Kwanini baadhi ya wasaidizi wa Rais Samia walimshauri asifanye maridhiano na CHADEMA?

Mystery

JF-Expert Member
Mar 8, 2012
15,480
30,152
Kama tulivyomsikia majuzi, wakati anakutana na viongozi wa vyama vya siasa nchini huko Ikulu, Rais Samia Suluhu Hassan, alitoboa Siri kuwa haikuwa rahisi kufikia Maridhiano na chama kikuu Cha upinzani nchini Cha Chadema, Kwa kuwa pamoja na nia yake njema ya kuleta Maridhiano ya kisiasa nchini, lakini baadhi ya wasaidizi wake, walimshauri akatae kukutana na viongozi wa Chadema!

Ikumbukwe kuwa ni chama Cha Chadema pekee, ambacho kilitoa masharti ya kukutana peke yake, bila kuvishirikisha vyama vingine vya upinzani.

Kama alivyosema Rais, baada ya watu kuumizwa Sana na utawala wa awamu ya 5, lengo lake la ni kuleta umoja na mshikamano nchini Kwa lengo la kuleta maendeleo endelevu na lengo la kukutana na viongozi wote wa kisiasa nchini ni kuleta umoja na mshikamano wa kitaifa,.

Je ni kwanini baadhi ya wasaidizi wake hao walipinga, viongozi wao wa CCM wasikutane na viongozi wa Chadema?

Hizi hapa ni baadhi ya hisia zangu, kwanini baadhi ya viongozi hao waandamizi wa CCM walimpinga Rais, asifanye maridhiano na Chadema.

1. Inajulikana wazi kuwa chama kikuu Cha upinzani nchini Kwa hivi Sasa ni chama Cha Chadema, viongozi hao walipinga kukutana na chama Cha Chadema, Kwa kuwa Wana misimamo wa kihafidhina, wakijua wazi kuwa chama Chao ni chama dola, Kwa hiyo vyama vya upinzani nchini, havina ubavu wa kupambana nao

2. Viongozi hao walipenda namna Rais wa awamu ya 5, Hayati Magufuli alivyoiendesha nchi, bila kufuata Sheria za nchi (ikumbukwe kuwa mikutano ya kisiasa nchini ni takwa la kisheria na Wala siyo hisani Kutoks Kwa Rais aliyeko madarakani)

3 Viongozi hao Kwa namna nchi ilivyokuwa ikiendeshwa, walifurahia hali hiyo, Kwa vile walikuwa wakiendeleza kufanya maovu, wakijua kuwa vyama vya kisiasa vya upinzani nchini vyenye uwezo wa kukemea maovu yao vipo "kifungoni"

4. Viongozi hao walikuwa wakifurahia kula Kwa urefu wa kamba zao, Kwa hiyo walijua fika kuwa kuleta Maridhiano nchini, kutawapunguzia "ulaji" wao

5. Viongozi hao walikuwa wakifurahia mitafaruku hiyo, Kwa kuwa chama Chao ni chama dola, Kwa hiyo walijua kuwa vyama vya upinzani havina ubavu wa kufurukuta Kwa kuwa chama Chao dola, kingeweza kuvitumia vyombo vyake vya dola, kuweza kuwashughulikia viongozi wa vyama vya kisiasa vya upinzani, endapo wataleta "fyoko"

6. Wao CCM hawakuona athari yoyote ya zuio hilo la mikutano ya hadhara, Kwa kuwa tulishuhudia viongozi waandamizi wa CCM (wakipewa upendeleo maalum) wakizunguka nchi nzima, bila kizuizi chochote wakimwaga sera zao!

Kwa kuwa Rais Samia alikuwa na nia ya dhati ya kuleta Suluhu nchini, hizo ni baadhi ya hisia zangu, ni kwanini baadhi ya wasaidizi wake walipinga vikali hatua zake za kuleta Maridhiano hapa nchini.

Kama na wewe msomaji wa hii post, utakuwa na sababu zako, ni kwanini baadhi ya wasaidizi wa Rais walimpinga Rais, asilete Maridhiano nchini, naomba "uzi-add" hapa

Mungu ibariki Tanzania
 
Kama tulivyomsikia majuzi, wakati anakutana na viongozi wa vyama vya siasa nchini huko Ikulu, Rais Samia Suluhu Hassan, alitoboa Siri kuwa haikuwa rahisi kufikia Maridhiano na chama kikuu Cha upinzani nchini Cha Chadema, Kwa kuwa pamoja na nia yake njema ya kuleta Maridhiano ya kisiasa nchini, lakini baadhi ya wasaidizi wake, walimshauri akatae kukutana na viongozi wa Chadema!

Ikumbukwe kuwa ni chama Cha Chadema pekee, ambacho kilitoa masharti ya kukutana peke yake, bila kuvishirikisha vyama vingine vya upinzani.

Kama alivyosema Rais, baada ya watu kuumizwa Sana na utawala wa awamu ya 5, lengo lake la ni kuleta umoja na mshikamano nchini Kwa lengo la kuleta maendeleo endelevu na lengo la kukutana na viongozi wote wa kisiasa nchini ni kuleta umoja na mshikamano wa kitaifa, ni kwanini baadhi ya wasaidizi wake hao walipinga, viongozi wao wa CCM wasikutane na viongozi wa Chadema?

Hizi hapa ni baadhi ya hisia zangu, kwanini baadhi ya viongozi hao waandamizi wa CCM walimpinga Rais, asifanye maridhiano na Chadema.

1. Inajulikana wazi kuwa chama kikuu Cha upinzani nchini Kwa hivi Sasa ni chama Cha Chadema, viongozi hao walipinga kukutana na chama Cha Chadema, Kwa kuwa Wana misimamo wa kihafidhina, wakijua wazi kuwa chama Chao ni chama dola, Kwa hiyo vyama vya upinzani nchini, havina ubavu wa kupambana nao

2. Viongozi hao walipenda namna Rais wa awamu ya 5, Hayati Magufuli alivyoiendesha nchi, bila kufuata Sheria za nchi (ikumbukwe kuwa mikutano ya kisiasa nchini ni takwa la kisheria na Wala siyo hisani Kutoks Kwa Rais aliyeko madarakani)

3 Viongozi hao Kwa namna nchi ilivyokuwa ikiendeshwa, walifurahia hali hiyo, Kwa vile walikuwa wakiendeleza kufanya maovu, wakijua kuwa vyama vya kisiasa vya upinzani nchini vyenye uwezo wa kukemea maovu yao vipo "kifungoni"

4. Viongozi hao walikuwa wakifurahia kula Kwa urefu wa kamba zao, Kwa hiyo walijua fika kuwa kuleta Maridhiano nchini, kutawapunguzia "ulaji" wao

5. Viongozi hao walikuwa wakifurahia mitafaruku hiyo, Kwa kuwa chama Chao ni chama dola, Kwa hiyo walijua kuwa vyama vya upinzani havina ubavu wa kufurukuta Kwa kuwa chama Chao dola, kingeweza kuvitumia vyombo vyake vya dola, kuweza kuwashughulikia viongozi wa vyama vya kisiasa vya upinzani, endapo wataleta "fyoko"

6. Wao CCM hawakuona athari yoyote ya zuio hilo la mikutano ya hadhara, Kwa kuwa tulishuhudia viongozi waandamizi wa CCM (wakipewa upendeleo maalum) wakizunguka nchi nzima, bila kizuizi chochote wakimwaga sera zao!

Kwa kuwa Rais Samia alikuwa na nia ya dhati ya kuleta Suluhu nchini, hizo ni baadhi ya hisia zangu, ni kwanini baadhi ya wasaidizi wake walipinga vikali hatua zake za kuleta Maridhiano hapa nchini.

Kama na wewe msomaji wa hii post, utakuwa na sababu zako, ni kwanini baadhi ya wasaidizi wa Rais walimpinga Rais, asilete Maridhiano nchini, naomba "uzi-add" hapa

Mungu ibariki Tanzania
Swadakta.
 
Swadakta.
Kama Maridhiano hayo yalikuwa Kwa manufaa mapana Kwa Taifa hili, swali ninapojiuliza, ni kwanini baadhi ya wasaidizi wake Rais wetu, walimpa ishauri wa kutokutana na viongozi wa Chadema?😎
 
Mara zote wahaafidhiana huwa hawapendi fikra mpya hivyo waliogopa mitazamo mipya ambayo dunia ya Sasa ndiyo inayohitaji.
Ebu fikiria muhafidhiana atakubali kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara?
Je muhafidhiana atakubali jimboni kwake washuke wazee wa hoja wakati hajawahi kufanya mkutano na wananchi.
Viongozi wengi huwa hawatoi ushauri mzuri kwa rais kwani maslahi yao yanakuwa katika Hali ya hatari.
Pia Kuna washauri wengi bado wanaamini kwenye uongo na uoga hivyo wanaogopa yajayo
 
Kama tulivyomsikia majuzi, wakati anakutana na viongozi wa vyama vya siasa nchini huko Ikulu, Rais Samia Suluhu Hassan, alitoboa Siri kuwa haikuwa rahisi kufikia Maridhiano na chama kikuu Cha upinzani nchini Cha Chadema, Kwa kuwa pamoja na nia yake njema ya kuleta Maridhiano ya kisiasa nchini, lakini baadhi ya wasaidizi wake, walimshauri akatae kukutana na viongozi wa Chadema!

Ikumbukwe kuwa ni chama Cha Chadema pekee, ambacho kilitoa masharti ya kukutana peke yake, bila kuvishirikisha vyama vingine vya upinzani.

Kama alivyosema Rais, baada ya watu kuumizwa Sana na utawala wa awamu ya 5, lengo lake la ni kuleta umoja na mshikamano nchini Kwa lengo la kuleta maendeleo endelevu na lengo la kukutana na viongozi wote wa kisiasa nchini ni kuleta umoja na mshikamano wa kitaifa, ni kwanini baadhi ya wasaidizi wake hao walipinga, viongozi wao wa CCM wasikutane na viongozi wa Chadema?

Hizi hapa ni baadhi ya hisia zangu, kwanini baadhi ya viongozi hao waandamizi wa CCM walimpinga Rais, asifanye maridhiano na Chadema.

1. Inajulikana wazi kuwa chama kikuu Cha upinzani nchini Kwa hivi Sasa ni chama Cha Chadema, viongozi hao walipinga kukutana na chama Cha Chadema, Kwa kuwa Wana misimamo wa kihafidhina, wakijua wazi kuwa chama Chao ni chama dola, Kwa hiyo vyama vya upinzani nchini, havina ubavu wa kupambana nao

2. Viongozi hao walipenda namna Rais wa awamu ya 5, Hayati Magufuli alivyoiendesha nchi, bila kufuata Sheria za nchi (ikumbukwe kuwa mikutano ya kisiasa nchini ni takwa la kisheria na Wala siyo hisani Kutoks Kwa Rais aliyeko madarakani)

3 Viongozi hao Kwa namna nchi ilivyokuwa ikiendeshwa, walifurahia hali hiyo, Kwa vile walikuwa wakiendeleza kufanya maovu, wakijua kuwa vyama vya kisiasa vya upinzani nchini vyenye uwezo wa kukemea maovu yao vipo "kifungoni"

4. Viongozi hao walikuwa wakifurahia kula Kwa urefu wa kamba zao, Kwa hiyo walijua fika kuwa kuleta Maridhiano nchini, kutawapunguzia "ulaji" wao

5. Viongozi hao walikuwa wakifurahia mitafaruku hiyo, Kwa kuwa chama Chao ni chama dola, Kwa hiyo walijua kuwa vyama vya upinzani havina ubavu wa kufurukuta Kwa kuwa chama Chao dola, kingeweza kuvitumia vyombo vyake vya dola, kuweza kuwashughulikia viongozi wa vyama vya kisiasa vya upinzani, endapo wataleta "fyoko"

6. Wao CCM hawakuona athari yoyote ya zuio hilo la mikutano ya hadhara, Kwa kuwa tulishuhudia viongozi waandamizi wa CCM (wakipewa upendeleo maalum) wakizunguka nchi nzima, bila kizuizi chochote wakimwaga sera zao!

Kwa kuwa Rais Samia alikuwa na nia ya dhati ya kuleta Suluhu nchini, hizo ni baadhi ya hisia zangu, ni kwanini baadhi ya wasaidizi wake walipinga vikali hatua zake za kuleta Maridhiano hapa nchini.

Kama na wewe msomaji wa hii post, utakuwa na sababu zako, ni kwanini baadhi ya wasaidizi wa Rais walimpinga Rais, asilete Maridhiano nchini, naomba "uzi-add" hapa

Mungu ibariki Tanzania
Si ndio huyo kisha pigwa chini?
 
Mara zote wahaafidhiana huwa hawapendi fikra mpya hivyo waliogopa mitazamo mipya ambayo dunia ya Sasa ndiyo inayohitaji.
Ebu fikiria muhafidhiana atakubali kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara?
Je muhafidhiana atakubali jimboni kwake washuke wazee wa hoja wakati hajawahi kufanya mkutano na wananchi.
Viongozi wengi huwa hawatoi ushauri mzuri kwa rais kwani maslahi yao yanakuwa katika Hali ya hatari.
Pia Kuna washauri wengi bado wanaamini kwenye uongo na uoga hivyo wanaogopa yajayo
Mwabukusi
Kumbe kinachogomba hapa ni matumbo yao!
 
Hao walitaka 2025 wasaidiwe kupata ubunge bila kampeni Wala kura. Yaani wapinzani wasiwepo, wapite bila kupingwa na kama akigombea basi azuiwe na NEC!! kwa hiyo kuweka maridhiano ni kuhatarisha ubunge wao na ukuu wao wa mikoa/wilaya maana majimbo na halmashauri zikianguka Ina maana ndio mwisho wa maslahi Yao ya kifisadi.
 
Kama Maridhiano hayo yalikuwa Kwa manufaa mapana Kwa Taifa hili, swali ninapojiuliza, ni kwanini baadhi ya wasaidizi wake Rais wetu, walimpa ishauri wa kutokutana na viongozi wa Chadema?😎
Hivi unajifanya humjui Steven Wasira
 
Kama tulivyomsikia majuzi, wakati anakutana na viongozi wa vyama vya siasa nchini huko Ikulu, Rais Samia Suluhu Hassan, alitoboa Siri kuwa haikuwa rahisi kufikia Maridhiano na chama kikuu Cha upinzani nchini Cha Chadema, Kwa kuwa pamoja na nia yake njema ya kuleta Maridhiano ya kisiasa nchini, lakini baadhi ya wasaidizi wake, walimshauri akatae kukutana na viongozi wa Chadema!

Ikumbukwe kuwa ni chama Cha Chadema pekee, ambacho kilitoa masharti ya kukutana peke yake, bila kuvishirikisha vyama vingine vya upinzani.

Kama alivyosema Rais, baada ya watu kuumizwa Sana na utawala wa awamu ya 5, lengo lake la ni kuleta umoja na mshikamano nchini Kwa lengo la kuleta maendeleo endelevu na lengo la kukutana na viongozi wote wa kisiasa nchini ni kuleta umoja na mshikamano wa kitaifa,.

Je ni kwanini baadhi ya wasaidizi wake hao walipinga, viongozi wao wa CCM wasikutane na viongozi wa Chadema?

Hizi hapa ni baadhi ya hisia zangu, kwanini baadhi ya viongozi hao waandamizi wa CCM walimpinga Rais, asifanye maridhiano na Chadema.

1. Inajulikana wazi kuwa chama kikuu Cha upinzani nchini Kwa hivi Sasa ni chama Cha Chadema, viongozi hao walipinga kukutana na chama Cha Chadema, Kwa kuwa Wana misimamo wa kihafidhina, wakijua wazi kuwa chama Chao ni chama dola, Kwa hiyo vyama vya upinzani nchini, havina ubavu wa kupambana nao

2. Viongozi hao walipenda namna Rais wa awamu ya 5, Hayati Magufuli alivyoiendesha nchi, bila kufuata Sheria za nchi (ikumbukwe kuwa mikutano ya kisiasa nchini ni takwa la kisheria na Wala siyo hisani Kutoks Kwa Rais aliyeko madarakani)

3 Viongozi hao Kwa namna nchi ilivyokuwa ikiendeshwa, walifurahia hali hiyo, Kwa vile walikuwa wakiendeleza kufanya maovu, wakijua kuwa vyama vya kisiasa vya upinzani nchini vyenye uwezo wa kukemea maovu yao vipo "kifungoni"

4. Viongozi hao walikuwa wakifurahia kula Kwa urefu wa kamba zao, Kwa hiyo walijua fika kuwa kuleta Maridhiano nchini, kutawapunguzia "ulaji" wao

5. Viongozi hao walikuwa wakifurahia mitafaruku hiyo, Kwa kuwa chama Chao ni chama dola, Kwa hiyo walijua kuwa vyama vya upinzani havina ubavu wa kufurukuta Kwa kuwa chama Chao dola, kingeweza kuvitumia vyombo vyake vya dola, kuweza kuwashughulikia viongozi wa vyama vya kisiasa vya upinzani, endapo wataleta "fyoko"

6. Wao CCM hawakuona athari yoyote ya zuio hilo la mikutano ya hadhara, Kwa kuwa tulishuhudia viongozi waandamizi wa CCM (wakipewa upendeleo maalum) wakizunguka nchi nzima, bila kizuizi chochote wakimwaga sera zao!

Kwa kuwa Rais Samia alikuwa na nia ya dhati ya kuleta Suluhu nchini, hizo ni baadhi ya hisia zangu, ni kwanini baadhi ya wasaidizi wake walipinga vikali hatua zake za kuleta Maridhiano hapa nchini.

Kama na wewe msomaji wa hii post, utakuwa na sababu zako, ni kwanini baadhi ya wasaidizi wa Rais walimpinga Rais, asilete Maridhiano nchini, naomba "uzi-add" hapa

Mungu ibariki Tanzania
Mkuu Ngongo, chama "HALISI" kikuu cha upinzani TZ ni CHADEMA peke yake, aminia, ndio chama pekee ambacho viongozi wake hawana "BEI" ni kiongozi yupi wa chama gani ambacho mama kakutana naye IKULU zaidi ya MBOWE? waliobaki wote ana profile zao, BEI zao zinajulikana toka hapo zamani.... tizama kamati zote za kiserikali watateliwa viongozi wa vyama vingine, wapi uliona wakiteuliwa hawa "MIAMBA" Mbowe, Lisu, Leme, Msigwa au Heche? kwanza unaanzaje? hao wengine wote wanajulikana..... hawana hofu nao mwisho wa kunukuu....
 
Back
Top Bottom