Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,266
- 1,077,604
Mchezo unajulikana kama Boxing. Kwa jina jingine huitwa "The Sweet Science". Naam! Ni masumbwi. Ndondi. Vitasa!
Ni mchezo wa hatari, mchezo ambao unamuonyesha Homo Sapiens kuwa ni kiumbe wa aina gani. Unakuwa peke yako ulingoni na mpinzani wako. Huna mtu mwingine wa kumlaumu. Na ukizubaa unaweza hata kupoteza maisha au kupata uharibifu wa kudumu katika mfumo wako wa fahamu.
Kwa wachache mnaoupenda mchezo huu wa kibabe. Hebu tupieni picha au vi-clip vifupi fupi vya knockouts (KOs) au technical knockouts (TKOs) unazozikubali sana.
Kama huupendi mchezo huu na unauona kuwa ni mchezo wa kihayawani usiotakiwa kwa binadamu anayejitambua basi pita kimya kimya tu.
Mods msiuunganishe uzi huu na nyingine zinazohusu Boxing.
Mimi naanza na huyu jamaa hapa. Alitandikwa ngumi kali ambayo ilimfanya avurugikiwe na mfumo wa balansi kabisa....The Sweet Science ❤️❤️❤️
Ni mchezo wa hatari, mchezo ambao unamuonyesha Homo Sapiens kuwa ni kiumbe wa aina gani. Unakuwa peke yako ulingoni na mpinzani wako. Huna mtu mwingine wa kumlaumu. Na ukizubaa unaweza hata kupoteza maisha au kupata uharibifu wa kudumu katika mfumo wako wa fahamu.
Kwa wachache mnaoupenda mchezo huu wa kibabe. Hebu tupieni picha au vi-clip vifupi fupi vya knockouts (KOs) au technical knockouts (TKOs) unazozikubali sana.
Kama huupendi mchezo huu na unauona kuwa ni mchezo wa kihayawani usiotakiwa kwa binadamu anayejitambua basi pita kimya kimya tu.
Mods msiuunganishe uzi huu na nyingine zinazohusu Boxing.
Mimi naanza na huyu jamaa hapa. Alitandikwa ngumi kali ambayo ilimfanya avurugikiwe na mfumo wa balansi kabisa....The Sweet Science ❤️❤️❤️