chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. Cute Wife

    PreGE2025 Mwenyekiti BAZECHA: Rais Samia aeleze kwanini Watanzania wananyanyasika katika ardhi yao, aeleze hatua alizochukua kulinda haki

    BAZECHA Pwani wanaongea na Waandishi wa Habari https://www.youtube.com/live/C8UctgnFAbg?si=i1BRJLq9o2CFiX0x Mwenyekiti BAZECHA - James Haule Ni kwa mara ya kwanza Kanda ya Pwani kuongea na waandishi wa Habari, tumekuwa tukifatilia kwa ukaribu mazingira halisi yaliyopelekea cnhi yetu kufikia...
  2. Just Pray

    PreGE2025 Katibu wa CHADEMA Bariadi na wengine 83 wajiunga na CCM

    Katibu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu Bwana Charles Nduhi Lyaganda amejiunga na Chama Cha Mapinduzi CCM akiambatana na Wanachama wengine 83 wa Chama hicho. Akizungumza mara baada ya kukabidhiwa Kadi ya CCM, Lyaganda amewaambia wananchi kuwa...
  3. L

    AIBU: CHADEMA yafirisika yaanza kutumia picha za Mikutano ya Hayati Edward Lowassa za 2015

    Ndugu zangu Watanzania, Duniani Muogope Sana Mwenyezi Mungu pamoja na Teknolojia. Hali imekuwa tete kwa CHADEMA,hali imekuwa mbaya,hali imekuwa ya kukatisha tamaa ,hali imekuwa siyo hali,hali inawanyong'onyesha viongozi wa CHADEMA na wanachama wote kwa ujumla wake. Ambapo sasa baada ya...
  4. SankaraBoukaka

    Msomi Unapataje Muda wa Kulumbana na Wanasiasa? Heche Yuko Sahihi. Tunazalisha Mabingwa wa Kukariri

    Kauli ya makamu mwenyekiti wa CHADEMA John Heche, kuhusu mfumo wa elimu wa Tanzania kuzalisha "mabingwa wa kukariri" badala ya wasomi halisi ni ukweli usiyo namashaka. Vijana machawa walijikusanya na kutoa majibu kwa kauli hiyo, wakidai kuwa amekosea na kuidhalilisha Elimu ya Tanganyika. Na...
  5. Waufukweni

    PreGE2025 Amos Makalla: Uchaguzi hauwezi kusogezwa, CHADEMA jipangeni 2030

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema uchaguzi hauwezi kusogezwa mbele kwani wamejipanga kushiriki uchaguzi na hawawezi kuwa sehemu ya kuvunja katiba, hivyo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wajipange 2030. Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha...
  6. R

    CHADEMA Simiyu NRNE: Waziri wa madini anatokea Dodoma, hii imekaaje?

    Salaam! Hii nimeipata kwenye hotuba ya CHADEMA mkoani Simiyu kwenye operation ya NRNE kwamba Waziri wa madini atokea Dododomma kusiko na madini yoyote zaidi ya kilimo Cha karanga. Haya ameyasemea Simiyu kanda ya Ziwa, Ndugu Deo Mahilinya, Amedai Tanga kuna mawaziri watano, iweje kanda ya Ziwa...
  7. S

    PreGE2025 Baadhi ya wanachama Katavi wahama CHADEMA, waisomea dua ya maiti!

    Maelfu ya wanachama wa Katavi wahama CHADEMA waisomea CHADEMA dua ya kiislamu ya Maiti CHADEMA Inna Lillahi wa inna ilaihi raji'un
  8. Manyanza

    Majibu ya CHATGPT : Kwanini Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inaipendelea CCM na kukihujumu CHADEMA?

    Swali lako linaelekea kwenye mada nyeti ya kisiasa nchini Tanzania, na linahitaji kutazamwa kwa umakini, kwa kuzingatia ukweli, muktadha wa kihistoria, na mitazamo tofauti. Kwa nini watu wengine wanasema Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inaipendelea CCM na kukihujumu CHADEMA? Hapa kuna sababu...
  9. M

    PreGE2025 John Mnyika: Viongozi wa Chadema waliojiondoa kwenye chama nafasi zao kuzibwa

    Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, ametoa agizo la kujazwa kwa nafasi zote zilizoachwa wazi na viongozi waliojiondoa kwenye chama hicho, ili kuimarisha uongozi na kuendeleza kampeni yao ya "No Reform, No Election". Agizo hili limetolewa leo Alhamisi Mei 15 mjini Bariadi wakati wa mkutano wa...
  10. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mwakajoka: Tuhuma za waliohama CHADEMA hazina Msingi, walishiriki mageuzi wakiwa ndani ya Chama

    Katika kipindi ambacho baadhi ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamekuwa wakitangaza kuhama na kujiunga na vyama vingine, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Frank Mwakajoka, ameeleza kuwa hatua hiyo inaonyesha kushindwa kwao kuvumilia misimamo ya chama...
  11. Zanzibar-ASP

    PreGE2025 Kiujumla wanaojitoa sasa Chadema ni wasaka madaraka, usishangae baada ya uchaguzi kwisha wakataka kurejea tena Chadema

    Njaa hainaga simile ukishaiendekeza. Lile kundi la G55 baada ya kugundua hakuna namna mpango wa 'nusu mkate' (kupewa bakishishi ya madaraka kupitia Chadema kwa fadhila za CCM) kuweza kutekelezwa chini ya uongozi wa Lissu, wakaona isiwe tabu maana msimu wa 'mvua' umefika, hivyo wakichelewa tu...
  12. Papaa Mobimba

    PreGE2025 CHADEMA Kinondoni: Ukimya wa Freeman Mbowe unatia shaka, ajitokeze hadharani kusema kama anawapa baraka G55

    WAFUASI na Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kinondoni wamemtaka Freeman Mbowe, Mwenyekiti Mstaafu wa chama hicho, kutoka hadharani kueleza kama anaubariki upande wa chama hicho unaodaiwa kuzua mpasuko ndani ya chama hicho (G55), au hana baraka nao. Aidha viongozi hao...
  13. Z

    Kataa ubaguzi ndani ya CHADEMA yazidi kupuputisha maelfu ya wanachama

    Maelfu kwa maelfu wanakikimbia Chadema kwasababu ya sera za kibaguzi zinazo fanywa na Lissu na Heche. Wanachama wamekerwa sana kiasi kwamba wanajutia kuchaguliwa kwa Lissu na Heche kuwa viongozi. Siri za ndani ya Chadema zinafichuliwa na waliotoka ndani, hakuna siri tena chama kimebaki...
  14. Idugunde

    CHADEMA ya Lissu ni CHADEMA inayolitakia mema taifa letu

    Kwa haraka kama unapenda ushabiki unaweza kudhania ni watu wanaopenda kukinzana bila sababu ya msingi. Ni watu ambao kwao siasa sio biashara. Hawako tayari kunywa kahawa za Ikulu huku rasilimali za umma haziwanufaishi wanannchi. Wanatataka taifa la Tanzania liwe na Katiba ambayo italinda...
  15. K

    Polisi na Msajili wanashindana sasa kwenye kiki - uchawa kupitia CHADEMA

    Polisi na Msajili wanashindana sasa kwenye kiki-uchawa kupitia Chadema. Imefika wakati viongozi wanaamka asubuhi na kufikiria wafanye nini kwa Chadema ili matukio yao yaongelewe kwenye vyombo vya habari. Kiasi kwamba sasa hawa wakienda kumshika mtu ili waongeze chumvi Polisi wanawapiga ili tu...
  16. Mr Why

    Fahamu kwa undani vita kati ya CHADEMA vs CCM

    Mambo yanayondelea CHADEMA inawezekana yakaonekana mageni machoni mwa watu wengi CHADEMA ina vita mbili, vita ya kwanza kati ya CDM ya sasa na iliyopita CDM ya sasa imeshindwa kuvaana na iliyopita nadhani sababu kubwa ni maslahi ya Chama na Nchi Vita hii ingeweza kuisha kwa njia tatu, ya...
  17. Carlos The Jackal

    PreGE2025 Tuburudike kidogo: Kwa hakika CCM hawana Furaha, CHADEMA ni wanyonge ila wana furaha

    Tuburudike kidogo na Video hii, Kwa Hakika CCM hawana Furaha ,Licha ya CHADEMA Kuwa wanyonge ila wanafuraha.
  18. Mohamed Said

    Wanaoondoka CHADEMA ni waliokuwa Viongozi peke yao, Vipi Wanachama?

    Wachina wana msemo, ''May you live in interesting times,'' yaani inapendenza kuishi wakati mambo yanatokea. Nimejitahidi kueleza maana ya msemo huu kwa Kiswahili ingawa yawezekana pakawa na tafsiri bora zaidi. Kila nikiangalia video ya viongozi wa CHADEMA ni viongozi peke yao ndiyo wanatoka...
  19. M

    Mbona kama nachanganyikiwa..! Risasi alizopigwa Lissu zinauhusika na pande zote mbili? Kwanini wanachadema wanaamua kukimbia chama bila sababu?

    Wanusa upepo wa CCM na Chadema hasa wanaokula sahani moja kwenye hizi siasa za kinafiki, wamegundua kuwa, Ni dhahili Chadema inaenda kushika dola Wakati huu, nilitarajia Chadema iwe moja, ishikamane kwa hali zote Kwa sababu, wakati wa Chadema kuchukua nchi ni sasa, na hii ingefanya Chadema...
  20. Cute Wife

    PreGE2025 Morogoro: Devotha Minja na baadhi ya G55 pamoja na wananchama wajivua uanachama CHADEMA

    Wakuu, haya wacha tuone leo ni nani anajiahibisha leo na kuutangazia umma anaenda kuchukua 'chai' kwa CCM. ==== G55 Morogoro kuzungumza na waandishi wa habari kujiondoa CHADEMA https://www.youtube.com/live/Oniq6b-NIn4?si=yCSNQyRnUYtwXCfy Meza Kuu inajumuisha; Devotha Minja - ameanza kwa...
Back
Top Bottom