botswana

Botswana ( (listen), also UK: ), officially the Republic of Botswana (Setswana: Lefatshe la Botswana), is a landlocked country in Southern Africa. Formerly the British protectorate of Bechuanaland, Botswana adopted its name after becoming independent within the Commonwealth on 30 September 1966. Since then, it has been a representative republic, with a consistent record of uninterrupted democratic elections and the lowest perceived corruption ranking in Africa since at least 1998. It is currently Africa's oldest continuous democracy.Botswana is topographically flat, with up to 70 percent of its territory being the Kalahari Desert. It is bordered by South Africa to the south and southeast, Namibia to the west and north, and Zimbabwe to the northeast. Its border with Zambia to the north near Kazungula is poorly defined but is, at most, a few hundred metres long.A mid-sized country of just over 2.3 million people, Botswana is one of the most sparsely populated countries in the world. Around 10 percent of the population lives in the capital and largest city, Gaborone. Formerly one of the poorest countries in the world—with a GDP per capita of about US$70 per year in the late 1960s—Botswana has since transformed itself into one of the world's fastest-growing economies. The economy is dominated by mining, cattle, and tourism. Botswana boasts a GDP (purchasing power parity) per capita of about $18,825 per year as of 2015, which is one of the highest in Africa. Its high gross national income (by some estimates the fourth-largest in Africa) gives the country a relatively high standard of living and one of the highest Human Development Index of continental Sub-Saharan Africa.Botswana is a member of the African Union, the Southern African Development Community, the Commonwealth of Nations, and the United Nations. The country has been among the hardest hit by the HIV/AIDS epidemic. Despite the success in programmes to make treatments available to those infected, and to educate the populace in general about how to stop the spread of HIV/AIDS, the number of people with AIDS rose from 290,000 in 2005 to 320,000 in 2013. As of 2014, Botswana has the third-highest prevalence rate for HIV/AIDS, with roughly 20% of the population infected.

View More On Wikipedia.org
  1. H

    Prof. Kabudi akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Botswana jijini London

    PROF. KABUDI AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BOTSWANA JIJINI LONDON Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Palamagamba J. Kabudi amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Botswana, Mhe. Dkt.Phenyo Butale, jijini London, Uingereza, ambapo viongozi hao...
  2. Yesha

    Botswana Moves to Expand Mining Exploration to Reduce Reliance on Diamonds

    Botswana is planning to increase mining exploration as the country seeks to diversify its economy beyond diamonds. Diamonds currently account for about 80% of Botswana’s foreign exchange earnings and nearly one third of government revenue. However, revenues have been declining amid weakening...
  3. K

    Rais wa Botswana anawaheshimu wananchi waliomchagua awatumikie

    Kauli ya ilituendelee tunahitaji vitu.... Je tumefeli wapi?
  4. ChekoFagia

    (Kumbukizi): Mwaka 1975, Tanzania, Zambia na Botswana zilisusia Mkutano wa 12 wa Umoja wa Nchi za Afrika (OAU),kupinga uongozi wa Rais Idi Amin

    Mwaka 1975, Tanzania, Zambia na Botswana zilisusia Mkutano wa 12 wa Umoja wa Nchi za Afrika (OAU) uliofanyika Kampala, Uganda, kupinga uongozi wa Rais Idi Amin. Mkutano huo ulimfanya Amin kuwa mwenyekiti wa OAU kwa mwaka mmoja, nafasi ambayo kwa desturi hutolewa kwa kiongozi wa nchi mwenyeji...
  5. Carlos The Jackal

    PostGE2025 Rais wa zamani Botswana: Samia sio Rais wa Wananchi, Awataka SADC kutomtambua Samia Kama Rais

    Dunia imepona Kila kitu ============ "Kama SADC itashindwa kulaani uchaguzi bandia wa Tanzania na ukatili mkubwa uliofanyika, basi wanahusika na ni lawama yao pia,” anasema Rais wa zamani wa Botswana, Ian Khama. “SAMIA SULUHU si rais wa Tanzania. Hana uhalali wowote.”
  6. Waufukweni

    Ian Khama: Simtambui Samia kama Rais wa Tanzania sababu uongozi kaupata kwa mauaji na ukandamizaji wa wananchi

    Katika kongamano la African Renaissance lililofanyika Lukenya University nchini Kenya, Rais wa zamani wa Botswana, Ian Khama, alitoa kauli yenye mguso akisema “hamtambui Rais Samia Suluhu Hassan kama kiongozi halali wa Tanzania.” Alieleza kuwa uchaguzi wa mwaka 2025 ulitawaliwa na vitisho, vifo...
  7. Kabende Msakila

    Botswana Nchi ya WATU 2M inalialia - zenye WATU 60M zifike wapi?

    Aliongeza kuwa Wizara ya Fedha imeidhinisha bajeti ya dharura ya dola milioni 18.7 ili kuushughulikia mzozo huo. Rais Duma Boko alisema jeshi litasimamia usambazaji wa dawa za dharura, huku shehena za kwanza zikiondoka mara moja katika mji mkuu wa Gaborone na kuyapa kipaumbele maeneo ya vijijini...
  8. ChoiceVariable

    Botswana Yatangaza Hali ya Hatari Baada ya Sekta ya Afya Kuporomoka ambapo Hospitali za Nchi Kukosa dawa.Hii ndio Nchi tunaambiwaga imeendelea

    My Take Hii Ndio Nchi Huwa tunaambiwa na Wapinzani kwamba imeendelea sana ,Ina Demokrasia na sijui Haina rushwa na blaa blaa zingine za kipumbavu za kusema wanatumia Rasilimali vizuri. Mpaka hapo kila mtu anaona Sasa kwamba Demokrasia imeshindwa kwa mara nyingine kuwapa watu dawa ,ugali na...
  9. Magufuli 05

    Video: Sikiliza dira ya Rais wa Botswana halafu linganisha na kwetu. Utagundua sisi tupotupo tu

    Rais wa Botswana Duma Boko anaeleza kuwa kuna changamoto kubwa sana katika mchakato wa tenda za miradi na hivyo atahakikisha wananchi wote wanashirikishwa kwa ukubwa katika mchakato huo.
  10. S

    Namibia na Botswana kujenga kiwanda cha pamoja cha kusafisha mafuta

    Nchi za Namibia na Botswana zinatarajiwa kuwa na kiwanda cha pamoja cha kusafisha mafuta( Oil Refinery) ili kupunguza kiwango cha mafuta wanachoagiza kutoka nje. Hatua hiyo imetajwa ikiwa ni baada ya ziara ya Rais wa Namibia nchini Botswana. Pamoja na kupunguza uagizaji wa bidhaa za mafuta...
  11. DeMostAdmired

    Niache kazi Serikalini niende Botswana? Naomba ushauri

    Wakuu habari za siku mingi. Mercy yupo mzima, yupo dar kwasasa na kila siku ananisumbua niende dar au aje nilipo tuonane. Merry yupo tunasonga na maisha. Nimekuja leo naombani ushauri. Nilipata job govenment lakini at a time napambana na job ya govenment nilikuwa nishaanza kufatilia na...
  12. Yoda

    Baba wa Taifa(founding father) bora kuliko wote Africa

  13. and 998 others

    Marais A/Kusini, Namibia, Zambia Botswana hawakuhudhuria mazishi ya Papa Vatican. Tuna la kujifunza?

    1. Marais kadhaa wa wanachama wa SADC (Botswana, Zambia, Namibia , Afrika Kusini) wapo bize nchini mwao wakipambania wananchi wao wawe na maisha Bora. 2. Badala ya kwenda kuteketeza mamilioni kwa safari ambazo hata Balozi zao waliopo Rome wangeweza kuwakilisha.
  14. Mr Beach Boy

    Nikigraduate tu, siwezi kutafuta maisha Tanzania, naanza na Botswana

    Ajira ni ngumu, lakini duniani huko ajira ni nyingi sana, Bora nikawe mlinzi Dubai kuliko kuwa mlinzi wa Suma jkt hapo dsm.. Nikiwa nje nitafanya KAZI yoyote mpaka nitoboe kama itapendeza ntaoa jimama la kizungu linipe uraia. Bongo Sina future napo.
  15. and 998 others

    Mawaziri wa Vijana Botswana (Pichani)

    Wafahamu mawaziri Vijana nchini Botswana. Bado tunatafuta mchawi?
  16. ChoiceVariable

    Licha ya Botswana kuwa nchi Tajiri na idadi ndogo ya watu Milioni 2.5 tuu lakini wananchi wake hawana ajira

    1.Botswana ni tajiri wa Madini ya Kila aina hasa Almasi. 2.Botswana ni Kati ya Nchi zinazofanya vizuri Kwa Utalii 3.Botswana Ina Watu wachache zaidi sawa na Mkoa wa Shinyanga 4.Botswana inapakana na Nchi zilizoendelea eg South Africa,Namibia,nk 5.Botswana Inaongoza Kwa Ufugaji wa Kisasa wa...
  17. P

    Kufika Botswana kwa Basi!

    Habari wakuu! Nahitaji kufanya safari ya basi kutokea DSM mpka Gaborone Botswana mpaka! Naomba wenye ujuzi wa route na mabasi yanaoyoenda huko anijuze!
  18. S

    Botswana kuanzisha kituo cha kufanya ithibati ya almasi . Lengo ni kuzuia Almasi kutoka Urusi kuuzwa nchi za G7

    Nchi ya Botswana inatarajia kuanzisha kituo cha kufanya ithibati ya almasi zinazouzwa kwenye nchi za G7 ifikapo mwakani 2025. Hii inakuja kutokana na hatua ya nchi za G7 kuamua kutonunua almasi kutoka Urusi. Kutokana na katazo hilo, kila almasi inayonunuliwa na nchi za G7 itatakiwa kufanyiwa...
  19. The Father of All

    Kupitia Botswana na Msumbiji naiona Tanzania mpya kabla sijatoweka.

    Kwa wakongwe kama mimi, wanajiuliza, nini tutaona mageuzi ya maana na ya kweli. Walipofanya kweli Kenya, Malawi, na Zambia tulidhani ni wimbi na wingu vya kupita. Juzi tu, tuliona moto wa mageuzi na mapinduzi ukiwashwa kule Afrika Kusini ambapo ANC iliponea chupuchupu kujikuta pakanga. Kalba...
  20. The Father of All

    Kama Botswana, Senegal wameweza mageuzi, lini Tanzania upinzani utashinda?

    Matokeo ya uchaguzi uliokwisha nchini Senegal unaonyesha chama tawala kililchopigwa chini kwenye uchaguzi wa urais uliopita, kwa mara nyingine kimebwagwa vibaya baada ya chama cha Oussumane Sonko cha PASTEF viti 131 wakati chama cha rais wa zamani cha Takku Wallu Sénégal kikiambulia viti 13 tu...
Back
Top Bottom