chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. R

    JamiiForums Tanzania CHADEMA na Watanzania wapenda haki lazima kumlinda HECHE

    Historià inajirudia Heche ni mpenda haki, mpigania haki tangu akiwa tumboni kwa mama yake. Tumlinde kwa wivu mkubwa.
  2. JamiiForums Tanzania Kisaikolojia Taatlaah mwanaCCM anaihusudu CHADEMA kuliko CCM

    Ndg wanajukwaa wenzangu Kwa kipindi kirefu mmeshuhudia member mwenzetu wa jamiiforums bwana mdogo Tlaatlaah akitoa nyuzi zinazohusu chadema Kila siku kama conveyer belt. Hii yote ni kwasababu anaipenda na kuihusudu chadema mnoo kiasi Cha kushindwa kuficha mahaba yake. Kimsingi huyu bwana...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mfano Rais akawachangia CHADEMA tonetone, Hali itakuwaje?

    Inatokea Rais samia, nae akaguswa na tonetone la chadema, akaamua kuchanga hata million 50, Je chadema watapokea huo mchango? Je watanzania wataona ni njia kuelekea maridhiano? Je kweli Rais anaweza kuwachangia chadema, au ni jambo lisilowezekana Mpira naurudisha kwenu ma great thinkers...
  4. JamiiForums Tanzania This is clearly a smear campaign meant to distract and weaken the opposition. Let us deal with facts, not cheap politics against HECHE

    The accusations being thrown at the Vice Chairman of CHADEMA regarding alleged embezzlement of party funds to build a house are not only baseless but politically motivated. The house being circulated online as 'evidence' does not even compare to properties I personally own, which raises serious...
  5. JamiiForums Tanzania Huenda Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA taifa akamtembelea Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA taifa kabla ya mkutano wa baraza kuu taifa, September 15

    Duru zinaeleze kua kwasasa mwenyekiti huyo mstaafu ana ratiba ngumu binafsi ya ng'ambo ya nchi, na mara atakapo kua mazingira ya nyumbani, basi ziara hiyo maalumu ya makamu mwenyekiti wa chadema taifa itafanyika kadiri ilivyopangwa. Je, ikiwa atafanya hivyo, unadhani agenda kuu ya makamu...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Naandaa Video Inayoonyesha Mkusanyiko Wa Kauli Tata Za Viongozi wa CHADEMA na wanaharakati Zilivyochochea Vurugu wakati na baada ya Uchaguzi

    Ndugu zangu Watanzania, Nipo Nafanya Maandalizi Mazito kwelikweli ya Kutoa video itakayoonyesha Mkusanyiko wa Kauli Tata na za kichochezi zilizokuwa zikitolewa na viongozi wa CHADEMA na wanaharakati kabla ,wakati na baada tu ya zoezi la uchaguzi kufanyika. Ambazo kwa kiasi kikubwa zilionyesha...
  7. JamiiForums Tanzania Chadema Fukuza Joseph Selasini sasa hivi ni Kirusi chenye ushawishi

    Chadema Fukuza Joseph Selasini sasa hivi Joseph Selasini alikuwa ni miongoni mwa Wanamageuzi 15 waliounda Kamati ya Kitaifa ya Mabadiliko ya Kikatiba, The National Convention for Construction and Reform (NCCR) mwaka 1991, wakiongozwa na Mzee Fundikira, Mtikila, Marando, Lwamwai na wengine...
  8. JamiiForums Tanzania Hatma ya nafasi ya Makamu Mwenyekiti fisadi wa CHADEMA Taifa kuamuliwa na mkutano wa Baraza Kuu la CHADEMA taifa Septemba 15,2026.

    Hii ni kutokana na baadhhi ya wajumbe wa kamati kuu ya chadema taifa, kuapa kuongoza azimio la kuhakikisha kwamba makamu mwenyekiti wa chadema taifa anabanduliwa kwenye nafasi yake, baada ya kukiuka katiba na tuhuma za ufisadi na matumizi mabaya ya ofisi kwa manufaa yake binafsi na familia yake...
  9. JamiiForums Tanzania Huenda BAWACHA wakatoa neno kuhusu tuhuma za ufisadi wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa wakati wowote kuanzia sasa

    Baada ya kujizolea umaarufu mkubwa zaidi hasa baada ya tukio la kuchoma vitenge mwaka 2024, hatimae Baraza la Wanawake Chadema taifa BAWACHA wanajiandaa kutoa tamko rasmi wakati wowote kuanzia sasa, dhidi ya tuhuma mbalimbali za ufisadi, matumizi mabaya ya ofisi na rasilimali za chama zinazo...
  10. L

    JamiiForums Tanzania Wajinga Ndiyo Waliwao. CHADEMA Wanakamuliwa na Kuchangishwa Michango Halafu Viongozi Wao Wanafanyia Starehe Na Kujineemesha. Amkeni CHADEMA Usingizini

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa Miaka yote zaidi ya 30 wana CHADEMA wamekuwa wakikamuliwa Michango ya kila aina kwa kutumia vikauli mbiu tofauti tofauti ambavyo vimekuwa vikitolewa na kuletwa na viongozi wao pale wanapotaka kuwakamua Wanachama wao. Lakini wana CHADEMA wameshindwa kujiuliza ni wapi...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Ushauri na maombi yangu kwa uongozi wa CHADEMA: ikiwezekana mkutano wa 'Baraza la Wananchi' Mbpwe asihudhurie

    Ni ushauri wangu na mawazo na maombi yangu. Kama itawezekana hiyo Septemba Mbowe asiwepo kwenye hicho kikao muhimu sana kwa mustakabali wa taifa letu. Ni naamini Mbowe bado ana chuki kubwa na viongozi wa CHADEMA wa sasa. Huyo mzee nawambia hashindwi kufanya figisufigisu kuvunja chama. Mkae nae...
  12. JamiiForums Tanzania Tuhuma za ufisadi wa makamu mwenyekiti wa Chadema taifa, zazorotesha hali na mwenendo wa uchangiaji fedha kwaajili ya baraza kuu taifa Sept.15,2026.

    Wana chama wengi wa chadema, pamoja na wafadhili wa chadema wa ndani na nje ya nchi hawana tena imani na uongozi uliopo wa chadema kuhusu masuala ya pesa, na wala hawana uhakika wa ikiwa pesa watakazoichangia chadema zitatumika kwa madhumuni yaliyokusudiwa. Na, kwa mvurugano wa chini kwa chini...
  13. JamiiForums Tanzania Mnaomtuhumu M/M/kiti CHADEMA - Tanganyika Mh John Heche; Rudini studio tena, mkarekodi upya filamu yenu. This one is very ridiculous...!

    Na mkirudia tena, basi ingalau jaribuni kufuata mwongozo ufuatao mnapoandaa filamu yenu; 1. Kama kuna pesa za tonetone amepokea kupitia Bank Account yake binafsi, na kwa kuwa mna access na Bank Account binafsi ya mtu, basi filamu yenu ieleze na kuonesha waziwazi haya👇 ✓Ni Bank Account Number...
  14. L

    JamiiForums Tanzania Marekani Mtu Kaapishwa Kuwa Seneta Kumalizia Muhula Wa Kaka Yake Aliyefariki Dunia. Ingefanyika Tanzania Ungeona CHADEMA wanapiga Kelele Kama Walevi

    Ndugu zangu Watanzania, Huko Marekani Kuna Mwana Mama Kaapishwa kuwa Seneta Kumalizia Muhula Wa Kaka Yake Aliyefariki Dunia. Sasa Jambo Hilo lingefanyika Hapa Tanzania Ungeona CHADEMA Na wafuasi wake Wanaanza kupiga Kelele Na kusema ni Upendeleo Na Mambo kama Hayo Huwezi kuyakuta Marekani na...
  15. JamiiForums Tanzania USHAURI: Propaganda zinazoletwa dhidi ya CHADEMA zisifutwe, iwe reference baadae dhidi ya machawa

    Hakuna haja ya kuhangaika kufuta nyuzi zinazoletwa dhidi ya CHADEMA , wanasema wakati uongo ume sambaa karibia robo tatu ya dunia ndipo ukweli unaanza kupasha kuvaa viatu kuingia uwanjani, Hawa MACHAWA hawana IQ ya kutengeneza angalau uongo unaokaribiana na Ukweli no need of panic Nimeona ma...
  16. JamiiForums Tanzania CHADEMA, ACT na wengineo wana lipi jipya kwa wananchi zaidi ya kuikosoa CCM?

    Katika siasa za Tanzania, mara nyingi vyama vya upinzani kama CHADEMA, ACT na vingine huonekana kama sauti za ukosoaji dhidi ya chama tawala, CCM. Hata hivyo, swali kubwa ni: je, wana jipya la kuwapa wananchi zaidi ya maneno ya ukosoaji? Ukweli ni kwamba vyama hivi vimejikita katika mfumo ule...
  17. 0

    JamiiForums Tanzania Tuhuma za Heche zinafukuza matajiri kuchangia CHADEMA

    Kwenye Mwananchi ya Leo kuna habari hiyo. CHADEMA hakuna matajiri bali hohehae, akina mimi tunaochangia buku moja, au jero pale CDM inapoomba tone tone Chama cha Matajiri wanajijua .... wale wanaokitolea 10B Uzuri tunawajua mnaotaka kututoa kwenye reli Anyways kituo kinachofuata ni 88, kisha...
  18. JamiiForums Tanzania Ashura Masoud: Tunao ushahidi wa Picha, Video na Miamala ya Fedha kwa baadhi ya Wanachama, tutauweka hadharani

    Katibu wa CHADEMA Kanda ya Kati, Ashura Masoud, amesema chama hicho kina taarifa na ushahidi wa awali unaojumuisha picha, video, mawasiliano pamoja na miamala ya fedha inayodaiwa kutumwa kutoka kwa wanachama wa kile alichokiita "chama cha kikaragosi" kwenda kwa baadhi ya wanachama wa CHADEMA...
  19. JamiiForums Tanzania Ukweli Kuhusu Michango ya Chadema: Niwape Data Kamili

    Chadema Tokea waanze kuchangisha ma michango yao asilimia kubwa ya hiyo michango haija timiza lengp. Waje hapa kubisha niwape data kamili
  20. JamiiForums Tanzania Kwa nini CHADEMA inawapokea waliohama

    Katiba ya nchi na Sheria ya vyama vya siasa inaonesha vyama vya siasa ni vyama vya hiyari na ni mali ya umma. Katiba zote za vyama vya siasa havijaweka kipengere cha kuzuia mtu akihama asirudi tena kwenye chama husika kwa kuwa itakuwa ni kinyume cha Katiba na sheria za nchi. Ila vyama vyote...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…