Uzima Tele
JF-Expert Member
- Jan 20, 2023
- 1,549
- 3,559
View: https://youtube.com/shorts/fqV8YjqT4bg?si=-IfgOWOIcnYOg8Wh
Maneno kuntu ya aliyekuwa PM In brief note:
Kassimu Majaliwa: Madaraka hayalazimishwi. Mungu ndiye hupanga nani awe nani ktk kuongoza watu wake
Kassimu Majaliwa: Hata ukilazimisha kupata nafasi hiyo, huwezi kupata kama Mungu hajasema nenda
Kassimu Majaliwa: Na wala usitumie njia yoyote kuathiri na kuumiza wengine Ili wewe upate madaraka hayo. Nani kakuambia hivyo? Umezungumza na mwenyezi Mungu kutumia njia hiyo?
--------------------------------------
My Opinions
👉Haina shaka kuwa, hii speech ilimlenga boss wake Samia Suluhu Hassan
👉Huyu mama kaumiza wengi sana kubaki Ili tu awe Rais. Angalia watu aliowateka, kuwatesa, kuvunja miguu, kuua na kufunga watu magerezani kwa kesi za uongo
👉Anamtesa Tundu Lissu gerezani pasipo HAKI wala pasipo sababu yoyote. Machozi ya mke wa Tundu Lissu na watoto yake ni risasi tosha kabisa kummaliza huyu mama
👉 Hitimisho la unyama wake eti tu kwa sbb ya "u - Rais" wake ni kuua na kumwaga damu za watoto, vijana wa kike na kiume, kina mama na kina baba zaidi ya 10,000 siku ya uchaguzi bandia wa 29/10, ndiyo gharama ya malipo ya madaraka ya Urais wake
MUNGU WETU WA MBINGUNI NA AMPE HUKUMU YA ADHABU STAHIKI SAMIA NA KIZAZI CHAKE SAWASAWA NA MATENDO YAKE. Amina🙏🙏