Kwanini barabara zilizopitiwa na bomba la mafuta na gesi Tanzania ni mbovu namna ile?

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,276
21,395
Ebu wataalam tuelimisheni!

Ipi siri ya ubovu wa barabara zilizochini ya umiliki wa TAZAMA na GESI ASILIA?

Ina maana huwa haziingizwi kwenye bajeti ya TARURA/TANROAD?

Nani anawajibika kuzifanyia matengenezo?

Zitakaa na uchakavu wa namla ile hadi lini?

Ipi haswa sababu ya msingi kuwa chakavu barabara zao wakati TAZAMA wanamiliki mgodi wa pesa?

Au hadi rais aseme?
 
Wakati inatarajiwa ndio ziwe nzuri zaidi kuliko zingine kwasababu rasilimali ya inchi imepita mle!
 
Ebu wataalam tuelimisheni!

Ipi siri ya ubovu wa barabara zilizochini ya umiliki wa TAZAMA na GESI ASILIA?

Ina maana huwa haziingizwi kwenye bajeti ya TARURA/TANROAD?

Nani anawajibika kuzifanyia matengenezo?

Zitakaa na uchakavu wa namla ile hadi lini?

Ipi haswa sababu ya msingi kuwa chakavu barabara zao wakati TAZAMA wanamiliki mgodi wa pesa?

Au hadi rais aseme?
Pole sana kwa kutokujua; ZILE SIYO BARABARA RASMI kwa ajili ya wapita njia, Zile ni reserve za mamlaka ya mafuta na gesi ambapo Mali zake zimepita!
Ni kama Tanesco walivypitisha nyaya za umeme halafu watu watembee juu ya nyaya za Umeme kama njia!
Hivyo kama ilivyo Tanesco, na maeneo hayo ndivyo yalivyo! Hayapaswi kuendelezwa kwa matumizi mengine mbali na kuhifadhi bomba za mafuta na gesi!
Ni kosa kisheria kuchimba au kulima au kufanya matengenezo yoyote maeneo yaliyopitiwa na mindombinu hiyo!
Pia ni kosa kupitisha mitambo mizito juu ya miundombinu hivyo!

Samahani kama nimekosea wenzangu watakuja kunisahihisha
 
Pole sana kwa kutokujua; ZILE SIYO BARABARA RASMI kwa ajili ya wapita njia, Zile ni reserve za mamlaka ya mafuta na gesi ambapo Mali zake zimepita!
Ni kama Tanesco walivypitisha nyaya za umeme halafu watu watembee juu ya nyaya za Umeme kama njia!
Hivyo kama ilivyo Tanesco, na maeneo hayo ndivyo yalivyo! Hayapaswi kuendelezwa kwa matumizi mengine mbali na kuhifadhi bomba za mafuta na gesi!
Ni kosa kisheria kuchimba au kulima au kufanya matengenezo yoyote maeneo yaliyopitiwa na mindombinu hiyo!
Pia ni kosa kupitisha mitambo mizito juu ya miundombinu hivyo!

Samahani kama nimekosea wenzangu watakuja kunisahihisha
Kwahiyo, tunafanya makosa kupita kwenye hizo njia tusizitegemee! Mfano, kule tegeta, au kule mbagala kuu zackiem, au kule kigamboni TAZAMA n.k
 
Back
Top Bottom