Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,223
- 7,407
Bila Chama hakuna maendeleo. Kupitia Chama ndipo inatengenezwa ilani ya kunadi maendeleo katika kipindi husika (hapa nchini kila baada ya miaka mitano).
Sisi CCM tunaamini ili tuendelee tunahitaji vitu vitatu;
1. Watu,
2. Ardhi,
3. Siasa Safi
NB: Ni vema kila mwananchi akasome ilani ya Chama yenye kurasa 303 kuelewa muelekeo wa maendeleo yetu Kwa ujumla
Sisi CCM tunaamini ili tuendelee tunahitaji vitu vitatu;
1. Watu,
2. Ardhi,
3. Siasa Safi
NB: Ni vema kila mwananchi akasome ilani ya Chama yenye kurasa 303 kuelewa muelekeo wa maendeleo yetu Kwa ujumla