ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. kyagata

    JamiiForums Tanzania Kuitoa CCM madarakani ni ngumu sana kwa kweli,labda atokee Rais chizi tu atakaeamua kuwa against na wao

    Just imagine baadhi ya wakuu wote wa vyombo vya ulinzi na usalama wana kadi za CCM na ndio maana wanadiriki kugombea ubunge kwa ticket ya CCM wakuu wa mihinili ya nchi kama spika wa bunge na jaji mkuu nao kumbe ni wana CCM. Kwa kweli CCM ni ngumu kuitoa madarakani sababu wana back up kubwa sana.
  2. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wagombea 14 wa Ubunge Jimbo la Mpina utata mtupu, Meatu wazua utata kwa wana CCM

    Taarifa za CCM Mkoa wa Simiyu kuwa kuna wagombea 14 wa Ubunge Jimbo la Kisesa waliochukua fomu na Wagombea 13 jimbo la Meatu zimeibua sintofahamu kubwa na baadhi ya wanachama kudai kuwa wagombea ni wa mchongo ili kuvuruga mchakato wa uchaguzi ndani ya Chama. Minong'ono imekuwa mikubwa baada ya...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ukitaka raha jiunge CCM

    Maisha muruwa, hakuna kulinda au kuzuia uchaguzi. Ukishapiga kura unaongojea kutangaziwa. Wapinzani unaweza ukajitolea hali na mali na ukapoteza kila chako siku ya siku anaujiuga ccm na kupata cheo wewe ukiuguza majeraha
  4. S

    JamiiForums Tanzania Hivi unawezaje, uwe au usiwe CCM, kufurahia Lissu kuwekwa rumande na kuwa mbali na familia na jamaa zake? Labda uwe na roho mbaya ya kishetani sana

    Unajua kitu kimoja ni kwamba kuna mambo na hisia ambayo yanakutambulisha wewe ni mtu wa namna gani. Kuna vitu ambavyo vitakutambulisha wewe kuwa mtu mstaarabu au mwenye roho mbaya ya kishetani sana. Kwa mfano, chukulia kibaka amekamatwa akijaribu kupora simu yako. Watu wenye hasira wanaamua...
  5. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Esta Bulaya atahudhuria kikao Cha kuvunja bunge August 3 kama Mbunge wa chama Gani?

    Wakuu ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni. Taifa letu Sasa limekuwa kituko tena kituko haswa kwa haya yanayoendelea. Sasa huyu Esta Bulaya atahudhuria kikao Cha kuvunja bunge August 3 kama mwanachama wa chama Gani? Haya ni maajabu.
  6. technically

    JamiiForums Tanzania CCM adui yenu sio LISSU, Adui yeni ni CCM yenyewe

    Ndungai alilazimishwa kujiuzulu Samwel sitta alilazimishwa kustaafu usipika kwa sababu ya kunyooka. Mangula alilishwa sumu Makonda alilishwa sumu Magufuli alilishwa sumu Magufuli alikufa bado anahitaji kuwa Rais Lowassa alizungukwa na kulazimika kujiuzulu Mwakyembe alilishwa sumu na...
  7. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ndele Mwaselela (Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa CCM) ataja sababu ya kutogombea Ubunge

    MJUMBE wa Halmashauri Kuu Taifa (MNEC), Ndele Mwaselela ametoa sababu ya kutogombea nafasi ya ubunge katika mchakato wa uchukuaji fomu na urejeshwaji ulionza Juni 28 mpaka Julai 2,2025. Mwaselela ametoa msimamo wake leo Jullai 3, 2025 kwenye mkutano wake na Waandishi wa Habari katika Ofisi za...
  8. Abraham Lincolnn

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Kikwete 'Kuna mwanasiasa maarufu kumzidi Samia?' Ina maana CCM wanazingatia umaarufu sio ubora wa kiongozi

    Nimesikitishwa sana na kauli ya Kikwete alipokuwa akihutubia katika mkutano mkuu wa CCM, alipokuwa akiwajibu wale waliokuwa wanaonesha nia ya kukitaka kiti cha uenyekiti na urais kwa kutaka kuchukua fomu kuomba ridhaa ya kuwa mgombea urais ndani ya CCM. Katika maelezo yake Kikwete anawahoji...
  9. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Haya yote yamesababishwa na CCM kugeuza ubunge kama biashara na sio sehemu ya kuisimamia serikali kama Katiba ya JMT inavyoelekeza.

    Kila mwana CCM anawaza kwenda kuvuna pesa tu wala sio kutumikia wananchi. Hii ndio sababu ya watu elfu nne kwenda kuwania 300 hii ni dhahiri kuwa sasa ubunge ni biashara inayolipa iliyozalishwa na CCM 👇
  10. USSR

    JamiiForums Tanzania CCM wavuna bilion 2.2 kupitia ada ya kuchukua fomu ,wagombea ubunge wafikia 4109

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo CPA. Amos Makalla, amebainisha kuwa hadi zoezi la uchukuaji na urejeshaji fomu ndani ya CCM limekamilika siku ya jana Julai 2, 2025, jumla ya wanachama 5,475 walichukua fomu za ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar...
  11. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Martin Massawe amechukua fomu ya kuwania Ubunge Moshi vijijini kupitia CCM

    Mwenyekiti wa umoja wa wafanyabiashara na watoa huduma Tanzania, Martin Massawe, amechukua fomu kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi, kugombea ubunge Jimbo la Moshi vijijini Massawe ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Mkoa wa Kilimanjaro, amechukua fomu hiyo Julai 2, 2025 ambapo...
  12. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Aliyepinga utaratibu wa Samia kupitishwa kuwa mgombea u-Rais wa CCM mwaka 2025 atangaza kwenda Dodoma 1/7/2025 kuchukua fomu ya kugombea u - Rais

    https://youtu.be/6IzjauB7SKs?si=Wf1SZWRYBy-7f1eJ Ilikuwa awe ameenda siku ya J'nne tarehe 1/7/2025 sijui ni kitu gani kilimsibu hakufanya hivyo... Tunajaribu kufuatilia kujua kitu gani kilimkwamisha japo tetesi zinasema wazee "wasiojulikana" walitanda na kuziba kila njia za kutoka ktk mji wa...
  13. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Nape, January, Stergomena, Gwajima's & Halima Mdee sijawaona kuchukua Fomu CCM, tatizo nini?

    Pamoja na kulipwa MAFAO ya ubunge takribani 600m TZS kila Mheshimiwa iweje hamkuchukua tena Fomu za kuomba uteuzi wa Chama Chetu? Au mmeamua kustaafu na Dr Majaliwa?
  14. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Je, kuna mivutano ya siri ndani ya CCM kwamba nani awe raisi na nani waziri mkuu na vyeo vingine ?

    Kujiondoa kwa Majaliwa kwenye nyazifa ya ubunge baada ya kutangaza hapo awali kuwania tena kunaonesha ndani ya CCM Kuna vita inaendelea nyuma ya pazia ? Baada ya nape kuondolewa uwaziri tuliona viongozi wa juu wa CCM wakijiondoa pia je unafikiri Nape atakuwa upande wa Samia kwenye huu uchaguzi ?
  15. B

    JamiiForums Tanzania Ukiachana na Rostam ni Mbunge gani wa CCM baada ya kukosa Ubunge aliendelea kuwa na maisha mazuri?

    NImetafakari hili jambo nikaona bora tuwaze pamoja. Mbunge wa CCM hata akikaa jimboni miaka 10 hadi 15 na wengine miaka 20 wakiachia jimbo tu huwa wanakuwa na maisha yasiyoridhisha. Ukiachana na wabunge kama Rostam Azizi ambaye hata kwenye ubunge wake alionekana kuwa smart sana kwa kuwaletea...
  16. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ni muhimu sana watia nia wote wa ubunge na udiwani CCM kujiandaa kisaikolojia kwa hotuba, kuteuliwa na kuenguliwa

    Nawatakia utulivu wa moyo na kifikra watia nia wote wa nafasi za ubunge na udiiwani kupitia CCM katika kipindi hiki cha joto la mjujo mchujo wa uteuzi kuelekea uchaguzi mkuu. Binafsi nimechukua na kurejesha fomu za uteuzi nafasi ya ubunge nikiwa na matumaini makubwa mno, kwa haki kutendeka kwa...
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Dorothy Semu: Tunataka kuona Polisi, usalama wa taifa wakitimiza majukumu yao, na sio kutumika kama mbeleko ya kuibeba CCM ili wapate ushindi

    Tunataka kuona Polisi, usalama wa taifa, jeshi wakitimiza majukumu yao, na sio kutumika kama mbeleko ya kuibeba CCM ili wapate ushindi. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara...
  18. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jaji Warioba: CCM wako tayari kufanyia mabadiliko maeneo kadhaa kabla ya uchaguzi mkuu 2025. CHADEMA msimamo wao ni mkali mno, wanataka yote

    https://youtu.be/sjfPgpGxlPM?si=KotQLiYWJwasPFmS Leo nimepata nafasi ya kumsikiliza mzee wa CCM, Jaji Joseph Warioba akishirikiana na wenzake kujaribu kuwaleta CCM na CHADEMA pamoja ili kunusuru mgogoro mkubwa wa kisiasa uliopo Sasa na nchi kuingia ktk uchaguzi ikiwa moja badala ya mgawanyiko na...
  19. Mzee wa Code

    JamiiForums Tanzania Wagombea CCM Wafungwa Midomo: "Tunazuiwa Kukosoa, Huu Sio Uhuru Wala Demokrasia"

    Wimbi la ukimya linatawala mchakato wa kuchukua fomu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku wagombea na watia nia wakizuiwa kuzungumza hadharani kuhusu matarajio yao, hoja zao za msingi, au mapungufu ya wabunge na madiwani waliomaliza muda wao. Tangu kufunguliwa kwa dirisha la uchukuaji wa...
  20. Now and then

    JamiiForums Tanzania Kwa jinsi ambavyo Nape na Byabato walivyo kidhalilisha Chama cha Mapinduzi Ccm kuwa wanashinda kwa kuiba kura , nitashangaa kama watarudi Bungeni!.

    Kamati kuu ya Ccm wakati wa kuchuja Majina tafuteni watu sahihi na wenye nidhamu . Mnakumbuka Mh Nape pamoja na Mh Byabato walivyojinasibu kuwa wao hata wakishindwa watangangazwa wameshinda. Kauli hii sio tu inaonesha wazi kuwa Tanzania ni nchi ambayo haina demokrasia . Na kuonesha kuwa...
Back
Top Bottom