Huu ni ushauri wa bure kwa CHADEMA na Wanaharakati (wote ndani na nje), ikiwapendeza, waungwana kabisa.
Kutoka kwa mwananchi, mdau.
Kwenu waheshimiwa, niwasalimu kwa jina la solidarity: "Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu."
Tulikuwa tuko vizuri. Tulikuwa wamoja. Tulikuwa tukitembea vifua...