chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. Megalodon

    JamiiForums Tanzania Fumigation iliyopulizwa CHADEMA iongezwe, bBado kuna wadudu wanatambaa!

    Imepulizwa Fumigation tunaona wadudu wanavyotoka...... kuna wadudu bado wanatambaa.... nashauri Fumigation irudiwe Upya... Chama kibaki na watu wanaomaanisha kuwa tunataka Reform ya kweli. Ma opportunists yote yatoke. Kazi nzuri kabisa chini ya Lissu Heche Mnyika na Wanachama wa Chadema...
  2. Mr Why

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu ni kuwa Wachaga hawawezi kuachia CHADEMA kilaini kama mnavyoamini, Wachaga na maslahi ni kifo tu ndo kinaweza kuwatenganisha

    Ukweli mchungu ni kuwa Mbowe hawezi kuachia CHADEMA kilaini kama mnavyoamini, Wachaga na maslahi ni kifo tu ndo kinaweza kuwaachanisha Hivi mnawajua Wachaga vizuri kweli kwenye mambo ya maslahi?? Au bado hamuwajui?? Wale jamaa bana kwenye mambo ya maslahi akishakuwa king'ang'anizi hawezi kuacha...
  3. Mganguzi

    JamiiForums Tanzania Hata CHADEMA wakichukua nchi bado wapinzani wataendelea kutekwa na kupotea. Wapinzani sio lazima wawe CHADEMA hata CCM ni wapinzani kwa CHADEMA

    Nimeona kada wa chadema singida akipigwa na kupoteza fahamu ndani ya kikao Cha ndani Cha chadema, na wanaompiga wanasikika wakisema huyu ni team Mbowe huyu mshughulikieni !! Sijajua kama CHADEMA wakichukua nchi watu wataacha kupotea! Maana najua kwa Sasa ndani ya CHADEMA kuna wapinzani...
  4. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Je, uongozi mpya wa CHADEMA ukiacha kuropoka na CHADEMA wakiacha kuporomosha matuasi, uko tayari kuwapongeza kuacha tabia hizo zisizo na ustaarabu?

    Wanaojiengua kutoka chadema kwa wakati huu, Wanadai uongozi mpya wa chadema taifa umepoteza uelekeo na badala yake umekua ukiongozwa kwa matamko yasiyotokana na vikao vya chama na badala yake kila kiongozi wa chadema huropoka kadiri anavyoona inafaa, huku uropokaji huo ukisindikizwa na...
  5. Inside10

    JamiiForums Tanzania Boniface Jacob(Boni Yai): Nakulilia rafiki yangu Mdude

    NAKULILIA RAFIKI YANGU MDUDE Ni siku takribani 8 tangu uvamiwe, utekwe, ujeruhiwe na kupotezwa ukiwa ndani ya nyumba yako kata ya Iwambi, Jijini Mbeya. Tukio lako limeacha maswali mengi bila majibu, simanzi kubwa kwa ndugu, Jamaa na familia yako. Nilichofanikiwa kujua hadi sasa ni kimoja tu...
  6. Inside10

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Polisi Mbeya: Ole wake yeyote mwenye nia ovu ya kufanya uhalifu au kudhuru askari au familia yake

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea na uchunguzi wa tukio la tarehe 02 Mei, 2025 la kuvamiwa na kujeruhiwa kwa Mpaluka Said Nyagali maarufu Mdude Mfuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA] na watu wasiofahamika na kisha kutoweka naye kusikojulikana. Katika hatua za awali, Jeshi...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Chadema tumieni siku arobaini za mwanzo kwa usahihi ili kumpata mdude ile damu aliyomwaga inaweza kuwasaidia

    Watu wengi tumepofushwa sana siku hizi! Ile nguvu yetu ya asili tumeweka kapuni tukiamini ni dhambi! Zamani wazee walilinda mashamba kwa nguvu za asili, wezi walikipata cha moto! Damu ya mdude iliyomwagika inaouwezo wa kuwapa ushirikiano ndani ya siku 40! Iteni wataalam na muiambie ile damu...
  8. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Zaidi ya Wanachama 100 wa Chadema Wajiunga na CCM Arusha

    Wanachama zaidi ya mia moja wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kutoka kata za Engutoto na Lemara Jijini Arusha, wamepokelewa na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi kwenye Mkutano wa hadhara wa Mbunge wa Arusha Mjini Mhe. Mrisho Gambo unaofanyika leo kwenye Viwanja vya soko kuu Jijini...
  9. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Katibu wa CCM Sengerema awachana Chadema kuna mgogoro ndani ya chama hicho

    Katibu wa CCM Wilaya ya Sengerema, Rashid Semindu amewachana wapinzani hususan Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kueleza kuwa kuna mgogoro ndani ya chama hicho. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio...
  10. C

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 ITV, Azam na wengine mmekuwa wanafiki? Press za G55 mnaonesha kwa airtime ya kutosha lakini mikutano ya CHADEMA kimya!

    TV station kubwa za Tanzania yaani ITV, AZAM, TBC, STAR TV na wengineo ni za kipuuzi sana. Nafuatilia kila siku naona mnaonesha vizuri sana hao mamluki wa G55 wanaojitoa CHADEMA na mnawapa Airtime nzuri kabisa, lakini mikutano ya CHADEMA inayoungwa mkono na wananchi na yenye nyomi huko mikoani...
  11. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Ukweli ni kua kwa mara ya kwanza, Dola na CCM ndio wamepata upinzani wa kweli

    Wakuu, Toka Uhuru, japo majaribio Kadhaa ya kumpindua Nyerere yalitokea, baada ya ujio wa Vyama vingi , CCM ilikua imezoea kua na Upinzani Uchwara tu, unaahidiwa kugombea Urais, ukikosa, wanakuteua U-RC. Wakati mwingine unamwagiwa Pesa tu basi. Kwa Ufupi hapakuwahi kutokea UPINZANI unaoitaka...
  12. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania CHADEMA mpya itashiriki uchaguzi Mkuu ujao , Ushindi wake ni hakika, Mamia kwa mamia ya Wabunge, Madiwani wa CHADEMA, Pole kwa wanaohama

    Wakuu, Rais ajaye baada ya Samia ni Tundu Lissu ! Pole Kwa G-55 na wahuni wote ambao mmeingizwa Cha kike na watu wajinga. Wavumilivu Kwa miezi hiyo michache wanaenda kula Mbivu na Wananchi wooooote Kwa ujumla watakua na Furaha sana Kwasababu WANAOONGOZA, NI WATU WA HAKI. CCM HATA mfanyeje...
  13. Dabil

    JamiiForums Tanzania Tarehe ya kupiga kura CHADEMA watangaze iwe siku ya maandano nchi nzima

    Nawashauri CHADEMA ikifika mda bado hakuna reform iliyofanyika Tume ikatangaza tar ya uchaguzi basi hiyo hiyo tarehe ya kupiga kura waitangaze kama siku ya maandamano nchi nzima. Kwanza polisi wengi watakuwa kwenye vituo vya kupiga kura,pili wakimwaga polisi na majeda mtaani watu wataogopa...
  14. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Gambo kama MwanaCCM yupo sahihi, MAKONDA akiwa RC Gizani aliumiza watu wengi sana

    Watanzania wanatakiwa wajuez Watu wachafu wanakawaida ya kuvaa mavazi masafi. Makonda aliumiza Clouds Media Makonda aliumiza wafanyabiashara wengi sana kwa Kutumia Jina la Magufuli. Makonda ametajirika isivyoajabu kwa Matendo ya kihuni na na kikatili aliyonayo . Ilifika wakati Makonda...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Ishara ya msalaba tunayopiga iko kinyume na mzunguko wa umeme katika mwili, hata kidole cha pete na vile vya CHADEMA havina matokeo

    Hii ni part 2 ya somo letu la ujue umeme katika mwili wa binadamu. Siku ya kwanza nilielezea kwamba maisha ya mwili wa binadamu ni umeme! Yaani kuoana ni umeme, kutembea ni umeme, kusali ni umeme n.k! Na mzunguko huu wa umeme unatambulika na viumbe wote waliopo duniani! Na ndiyo maana huwezi...
  16. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Aibu yao CCM: Pamoja na figisu zote CHADEMA yazidi kukubaliwa na Wananchi kiwango cha kutisha

    Nawaonea huruma sana CCM. Wamelipa mamluki wao kujaribu kuleta kashkash Chadema ili Wananchi waone chama kimekufa wapi? Wananchi ndo wanazidi kuipenda Chadema zaidi ya jana. Wamemkamata Kiongozi Mkuu wa Chadema na kumuweka ndani, kutegemea Watanzania watarudi nyuma kuipenda Chadema ila wapi...
  17. K

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanarumbana CCM wanachekelea Watanzania wanaumia, ni nani mtetezi wa kweli wa Watanzania?

    Nchi ipo katikakati ya majonzi. Viongozi wa dini wanavamiwa, wanataka kuuwawa wengine wanatishiwa maisha Wanaharakati wanateswa, wanapotezwa na wengine wanatupwa jera kinachobaki ni familia kuwalilia wasijue watanyamanza lini Katika katika ya majonzi mkuu wa jumba linalokusanya wawakilishi wa...
  18. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Chukulia Chadema ingechukua nchi 2015. Alafu hii G55 na Covid19 ndio IPO kwenye safu ya viongozi

    Habari za jumapili! Hawa wanaoitwa Njaa55 tukirudi nyuma kidogo kama mwaka 2015 wote wangekuwa sehemu ya Safu ya viongozi wa taifa hili. Hawa COVID-19 ambao yadaiwa wameingia bungeni kimagumashi nao ndio wangekuwa viongozi wa nchi yeti. Wanaitwa Wasaliti. Wanaitwa Njaa55 Kali kama ya mtoto...
  19. 05CUBA

    JamiiForums Tanzania Hivi Mnadhani CCM iliingia madarakani kwa kusonyana na kusuta a Kama wafanyavyo CHADEMA?

    Kila siku wakiamka ni mwendo wa kunyosheana vidole... Huyu kanunuliwa, yule katumwa, huyu mamruki, Yale namna GANI huyu namna Ile. Hivi watu emwa hii Tanzania wanadhani kuchukua nchi ni lelemama Sana ??? WanaCHADEMA wanaodhani upinzani unaposhinda pale Kenya, south, Zambia na nchi zingine...
  20. 05CUBA

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ikitoboa hata nusu ya malengo yake ambayo hayapo bayana hadi sasa mimi binafsi nitahamia Congo

    Juzi tarehe 7. Nikienda kujiandikisha kupiga kura ..... Ile nyomi nimejikuta pale Hadi nakauliza kwa sauti, nikasema "" wazee ivi uchaguzi si tumesema haupo mwaka huu ??? Mbna mmekuja kwa hasira Sana kujiandikisha Sasa ?? Bas wadau wakanijib kuwa ni CHADEMA Ndiyo haitashiriki Ila sisi...
Back
Top Bottom