bomba la mafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Kwanini barabara zilizopitiwa na bomba la mafuta na gesi Tanzania ni mbovu namna ile?

    Ebu wataalam tuelimisheni! Ipi siri ya ubovu wa barabara zilizochini ya umiliki wa TAZAMA na GESI ASILIA? Ina maana huwa haziingizwi kwenye bajeti ya TARURA/TANROAD? Nani anawajibika kuzifanyia matengenezo? Zitakaa na uchakavu wa namla ile hadi lini? Ipi haswa sababu ya msingi kuwa chakavu...
  2. M

    Je, bomba la mafuta kutoka Uganda litapita kwenye maeneo ya hifadhi za barabara yetu?

    Mwaka 2017 rais Museveni kupitia mitandao ya kijamii alitoa taarifa kuwa lile bomba la mafuta litakaotoka nchini mwake kupitia Tanzania litaweza kupita kwenye baadhi ya maeneo nchini ambayo ni hifadhi ya barabara zetu Majuzi hapa baada ya kukutana kwa raisi Museveni na Magufuli wamekubaliana...
  3. 2

    Naombeni msaada wa connection ya kazi kwenye Bomba la Mafuta

    Habarini ndugu zangu, Naombeni connection ya kazi kwenye mradi mpya wa bomba la mafuta linalotoka Uganda kuja Tanga-Tanzania, elimu yangu ni Degree ya Information Technology ila kazi zozote zile nitafanya hata kama ni nje ya fani yangu. Mwenye connection naombeni anisaidie ndugu zangu nipo...
  4. JOYOPAPASI

    Heko nyingine ya Rais Magufuli kwenye kupigania maslahi ya Tanzania: Kisa cha bomba la mafuta kutoka Hoima, Uganda hadi Tanzania

    HEKO NYINGINE YA RAIS MAGUFULI KWENYE KUPIGANIA MASLAHI YA TANZANIA: KISA CHA BOMBA LA MAFUTA KUTOKA HOIMA, UGANDA HADI TANZANIA Na Bwanku M Bwanku Jumapili Septemba 13 mwaka huu tulishuhudia tukio kubwa la kihistoria la kiuchumi, ustawi wa watu, undugu na maendeleo ya nchi yetu kwa kushuhudia...
  5. K

    Magufuli, Museveni wakubaliana kuufufua mradi wa Bomba la Mafuta

    July 31, 2020 Rais John Magufuli na mwenzake wa Uganda, Yoweri Museveni wamekubaliana kurejesha kwenye Ikulu zao mchakato wa kutandaza bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki. Bomba hilo linaloanzia Hoima, Uganda na kuishia Chongoleani, Tanga nchini Tanzania, limekwama baada ya kuwepo kwa...
Back
Top Bottom