Mwaka 2021 nikiwa Ibadani kwenye siku ya kwanza ya mwaka, akasimama Askofu na kutoa salamu za mwaka mpya.
Kwenye salamu zake za mwaka mpya Askofu akasema kuwa wapinzani walishindwa kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 kwa kuwa wakati wa sakata la COVID 19, wapinzani walikaa upande wa shetani.
Kwa...