Wakuu,
Ni muda umepita bila ya kuwasikia wasemaji wa CHADEMA kupitia mitandao haswa Lema na Mdude. Ni ukweli kuwa usemaji wao ni wa kufizia matukio na si usemaji wa kuuza sera za chama chao.
Nikiwa kama mdau mkubwa wa hawa watu naombeni kujua ni nini kimewapata hadi kutoweka kwenye mitandao zaidi ya wiki sasa.
Ni muda umepita bila ya kuwasikia wasemaji wa CHADEMA kupitia mitandao haswa Lema na Mdude. Ni ukweli kuwa usemaji wao ni wa kufizia matukio na si usemaji wa kuuza sera za chama chao.
Nikiwa kama mdau mkubwa wa hawa watu naombeni kujua ni nini kimewapata hadi kutoweka kwenye mitandao zaidi ya wiki sasa.