Ndugu wana-jf habarini za pirikapirika za uchaguzi kwa wanasiasa wote humu jukwaani.Upande wa Zanzibara mambo yamekwiva huku umwinyi ukijidhihiri wazi,watoto wa waliokuwa viongozi wanazidi kujitokeza kwa wingi wakiwa na uhakika wa kukingiwa kifua na wazazi wao,Ni sawa ngoja tutazame...