chalamila

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Watu wa Mwanza tumemkosea nini Rais kutuletea Chalamila kuwa Mkuu wa Mkoa? Tumekosa nini Yarabbi!

    Hili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu. Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho. Mbeya wanashukuru sana maana...
  2. Rais Samia, bado RC Chalamila na RC Hapi

    Katika awamu ya tano kuna vijana viongozi waliotia fora kutumia madaraka vibaya. Mama Samia amewakonga mioyo watanzania kwa kumuondoa Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai, aliyetia fora kwa kuongoza kwa ubabe, uonezi na uporaji. Sasa bado viongozi wawili, RC wa Mbeya Chalamila, mtu asiye na staha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…