ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. Kiranga

    JamiiForums Tanzania GE2025 Je, wanaharakati wana haki ya kuzuia wengine wasipige kura?

    Je, wanaharakati wana haki ya kuzuia wengine wasipige kura? Tuna siku chache kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025. Uchaguzi huu umegubikwa lindi la kukosa uhalali pengine kuliko uchaguzi mwingine wowote Tanzania. Hata mgombea wa CCM ameshutumiwa na mpaka kufunguliwa kesi kuwa kajipitisha bila...
  2. Criss

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mbinu ya CCM yashtukiwa

    Ukitazama kwa umakini utagundua kuwa hakukuwa na sababu za msingi za kumkamata John Wegesa Heche. Sasa sababu ni nini? Wanatamani maandamano madogo ili kukwepeaha yale makubwa. Tusikubali . Jamaa kama kuna kitu wanaogopa ni maandamano ya pamoja ya Tanzania nzima ,lengo lao wapate kamaandamano...
  3. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania Video: Tangazo la uchaguzi kama uchawi, Oktoba tunatoka hakuna mganga zaidi ya wananchi

    Amkeni watanzania Bongo Movie ya CCM imetoka Rami ebu watuache kidogo hahahahahahahahahaah
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ewe mwana CCM umeshindwa kupinga yanayoendele basi tambua unajenga chuki kwa Watanzania

    Kama wewe ni mwana CCM na umeshindwa kupinga yanayoendelea, Chuki waliyonayo Watanzania ni kubwa sana, kuna siku wataanza kuingia ndani ya nyumba zenu
  5. figganigga

    JamiiForums Tanzania Ni aibu kwa Jeshi la Polisi Tanzania, Kukamata watu na kulazimisha wajiunge CCM

    Salaam Jeshi la Polisi Tanzania, Linakamata watu wa Upinzani then linawalazimisha wajiunge CCM. Ukikubali wanakuachia na ukikataa hupatikani. Polisi wanakuja bila jezi zao za Polisi, wanakukamata(kuteka) na ndugu wakipiga simu wanakana kukukushikilia.. Baadaye wanakuambia kwanini unaunga...
  6. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwananchi: Tunafurahi kwa ujio wa Rais Samia, Rukwa, ila tunachangamoto ya maji afanye atutue ndoo kichwani

    Wananchi Mkoani Rukwa wamepata hamasa kubwa kufuatia tangazo la ujio wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye anatarajiwa kufanya mkutano mkubwa wa kampeni mkoani humo tarehe 18 na 19 Oktoba mwaka huu katika viwanja vya shule ya sekondari ya Kizwite...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Vitisho vinavyotolewa na Majeshi na wanasiasa likiwemo himizo la kulinda amani ni ishara tosha Serikali na CCM wanayaogopa Maandamano!

    CCM na Serikali inatambua Fika Maandamano ya wananchi ndio njia pekee ya wao aidha kuondoshwa madarakani au kulazimika kukubali matakwa ya wananchi ambayo hawataki kuwapa. Njia zote nyingine ikiwemo ya kukaa mezani haziwezi kuzaa matunda kwani tayari CCM wanajua namna ya kucheza ulaghai kwa...
  8. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Election Predictions: Unaweza usiamini, Kura za ACT Wazalendo kwa Urais wa JMT, ni kwa Samia, Mgombea wa Urais wa CCM!.

    Wanabodi Mimi ni Mzee wa trends and analysis, trends and analysis ya kwanza ya uchaguzi huu ni hii Thread 'Mwana JF, Be The First to Know CCM Ndie The Overall Winner wa Uchaguzi Mkuu wa 2025 Kufuatia Ushindi Serikali za Mitaa。CCM Amekomba Almost Everything!' PreGE2025 - Mwana JF, Be The First to...
  9. sanalii

    JamiiForums Tanzania Ushindi pekee wanaousubiri CCM, ni endapo maandamano hayatafanyika, lakini nalo wanajidanganya.

    Hiki kiini macho cha wanachoita uchaguzi tayri washajipitisha, kitu watakachopigia kelele ni endapo maandamano hayatafanyika, watafurahi sana na ndio itakua topic. Ila wafahamu kitu kimoja, yakifanyika au yakifanyika kwa udogo, in any way ambayo kwao wanaona ni ushindi, "the seed has been...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Nyerere angekuwepo angeifanya nini CCM?

    Kuelekea safari ya Oct 29 Kama Mwalimu JK angekuwa hai angefanya nini ndani ya CCM?
  11. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Katibu wa BAVICHA kanda ya Victoria ahamia CCM

    Kijana kakikacha chama chake bila shaka kafuata maokoto ya CCM ================= Aliyekuwa Katibu wa Baraza la Vijana Wa CHADEMA (BAVICHA Alon Kalomba amemuhakikishia Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Tarehe 29, Oktoba hakutakuwa na Maandamano. Alon ametoa kauli hiyo kwenye mkutano...
  12. covid 19

    JamiiForums Tanzania Hivi kuwa mwana CCM na mpenda haki, mpiga ufisadi, na mzalendo wa kwelikweli kabisa kutoka moyoni ni kosa linalostahili kutekwa?

    Kuna mambo yanafurahisa sana wakuu.. Yaani kosa la yule jamaa ni kuwa mkweli na kuwa mzalendo kwa chama chake na taifa... serious kabisa kama taifa lenye vyombo vya dola, mahakama, serikali na watu wenye akili timamu kabisa kabisa tumeamua kuacha na kukaa kimya. Ni aibu sana kwa vyombo vyetu...
  13. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Zitto Kabwe: Tukipata wabunge wengi ndani ya bunge tunaenda kushughulika na CCM

    "‎Wamezuia mgombea wetu na kesho(leo Oktoba 15,2025) tunakwenda mahakamni kupata uamuzi, lakini kwa maamuzi yoyote yale bado nyinyi mna maamuzi ya kufanya." Aidha amesisitiza endapo Mpina asipopitishwa na Mahakama, wananchi wawachague Wabunge wa ACT Wazalendo "tukipata wabunge wengi ndani ya...
  14. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tundu Lissu yuko ndani, Chadema hawaruhusiwi kuongea hata kujikusanya, vuguvugu na nguvu ya maandamano ni ya wana CCM?

    CCM hamna la kuwaambia Watanzania juu ya hili kweli? Tuliyedhani ni shida kubwa katika kufanya uchaguzi uwe wa Amani, katiwa ndani, hana ushawishi tena Chama ambacho tulihofia kwamba kitakuwa chanzo cha vurugu katika uchaguzi wetu, kimeminywa kwa namna zote na kila sababu, hakiruhusiwi...
  15. W

    JamiiForums Tanzania GE2020 Hivi huyu Kiliba ni msemaji wa CCM au ni Rais wa TAHLISO, majukumu yake anayetekeleza kweli ipasavyo?

    Akiwa Mkoani Kagera leo Jumanne Oktoba 14, 2025, Mwenyekiti wa Kampeni ya Kitaifa ya Mama Asemewe Bw. Geofrey Kiliba amesema Ushiriki wa Vyama 18 kati ya 19 katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 pamoja na mamilioni ya Watanzania wanaohudhuria mikutano ya kampeni za Vyama mbalimbali vya siasa...
  16. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania GE2025 Oktoba 29 tujitokeze Kwa Wingi, Maandamano yataongozwa na 'Wazalendo' kwa mujibu wa Gwajima na Tesha , Masaa 24 ya Mwanzo ndio Nuru

    Ole Kwa Wahuni na Watekaji wote , Ombeni hii siku isiwakute Tanzania !!. Mmeteka watu, mmeua watu kwa faida zenu za kisiasa na Kifisadi. Kama mlifikiri Maandamano ni Maneno ya Watanzania ya Mitandaoni ,SAFARI HIII IMEKULA MWENU.!!. Tumeamua kukubali Kufa watu 50-100 , lakini TUNAWAFURUSHA ...
  17. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Leo ilikua Nyerere day Je tunayaishi yale Nyerere alikua anatamani yafanyike hakashidwa akasema Tujisahihishe

    Nyerere day leo lakini ni kweli tunaishi yale Nyerere alitamani? Huyu mzee alitamani kuona nchi ina kizazi Jeuri cha kuhoji sio kizazi cha bwana ndio mkubwa. Tunataka vijana waasi dhidi ya Mifumo kandamizi Ubwana na Ufisadi. Wanaogopa mabadiliko ni wale walioshiba wezi mafisadi lakini Maskini...
  18. Mi mi

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nini CCM kinawashinda kuwa kama wenzenu CPV ya Vietnam na CPC ya China ?

    Mi mi sijali CCM mmeanza kuitawala Tanzania kwa muda gani na mtaitawala Tanzania kwa muda gani hata mkiitawala Tanzania kwa miaka 100 kwangu sawa tu. Shida yangu kwa nini msiwe kama wenzenu CPV ya Vietnam angalia mahali Vietnam walipoitoa na kuamua kufanya Doi Moi leo Vietnam ipo wapi na...
  19. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Dkt. Nchimbi: CCM itaendelea kupambana na maadui watatu aliowatangaza Mwl Nyerere ambayo ni ujinga, umasikini na maradhi

    Emmanuel Nchimbi amesema Chama cha Mapinduzi (CCM), kitaendelea kupambana dhidi ya maadui watatu aliowatangaza Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere ya ujinga, maradhi na umaskini kwa nguvu zote. Dk Nchimbi ambaye ni mgombea mwenza wa urais wa CCM amesema hata Rais Samia Suluhu Hassan anaishi...
  20. Sales man

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hawa vijana waliozaliwa 1990s, kinaweza ndo kikawa kizazi kitakachoiondoa CCM

    Naona ndo kizazi chenye watu wanaojitambua na kujua haki zao hapa Tanzania. So Ccm muwe makini Sana .
Back
Top Bottom