chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Salum Mwalimu: Milango ya Maridhiano na CHADEMA ipo wazi

    Aliyewahi kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zanzibar Salum Mwalimu amesema milango ya maridhiano na uongozi wa chama chake hicho cha zamani iko wazi endapo utakuwa na utayari. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia...
  2. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 No Reforms No Election yaingia Chato Mkoani Geita, Wananchi Wakesha kuisubiri

    Hii ndio Taarifa ya Dharula iliyotufikia hivi Punde, kwamba baada ya Matangazo kutolewa kwamba Chadema itakuwa na Mafundisho kwa Raia kuhusu Neema ya No Reforms No Election hapo Chato, Raia Wamelipuka kwa shangwe. Wengi wameahidi kukesha kusubiri Mtanange wa Chadema.
  3. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 No Reforms No Election yatikisa Bukoba Mjini, CHADEMA yanyimwa uwanja, Mkutano wapelekwa umbali wa KM 2, Wananchi Wafurika

    Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Chadema bado iko Bukoba, ambako leo walikuwa na Mkutano kabambe Bukoba Mjini, Wakanyimwa Uwanja na kupelekwa mbali Pembezoni mwa Mji. Eneo walilopewa lilijaa madimbwi, hata hivyo wananchi wakajaa na kusimama ndani ya madimbwi hayo hadi yalikauka yenyewe. Ushahidi...
  4. chiembe

    JamiiForums Tanzania Mhimili wa CHADEMA katika sanaa wakatika, Ney wa Mitego akana kuwahi kuwa MwanaCHADEMA, Jumatatu ijayo atafyatua santuri matata sana

    Ney wa Mitego sasa ni rasmi kaamua kuachana na chadema. Kila binadamu ana wakati wa kung'amua mambo ya hovyo halafu akatae kutumika vibaya. Ney amewahi kuimba nyimbo nyingi lakini chadema hawajawahi kumualika hata mara moja atumbuize
  5. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania CHADEMA INA NA KUTOKOMEA KWENYE NYUFA ILIZO ZISABABISHA YENYEWE.

    Unashauri chadema watumie mbinu za kisiasa kudhibiti nyufa zaidi za kudhoofisha chama hicho, hasa ukizingatia chadema haina sifa wala vigezo vya kisheria kushiriki chaguzi zozote za kisiasa humu nchini kwa miaka mi5 ijayo? Kumbuka, chama hicho kinajiendesha kwa kuombaomba kuchangiwa pesa za...
  6. Mindyou

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kada wa CHADEMA Elia Evarist: Toyota anayoendesha Heche amenunuliwa na kada wa CCM. Kadi ya hiyo gari inasoma jina la mke wa Waziri

    Wakuu, Kumbe Heche anaendesha gari ambalo amenunuliwa na kada wa CCM na mlikuwa hamsemi? Huyu kada wa CHADEMA amesema kuwa gari aina ya Toyota ambalo anaendesha Heche kwa sasa amenunuliwa na kada wa CCM na kwamba hata kadi ya hiyo gari inasoma jina la mke wa huyo Waziri ambaye ndo amenunua...
  7. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHADEMA Diaspora yatangaza Dau la Tsh Milioni 10 kwa yeyote atakayewezesha kupatikana kwa Mdude Nyagali

    Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani hii hapa
  8. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa timu ya CCM mitandaoni ishapigwa tano bila na timu CHADEMA

    Fuatilia yanayoendelea mitandaoni kwenye uwanja wa siasa .. Timu inayowa support ccm na mamluki wake iko taaban bin hoi Hawana hoja zenye mantiki bali wamebaki na uzushi na vitu vya kufikirika na kutunga vilivyokosa uhalisia. Hawana maudhui ya kutengeneza yaliyo na weledi na maono bali ni...
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Lissu akitoka gerezani atamkuta Heche kabaki peke yake kwenye Chama. Hapo ndipo watajua kuwa Mbowe alikuwa mwamba

    Sasa ndio mtajua kuwa Chadema ilijengwa na Mhe. Mbowe au Lissu. Gharika kubwa zaidi inakuja. hakuna atakaye salia, Katibu Mkuu, Kamati kuu, Bavicha, Bawacha, wazee wa CHADEMA wote watabwaga manyanga muda si mrefu. Atakaye enda gerezani kesho j.mosi 10/05/2025, asiache kumwambia ukweli chama...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Ushahidi wa picha: Habari ya CHADEMA kufa haipo Mbowe na kundi lake watakuja kujilaumu mageuzi yatapowakuta wakiwa nje

    Hii ni huko Karagwe leo hii. Video ipo katika akaunti ya Hilder Newton kwenye mtandao wa X. Mbowe na viongozi wenzake, walifanya kazi kubwa kujienga CHADEMA, ila leo wanaigeuka wakiamini itakufa kitu ambacho hakipo. Nawapo pole sana kusaliti kazi ya mikono yao wenyewe kwa kushindwa kusoma...
  11. 4

    JamiiForums Tanzania Hongera CHADEMA na Watazania kwa ujumla, wahuni wamekimbia

    Wana wa Mungu JF ,Mungu mwema siku zote , niwasalim kila mmoja kwa imani yake. Mwanakondoo ameshinda. Rejea mada tajwa hapo juu Nachukua nafasi hii kukipongeza chama cha Chadema tz na watanzania wote wapenda haki. Leo hii wahuni waliokua wamejipachika kwenye chama wameona mziki sio kama...
  12. J

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ilipasuka katikati alipoondoka Dkt. Slaa na kuja Lowassa, hawa wanaoondoka sasa akiwemo Mbowe siyo maarufu kumzidi Slaa

    Chadema imewahi kugawanyika mara moja tu pale walipomtosa Dr Slaa na kumleta mzee Lowasa Unajua kwenye hizi siasa zetu za Tanganyika Mbowe hajawahi kufanya tukio lolote la kutikisa nchi kama vile Dr Slaa na Kagoda, Masoud wa Temeke na Panton, Lyatonga na Chavda, Zitto na Buzagwi, Kafulila na...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 John Heche: Wanaoondoka CHADEMA ni matokeo ya mabadiliko ya uongozi, si ubaguzi

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Bara, John Heche amesema ndani ya chama hicho hakuna ubaguzi bali ni mabadiliko ya kawaida ya viongozi. Heche amesema hayo leo Alhamisi, Mei 8, 2025 mkoani Kagera katika mikutano ya operesheni ya No reforms, no election 'bila...
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Heche: Wale G55 wanaenda Chama kingine ili ionekane Chadema imekufa, sisi hatununuliki

    John Heche, Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara akizungumza kwenye mkutano wa hadhara wilayani Kyerwa Mkoani Kagera leo Mei 07, 2025. "Leo mnaishi kwenye nchi ya asali na maziwa, watu wetu ni maskini, matibabu ni ya shida hata barabara ya kuunganisha wilaya na wilaya ndio hiyo tunatembea - kwa...
  15. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Kuna mambo ya ajabu yanafanywa na viongozi wa Chadema chakavu

    Kiongozi wa Chadema chakavu, japo upo nje ya nchi unatoa dondoo, za fulani bin fulani wako mbioni kumshambulia, na genge fulani, katika maswala ya kikachero mambo ya aina hii, yanapobashiriwa, nathubutu kusema kuna mambo huyo mwota njozi anakuwa anayafahamu aidha yanakuwa yapo ndani ya genge...
  16. Q

    JamiiForums Tanzania Kushindana na CHADEMA ni kushindana na Wakati

    Nyerere aliwahi kusema "Ukiniuliza chama chenye sera Makini na watu Makini kuliko vyama vingine nitakuambia CHADEMA". Mwaka 2019 enzi za Mwendazake niliwahi kuandika uzi unaosema "Chadema itabaki kuwa Chadema" wengi hawakunielewa, kama utakuwa na muda pitia Uzi hapo chini. Tangu kuanzishwa...
  17. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania G-55, Mandela, na Safari ya Kujisafisha Chadema: Tunakoelekea Ndiyo Tunakostahili Kuwa

    Kitendo cha kundi la G-55 kujiondoa ndani ya CHADEMA kimeniamsha fikra juu ya jambo la msingi sana kuhusu uhai wa vyama vya siasa—kuwa si kila msongamano ni mshikamano, na si kila idadi ni nguvu halisi. Nilijikuta nikikumbuka mwaka ambao CHADEMA, chini ya Katibu Mkuu wa wakati huo, Dkt. Wilbrod...
  18. H

    JamiiForums Tanzania Kuondoka kwa mamluki ni faraja kubwa kwa CHADEMA. Zifanyike jitihada waondoke wote

    Siku zote, mamluki au wasaliti ndani ya taasisi yoyote ile ni ufa mbaya, na ni sumu kwa maendeleo ya taasisi hiyo. Bila shaka, waliofuatilia kikao cha Kigaila na wenzake, na wanahabari tarehe 7 May 2025, alisikia hoja za ajabu za watu hao. Watu hao waliongea uwongo mwingi kama vile hakuna watu...
  19. G Sam

    JamiiForums Tanzania Walioondoka Chadema ndiyo waliomkosesha Mbowe uongozi kwa awamu nyingine

    Kama Mbowe angekuwa mbele ya muda basi alitakiwa kujivua lawama mapema na kuondoa wahuni wote chamani. Hilo lilikuwa wazi na lilionekana kwa kila mmoja. Shida ni angeweza vipi kuondoa washiikaji zake muhimu? Wewe unaambiwa Kigaila mke wake alienda bungeni kwa njia haramu. Kigaila ni naibu...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu ambao kila mtu anauona uwe CCM au CHADEMA lakini anaumia kimyakimya

    Ni kitendo cha Wanzanzibar kujazana Serikalini. Niseme nimeshuhudia awamu zote za uongozi lakini hakuna awamu iliyojaza wazanzibar Serikalini kama hii, karibu kila ofisi kila idara utawakuta, na hawajifichi kutokana na lafuzi ya kiswahili Chao. Sibagui mtu inauma maana wamechukua ajira za...
Back
Top Bottom