ninyi yamewakuta leo pambaneni.
 
Back
Top Bottom