Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.
Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.
Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.
Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
Sio mara ya kwanza kwa Chadema kunyimwa ruzuku, ilishawahi kujiendesha pasipo ruzuku ya serikali kwa zaidi ya miaka 3 bila kuyumba.
Chama ni wanachama, kama wanafikiri Chadema itayumba kwa kukosa ruzuku wanajisumbua wao waendelee na project yao ya utekaji.
Chama kinaweza kupokea ruzuku kubwa...
Sasa ni dhahili, CCM imeazimia kuiua Chadema kwa kutumia vyombo vya Serikali/ dola baada ya hila na mbinu zote za kisiasa kufeli. Walianza kutoa hela kwa wajumbe wa Chadema ili Lissu na Heche wasiwe viongozi wakafeli, Wakatoa mabilioni ya shilingi kuhonga mamluki ili wajiondoe Chadema mradi huo...
Makamanda, Tunasonga mbele, tukichangie chama , kesho nitaanzisha Uzi ambao nitahitaji Screenshots za Kukichangia CHADEMA shilingi Elfu Kumi Kumi tu!!.
Najua tumechangia na tunaendelea kuchangia, ili Tuwaonyeshe Hawa manyang'au wa CCM kua CHADEMA ni chama Cha Wananchi basi Kwa heshima na...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoa wa Arusha kimeeleza kusikitishwa na taarifa ya kuzuiwa kufanya mkutano wao wa hadhara uliopangwa kufanyika kesho Mei 28, 2025, katika viwanja vya Kilombero Jijini Arusha.
Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Arusha, Elisa Stephano Mungure ameeleza kuwa...
Habari wakuu
Inahitaji utulivu mkubwa kuweza kusoma mchezo, sasa hivi CCM wanakosoana wenyewe kwa wenyewe huku watu wakishangilia na kusifia viongozi wa CCM wanaoikosoa CCM.
Mtoto wa nyoka ni nyoka, na mwana CCM ni mwana CCM, once a CCM always a CCM
Hii mbinu imetumika sana miaka ya nyuma...
Serikali ya Samia Suluhu iko vitani dhidi ya chama chetu.
Walimkamata Mwenyekiti na kumpa kesi ya uongo.
Walifungua kesi ya uongo kutumia viongozi wa zamani kutoka Zanzibar.
Sasa msajili ambae yeye ndio anaandika barua ya kutushitaki alafu yeye anatoa huku kwenye barua yake.
Hana mamlaka...
Mtego ulio tengenezwa ni kwamba CHADEMA wakiitisha tu mkutano wa Balaza kuu basi wamiesha, yaani hao viongozi wa Balaza kuu la CHADEMA watapitishiwa pesa za kutosha na either wafanye yafuatayo;
1. Kuto wapitisha kabisa viongozi hao wapya wa secretaroeti.
2. Kuleta fujo ya hatari sana ukumbini...
Msajili wa vyama vya siasa, Francis Mutungi ameelekezwa kuifuta Chadema haraka iwezekanavyo, tunayo taarifa kwamba amepokea maagizo hayo mara tu baada ya kukamatwa Tundu Lissu.
Cha kushangaza bado anagwaya, badala yake anampangishia nyumba Mshirika wake Mchome ili aendelee kusumbua Chadema...
Swali langu huko CCM Huwa siku zote ni Moja tu, Unatakiwa uwejinga Kwanza ndio uwe Mwanaccm ? Au MTU anakua na akili yake vizuri tu kwanza alafu akishakua Mwanaccm ndio anakua Mjinga?.
RAIS Samia kupitia Msajili Kasitisha Ruzuku Kwa Chama Cha CHADEMA , hii sio vita dhidi ya CHADEMA, ni vita...
Kuna sintofahamu nyingi kati ya CHADEMA na Msajili wa vyama vya siasa ambayo inaonnyrdha kuwa nafasi ya kutumia busara haipo tena.
Ni wazi kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka 1992, Msajili wa vyama ana madaraka ya kukifuta chama kwenye faftari ambacho kinaendeshwa kinyume na...
Maombi haya nayaelekeza rasmi kwa Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania na Serikali ya Marekani.
Tunajua katika ziara ya Makamu wa Rais wa Marekani aliyepita Bi. Kamala Harris, Serikali ya Marekani iliahidi kutoa fedha zaidi ya Bil 800 kwa Serikali ya Tanzania kwa ajili ya masuala ya Demokrasia...
Msajili wa Vyama vya siasa nchini Tanzania kulingana na Mamlaka aliyonayo chini ya Kifungu cha 18(6) cha sheria ya Vyama vya siasa, ametangaza leo Jumanne Mei 27, 2025 kusitisha kutoa ruzuku kwa Chama Cha Demokrasia na maendeleo Chadema hadi pale watakapotekeleza maelekezo ya Ofisi ya Msajili...
"Ofisi ya Msajili wa Vyama vya siasa inapenda kuwafahamisha wananchi, wadau na Taasisi zote za serikali na binafsi kuwa wanachama tajwa sio viongozi wa Chadema,
1. Bwana John Mnyika
2. Amani Golugwa
3. Ali Ibrahim Juma
4. Godbless Lema
5. Dkt. Rugemeleza Nshala
6. Rose Mayemba
7. Salima...
Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo- CHADEMA (BAWACHA) Kanda ya Kati Emmy Kibatala amesema kuhama kwa baadhi ya viongozi wa chama hicho hakujawateteresha hasa kuelekea uchaguzi mkuu ambapo amedai watashiriki ikiwa mifumo ya uchaguzi itawekwa sawa...
https://youtu.be/1f_r4K23h0c?si=JryS33KdwjyIkuCY
===
Mkurugenzi wa Mtendaji wa taasisi ya Utafiti na demokrasia Prof Rwekeza Mukandara kwa mashirikiano na kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC wameandaa kongamano kubwa na la kihistoria litakalofanyika Chuo kikuu Cha Dar es salaam.
Pamoja na...
Mzee wetu wa heshima Mbowe, wakati anatoa hotuba yake ya kuachia uongozi, aliwasihi anaowakabidhi waunde kamati ya upatanisho baada ya kuchafuana sana ndani ya chama hicho wakati wa uchaguzi.
Hawa watu wanaosemeana uongo na kuchafuana kiasi hicho, wanaishia kusema uongo ndani ya chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.