ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Je mchakato wa kumpata mgombea Urais wa CCM ukoje?

    Baada ya hotuba ya Ndugu Polepole,nimegundua sijui mchakato wa kumpata mgombea Urais wa CCM,naomba kueleweshwa?
  2. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Mimi sio nabii kuna rushwa za chini chini zinatembea kwa wajumbe wa CCM baada ya vikao kuhairishwa

    Mimi sio nabii kuna rushwa za chini chini zinatembea kwa wajumbe wa CCM baada ya vikao kuhairishwa
  3. Griss

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Makundi MANNE ya URAIS 2025

    Wasalaam!! 1: Kundi la kwanza ni kundi la pure wazalendo wa nchini lenye ushawishi ni kundi linaloongozwa na Tundu Lissu,John Heche, Lema na umma wa wapenda mabadiliko ya kweli, Hawa ni wale ambao hawajawai kuwa serikalini lakini serikali wanaijua nje ndani na uozo wao wote na wakiingia...
  4. Foffana

    JamiiForums Tanzania Nyufa ni kubwa sana hata mfiche vipi, CCM matatani

    Anaandika Kigogo NYUFA NI KUBWA SANA HATA MFICHE VIPI ,BASHE AMEITIA CCM MATATANI Kitendo cha kuahirishwa vikao vya juu kabisa vya CCM kwenye kufanya uteuzi wa wagombea wa uchaguzi mkuu wa mwaka huu wa 2025 ni jambo zito na gumu sana kuwahi kutokea kwenye uhai wa CCM. Sababu za kitoto...
  5. Kitimoto

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi: Kibajaji na Hoja ya Kihistoria Katika Mkutano Mkuu wa CCM – 2025

    Dodoma – Januari 2025 Mwaka 2025 utabaki kwenye historia ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kama mwaka ulioshuhudia moja ya mijadala ya ndani ya chama yenye mvuto mkubwa wa kisiasa, ujasiri wa ndani, na tafakuri ya kidemokrasia. Tukio hilo lilitokea katika Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika jijini...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Video: Jinsi Baba wa taifa Nyerere Alivyoweka Msingi wa Uchaguzi wa Mgombea Rais wa CCM

    Baba wa Taifa la Tanzania, aliweka msingi thabiti wa mchakato wa uchaguzi wa mgombea wa urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). msingi wake uliwekwa na Nyerere wakati wa uongozi wake. Mwalimu Nyerere, kama mwanzilishi wa TANU (ambayo baadaye ilijumuika na ASP na kuwa CCM mwaka 1977)...
  7. L

    JamiiForums Tanzania GE2025 Video: CCM Nzasa Watishia Kukatwa Mgombea Wao Hawatashiriki Uchaguzi

    CCM Nzasa Watishia Kukatwa Mgombea Wao Hawatashiriki Uchaguzi Chama cha Mapinduzi (CCM) Nzasa wametoa salamu kali, wakisema kuwa iwapo mgombea wao atakatwa na kwa sababu zozote, hawatashiriki uchaguzi wa Oktoba 2025. Kauli hii inakuja wakati nchi ikijiandaa kwa uchaguzi wa urais, ubunge na...
  8. Daraja2

    JamiiForums Tanzania Mama Samia ni mgombea mpya kabisa wa CCM 2025 - 2030

    Kwa nini? Kwa sababu hakuwahi kugombea kabisa nafasi hiyo (ya kupeperusha bendera) na kuhudumu. Tukumbuke Kila mgombea aliyeteuliwa alikuja na "falsafa" yake ya kuongoza nchi. NYERERE - Siasa ya ujamaa na kujitegemea (falsafa mama). MWINYI - Ruksa. MKAPA - Ukweli na uwazi. KIKWETE - Ari mpya...
  9. L

    JamiiForums Tanzania Muda wowote Nitaeleza kwa kina juu ya wote wanaotaka Kumyumbisha Rais Samia na kuleta Vurugu na kuigawa CCM

    Ndugu zangu Watanzania, Kaeni mkao wa kula ,kaeni mkao wa kufunguliwa akili na macho,kaeni mkao wa kufumbuliwa vitendawili na mabano ,kaeni mkao wa kuonyeshwa ya sirini na gizani ,kaeni mkao wa kujua ajenda ya kakikundi kanakotaka kujipachika jina la uzalendo kutimiza ajenda zake ovu na zenye...
  10. T

    JamiiForums Tanzania Ccm ni bingwa wa kuwaletea watanzania viongozi wabovu kwa kuwauza na kuwapamba kwa kila rangi kwa manufaa yao binafsi!

    Hiki chama kina lundo la watu maslahi ambao kichwani ni weupe kabisa na wakiwa na maslahi yao fiche huwapamba hawa watu kwa nguvu zao zote ili kuwaingiza madarakani kwa manufaa ya kikundi cha wachache. Utaratibu huu umezalisha unafiki na ujinga wa kushundwa kuhoji mambo ya wazi kabisa. Jambo...
  11. Mikael Aweda

    JamiiForums Tanzania Kitendawili Kisa Cha Rais Biden wa USA kuondolewa na Chama chake Cha Democrats na Sarakasi ya CCM na Samia Dodoma. Yajayo yanafurahisha.

    Muda wa kampeni ukafika. Kampeni ilianza kati ya Trump na Rais Joe Biden. Mdahalo wa kwanza ukaandaliwa kati ya Trump na Biden. Biden akafanya vibaya pamoja na kuibiwa maswali ya mdahalo kabla. Ikumbukwe Establishment ya Democrats akina Obama, Schumer na vigogo wengi hawakumtaka Biden Toka...
  12. saidoo25

    JamiiForums Tanzania Ni Kweli Makatibu wa CCM Wilaya na Mikoa wengi ni wa dini fulani?

    NIMEKUTANA na mjadala kwenye Kijiwe cha Kahawa hapa mjini kuwa uchunguzi wao unaonyesha Makatibu wa CCM wa ngazi ya Wilaya na Mikoa na Jumuiya zake wengi wanatokana na Dini fulani, Je tetesi hizo ni za kweli au laa. Hebu tuitazame mikoa yetu tuone kama kuna ukweli. 1. Mkoa wa Dar es Salaam...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Tetesi: GE2025 Bashe adaiwa kusababisha vikao vya CCM kuahirishwa kisa alipanga wagombea ubunge anaotaka yeye

    KADA wa CCM Hussein Bashe anatajwa kuwa ndiye chanzo cha kuvuruga Kikao cha Kamati Kuu kilichopangwa kufanyika leo cha kupitisha majina ya wagombea ubunge wa majimbo na viti maalum baada ya kubainika kuwa sehemu kubwa ya wagombea waliopitishwa na Kamati za Siasa za Wilaya na Mikoa ni Maelekezo...
  14. Fbn

    JamiiForums Tanzania Bwana Amos Makalla nakushauri nyota yako sio nzuri kwenye vyeo sasa inawaka moto CCM kamaulivyokuwa RC na masoko

    Hata kama sio mtu wa mambo ya nyota sana ila kwenye familia nazo utumia kuangalia nyota za watu kuwa nyota hii ni nuksi au bahati. Kwa huyu bwana sijui nyota yake ni moto sasa CCM imewaka moto ndani sasa.
  15. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Upinzani ndani ya CCM tatizo ni mfumo dume!

    Katika siku za hivi karibuni, tumeona kuibuka kwa baadhi ya wanasiasa waliowahi kuwa ndani ya mfumo wa utawala wa awamu ya tano—wakijaribu kuvaa joho la uanaharakati na kuunyooshea kidole utawala wa sasa. Alianza Job Ndugai kwa kauli zenye miguno ya malalamiko. Akafuata Askofu Josephat Gwajima...
  16. S

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mkurugenzi wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) Onesmo Ole Ngurumwa aibua mjadala kukatwa jina la Luhaga Mpina vikao vya CCM

    Unfortunately sijajua tunataka wabunge wa aina gani - nilisifia hizi kanuni mpya za chama upande mmoja kuwa imeongeza watu wengi kupiga kura na kupunguza rushwa ila nikaonyesha hatari ya utaratibu wa kurudisha majina matatu inaweza italeta shida sana kwa wale wabunge wanaosimamia haki za jamii...
  17. A

    JamiiForums Tanzania Makosa ya Makamu Mwenyekiti CCM na Katibu Mkuu (J.Malecela, Horace Kolimba) kushindwa kusimamia Haki za Bara ni Sawa na John Nchimbi, Mpango na Kassim

    Itakumbukwa huko nyuma Marehemu Ali H.Mwinyi Raisi aliingiza nchi OIC kinyume cha Katiba , ikapelekea G55 , na mwishowe Mwl aliandika kitabu , uongozi na hatima ya Tanzania na kupelekea J.M Malecela, aliyekubali kufuata ya Mwinyi, kwa Matamanio ya kurithi kiti, Chama kumpotezea, na Horace...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mtu kutoka Serikalini au CCM ambae keshamjibu Balozi Polepole

    Salaama wanjamvi Napenda kujuzwa kama Balozi Polepole amejibiwa kivyovyote vile na mtu/kiongozi kutoka Serikalini au chama CCM na kama ndio tupia hapa mambo kwa ushahidi Asanteni
  19. Fanfa

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwenyekiti wa Chama hebu wapige bao wanaokuhujumu kwa mbinu takatifu isiyo na mawaa

    Ni dhahiri mwenyekiti wa Chama ukilazimisha kwa hali ilivyo hutatoboa kwenye uchaguzi ujao pamoja na kwamba wewe ndo kiongozi wa nchi. Itakuwa ngumu wewe kujua maana hutakuwa na muda sababu utakuwa na stress za kampeni. Sababu kuu ni kwamba sasa adui yuko chumbani kwako siyo sebuleni tena...
  20. THE FIRST BORN

    JamiiForums Tanzania Kama Ccm umejiunga nayo ulivyofika Chuo Kikuu huwez kumuelewa Polepole.

    Huwez kujibu hoja za polepole kama wewe ulijiunga na Ccm ulivyofika chuo kikuu na ulijiunga kama fashion. Ndio wengi wamebaki midomo wazi kwa yale aliyoyasema polepole. Polepole haujui tu Katiba wala kanuni za chama cha Ccm bali anajua hadi Miiko ya chama cha mapinduzi {Ccm} ambayo hua...
Back
Top Bottom