chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. Komeo Lachuma

    PreGE2025 Chadema ni chama kinachoongozwa kutajwa midomoni mwa watu. Ni kweli kumbe ni chama kikuu

    Humu JF hakuna Chama kinatajwa kwa siku kama Chadema. Yaani kuna watu mpaka kwa siku wanaanzisha nyuzi 5 hadi 10 kuhusu Chadema na Lissu. Kisha anafuatiwa kutajwa Mbowe. Namba 1. Chadema 2. Lissu 3. Mbowe Hii inaonesha ukubwa na ugumu wa hiki chama kufa. Maana kutajwa tajwa huko ndo uhai...
  2. mcTobby

    Zamani nilipoifahamu JamiiForums, Nilijua ni mtandao wa CHADEMA.

    Mwishoni mwa utawala wa Jk awamu ya pili, ndio nipo o level nilijua JF ni ya chadema. Kipindi hicho hoja nasikia zilikuwa za moto ile mbaya. Mpaka maafisa wa serikali nasikia walikuwa hawataki kuusikia kutokana na uozo wao kuanikwa humu. Sasa automatically nikajua this forum na belongs to...
  3. Tlaatlaah

    PreGE2025 Anguko la Chadema kwenye Medani za Siasa za Tanzania hukukukiwa na mgawanyiko mkubwa kuelekea Uchaguzi, nani wa kulaumiwa?

    Chadema imejichimbia kaburi lake yenyewe na imetumbukia shimino na kujizika yenyewe. Ni upande yupi wa kulaumiwa katika mauaji haya ya kikatili kwa uhai wa chadema kisiasa? Ni G55 au ule upande wa no reform no elections? Je, ni kweli kiburi, kudeka na kutegemea huruma za wananchi, kukurupuka...
  4. T

    PreGE2025 Chadema kutoingia kwenye Uchaguzi basi kama taifa tukaze mikanda

    Jambo kubwa lipo nyuma ya Taifa baada ya ccm chama tawala kuingia kwenye msuguano mkali wa no reform no election. Upo msemo unasema ogopa akili ya mwanadam. Mwisho wakunukuu. Soku zote ktk dunia ilio staarabika kila kitu kinaendeshwa kwa siri na kwa akili.. Yes.... Urusi aliingia vitani...
  5. Stuxnet

    PreGE2025 Kosa kubwa la CHADEMA: wanadhani bila wao hakuna upinzani

    Moja ya Makosa ya CDM ni Kuamini wao ndio wana hakimiliki ya Upinzani Nchi hii na Kila Mpinzani anastahili kufuata wanachoamini wao. Tayari wamegawana mbao,
  6. Mshana Jr

    PreGE2025 Muhtasari wa Hoja: Madhara ya kutosaini kanuni za maadili ya uchaguzi

    1. Maadili ya Uchaguzi ni Suala la Kisheria Yameainishwa katika Kifungu cha 162 cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani, 2024. Tume ya Uchaguzi hutunga kanuni hizo kwa mashauriano na vyama vya siasa na Serikali, kisha huzichapisha kwenye Gazeti la Serikali. 2. Nani hupaswa...
  7. Ndata

    ACT ANAKULA CCM ANATAKA KULALA CHADEMA, MKATAENI

    COMEDY ZA NDUGU ZANGU ACT. Kwanza moja ya maombi makubwa ya ACT ni Chadema asishiriki uchaguzi, hii itampa nafasi ya kuwa chama kikuu cha upinzani na Zitto kuwa KB automatically. Hivyo Chadema wajue kabisa ACT wanalao kwenye hili. Pili, Chadema kwenye movement yao ya NO REFORM NO ELECTION...
  8. GoldDhahabu

    CCM kushiriki uchaguzi bila CHADEMA no sawa na Profesa kishindana na Darasa la Saba!

    Unalionaje hilo? Profesa wa Hesabu akishiriki kwenye mitihani ya darasa la saba! 1. Akifurahia kufaulu atachekwa! Haitarajiwi darasa la saba amshinde Profesa. Bora hata kama angekuwa ni Ph.D. Holder 2. Akifeli tutamshangaa! Aliupataje Uprofesa wa Hesabu ikiwa Hesabu ya Darasa la Saba...
  9. GoldDhahabu

    Kama mzee Kikwete angechagua kusimama upande wa wananchi 2015, CHADEMA

    Simlaumu, ila nahisi amechangia pakubwa mtatiziko wa kisiasa uliopo nchini kwa sasa. CHADEMA wameamua kususia uchaguzi kwa sababu ya mapungufu yaliyopo kwenye mfumo mzima wa uchaguzi. Inaaminika kuwa Katiba ya Wananchi ingeweza kutibu mtatiziko huo. Kwa bahati mbaya, ingawa mzee Kikwete...
  10. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Makalla: Kila Mtanzania ana haki ya kupiga kura, hivyo wanachama wa CHADEMA tumieni haki hiyo

    Baada ya CHADEMA kutangaza kutoshiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 na chaguzi ndogo zote kwa kipindi cha miaka mitano kutokana na kutosaini kanuni za Maadili ya Uchaguzi, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, CPA Amos Makalla amesema kila Mtanzania ana haki ya kupiga kura, hivyo...
  11. THE BIG SHOW

    CHADEMA tambueni kuwa nchi hii haihitaji wana harakati, nchi hii inahitaji viongozi na nyinyi viongozi wa kuongoza taifa hili hamna

    Friends and Our Enemies, Wengi wao wanachadema hawapendi kuliskia hili,lakini NDIYO ukweli wenyewe. Siasa za HARAKATI ndani ya nchi hii na bara hili kwa ujumla zilishafanyika na zikakamilika. Kilichobakia kwa Sasa ni kuongoza Dola kutokana na ridhaa ya wananchi. Ukiwatazama CHADEMA huwezi...
  12. K

    Wengi walikuwa wanaipenda CCM kwa kuhongwa au kuhaidiwa vyeo,sasa huu uchaguzi ukweli unaenda kujulikana

    Yaani huu ndiyo ukweli mchungu, tunaenda kuona mmoja baada mwingine akijiondoa kimyakimya sababu hamna maslai tena, watabaki tu wafia chama,hamna kura feki,hamna mtu kukatwa sijui kakosea kujaza fomu,hamna mtu kuhongwa,hamna mtu kulalamika kaibiwa kura, Wasanii na machawa imekula kwao hakuna...
  13. sanalii

    CCM sio wa kuwasusia, ni wakula nao sahani moja , maana hawana haya wala hawajui vibaya

    Ogopa ku deal na watu wasio na aibu, hawa watu hawana ustaarabu na hawawezi kujisikia mshipa wa aibu. Kama kulikua na madudu ya kupita bila kupingwa, kura ziliokotwa kama karanga kule kawe, wataona aibu mkisusa? Hapa wahuni wengi wanafurahia mana hawana upinzani na watapita bila kupingwa ...
  14. Mshana Jr

    CHADEMA inamiliki na kutawala siasa za Tanganyika kwa asilimia 99

    Achana na rekodi zote za nyuma.. Chukua za hivi karibuni Uchaguzi wa mwenyekiti wa chama.. Mijadala kabla, askari na baada ya uchaguzi Kampeni ya NO REFORMS NO ELECTION.. ilipozinduliwa, mikutano iliyofuatia na mwitikio wa wananchi wa kada zote Kukamatwa kwa mwenyekiti akiwa kwenye mkutano wa...
  15. Yoda

    PreGE2025 Hivi ndivyo CHADEMA itakavyorudishwa kushiriki uchaguzi

    Ataibuka mtu kutoka chama kimojawapo kati ya vyama shikizi 19 au kutoka G55 au kutoka COVID-19 au CCM yenyewe au hata kutoka "wanaharakati" ataenda mahakamani kudai CHADEMA kuzuiliwa kushiriki uchaguzi mkuu kwa sababu ya kutojaza inayoitwa fomu ya maadili ni uvinjifu wa haki ya kikatiba kisha...
  16. chiembe

    Kwa kuwa msimamo wa mkutano mkuu wa chadema ni KUZUIA uchaguzi usifanyike, kwa nini Mnyika amekiuka kwa KUSUSIA uchaguzi kwa kutosaini maadili?

    Bado msimamo wa chama unawachanganya CHADEMA Uongozi unasema watazuia uchaguzi. Kusaini maadili ni sehemu ya uchaguzi. Nlitarajia Mnyika aende pale akazuie kipengele hiki cha uchaguzi. Hajafanya hivyo, sasa wanataka kuuzuia katika hatua gani? Alichofanya leo Mnyika ni kususia. Amefanya hivyo...
  17. MIMI BABA YENU

    Nilisema CHADEMA ya Lissu itakufa rasmi kabla ya 2026 na CHADEMA ya mzee Mbowe itafufuka rasmi soon

    George Michael Uledi! No Reforms No Election ya Ndugu Tundu Antipas Lissu imejiziika RASMI leo kwani hata Serikali ya awamu ya Sita ikileta Reforms nzuri kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Rais Wabunge na Madiwani 2025,ni RASMI kuwa Chadema hawawezi kushiriki Uchaguzi Mkuu wowote wa INEC mpaka mwaka...
  18. Lord Denning

    Ni Maajabu: Mwamko wa Kutisha waonekana kwa Watanzania kuwaunga mkono CHADEMA

    Kuna vitu watu wanaweza kukufanyia wakadhani wamekumaliza kumbe ndo wamekunyanyua mara 1000 zaidi. Pamoja na hila na madhila yote ambayo CCM wamewafanyia na wanawafanyia CHADEMA, ukweli ni kwamba kila siku Watanzania wameonesha kuzidi kukiunga mkono Chadema na ajenda zao kwa kasi ya kutisha...
  19. chiembe

    PreGE2025 Lissu anazika ndoto za vijana wa CHADEMA kushika nafasi za ubunge na udiwani

    Ndoto za vijana wengi walio CHADEMA zinazikwa na Lissu. Lissu ana uhakika kwamba hawezi kushinda U-Rais. Wenzake wana uhakika wa kupambania ubunge na udiwani na hata kushinda. Kwa kuwa anajua hawezi kushinda, anazuia hata wenzake wasipate mpaka yeye apate pia. Imagine kijana kama John Mrema...
  20. K

    PreGE2025 Tatizo kubwa ni Watanzania kutoshiriki sio Chadema - Chadema ni watu sio jina

    Watu wengi wanajisahau na kujitoa fikra. Chadema kutokushiriki maana yake ni kwamba kuna Watanzania wengi hawatoshiriki uchaguzi hasa wakijua matokeo kama 2019, 2020, na 2024 yamesha pangwa. Kwa mtu yeyote anayependa nchi hutakiwi kufurahia watu 30%~50% wa wapiga kura wako wawe hawaamini...
Back
Top Bottom