bobi wine

Robert Kyagulanyi Ssentamu, known by his stage name Bobi Wine, is a Ugandan politician, singer, and actor. He is a former Member of Parliament for Kyadondo County East constituency in Wakiso District, in Uganda's Central Region. He also leads the National Unity Platform political party. In June 2019, he announced his candidacy for the 2021 Ugandan presidential election. He participated in the 2021 election where he lost to the incumbent Yoweri Kaguta Museveni, a result which Kyagulanyi and a large section of the public strongly disputed.On December 14, 2021, he was placed under house arrest by the Government of Uganda. He has continued to protest his arrest.

View More On Wikipedia.org
  1. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Wafuasi wa Bobi wine wamiminika nje ya Hotel aliyofikia

    Kundi kubwa la wafuasi wa mgombea Urais wa Uganda kupitia chama cha National Unit Platform (NUP), Robert Kyagulanyi Ssentamu (Bobi Wine) wamemiminika nje ya hoteli aliyofikia katika mji wa Busia asubuhi ya leo huku mgombea huyo akijitokeza roshani mwa jengo hilo na kuwasalimu. Kupitia chapisho...
  2. Matovu Godfrey

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda He bobi wine - Robert Kyagulanyi Ssentamu

    ,,,
  3. Matovu Godfrey

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda elections 2026, Bobi Wine ready and steady

    The revolutionary train finally sealed the day with a rally in Mubende despite the numerous barricades that we encountered along the way to our originally planned venue. We were yet again forced to take a last minute venue far away from Mubende municipality where we had originally planned to...
  4. Matovu Godfrey

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Bobi Wine 2026: Thank you Busunju Town Council, Mityana south constituency

    THANK YOU BUSUNJU TOWN COUNCIL, MITYANA SOUTH CONSTITUENCY. Next stop: Busuubizi Grounds where these cowards pushed us to instead of Saza Grounds which we initially booked. #ANewUgandaNow #ProtestVote2026
  5. Matovu Godfrey

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Bobi wine in MUBENDE & KASSANDA districts for campaigns

    Thank you Kassanda and Mubende Districts. Just like yesterday in Mityana, there have been illegal attempts by the military and police to block us from attending our rally in Mubende this afternoon BUT WE RESISTED AND DEFEATED THEM! #ProtestVote2026 #AnewUgandaNow It was Massive 😍📌 Thanks...
  6. Matovu Godfrey

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda National Unity Platform in Jinja

    Bobi wine running campaigns in jinja Uganda It was really massive
  7. Matovu Godfrey

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Bobi Wine president of [NUP] Party UG🇺🇬

    Bobi Wine is actively campaigning for the January 2026 presidential election, where he aims to unseat Museveni, who is seeking a seventh term. On September 24, 2025, Uganda's Electoral Commission cleared him to run after initially rejecting his nomination papers. This follows his party's...
  8. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaharakati wawili kutoka Kenya watekwa Uganda wakiwa katika Kampeni za Bobi Wine

    Wanaharakati wawili kutoka Kenya, Bob Njagi na Nicholas Oyoo, walidaiwa kutekwa nyara Oktoba 1, 2025 mchana na wanaume wanne wenye silaha wanaoaminika kuwa maafisa wa usalama. Wawili hao walikuwa wameungana na mgombea urais wa National Unity Platform (NUP), Bobi Wine, katika kampeni zake nchini...
  9. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Bobi Wine kumenyana na Museveni katika uchaguzi wa urais uganda 2026

    Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, ametangaza rasmi nia yake ya kugombea urais mwaka 2026 dhidi ya Rais Yoweri Museveni. Tangazo hilo lilitolewa leo katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa kwa ajili ya kuonyesha cheti chake cha kuwania urais kupitia...
  10. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Bobi wine ajitosa tena kugombea urais Uganda 2026

    Kiongozi wa chama cha National Unity Platform (NUP), Robert Sentamu Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, amejitosa tena katika kinyang’anyiro cha urais nchini Uganda, ambapo uchaguzi mkuu unatarajiwa kufanyika Januari 2026. Kwa mujibu wa taarifa za chama hicho, siku ya Jumatatu viongozi...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Bobi Wine kuchuana na Museveni katika mbio za Urais Uganda 2026

    Mwanasiasa wa Upinzani, Robert Kyagulanyi, amechukua fomu Tume ya Uchaguzi ya Uganda kwa ajili ya kuwania kiti cha urais 2026. Kyagulanyi, ambaye aliwakilisha jukwaa la Umoja wa Kitaifa katika Uchaguzi uliopita, amesisitiza nia yake ya kuwania Urais wa Uganda. Kyagulanyi, Mwanamuziki...
  12. E

    JamiiForums Tanzania Bobi Wine amwambia Museveni “Msamaha wako haujakubaliwa”

    Wakati Rais wa Uganda, Yoweri Museveni akiomba msamaha Waganda kwa makossa yaliyofanywa wakati wa utawala wao wa miaka 40, Rais wa chama cha NUP, Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine amekataa msamaha huo, akisema bado wananchi wanaendelea kuteseka katika nchi yao. Museveni na mkewe Janeth...
  13. R

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Muhoozi mtoto wa Museven alipongeza jeshi lake kwa kuwatesa wapinzani, atangaza kumteka Bobi Wine hadharani

    Mods tafadhalini msipeleke post hii jukwaa la Uganda, Lile jukwaa halipo active Hii leo taasisi ya haki za Binadamu Uganda imemuomba Muhoozi kumuachia Edward Mutwe, Mlinzi mkuu wa Bobi Wine (Mpinzani mkuu Uganda) aliemteka na kumpa mateso makali. Muhoozi alijibu LOO! Kama hawa watu...
  14. S

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Bobi Wine ashutumu nchi za magharibi kwa kutokemea matendo ya serikali ya Uganda

    Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Bobi Wine, ameshutumu nchi za Magharibi kwa kutokemea ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaofanywa na serikali ya Yoweri Museveni. Bobi Wine amedai baadhi ya viongozi wa mataifa ya Magharibi "wanahusika" na mateso wanayokutana nayo waganda kwa kuwa wanajali...
  15. R

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda hali si shwari: Mlinzi mkuu wa Bobi Wine aliyetekwa na mtoto wa Museveni afichua mateso zaidi ya 15 aliyoyapitia, hawezi kutembea wala kulala,

    https://x.com/HEBobiwine/status/1920087242871112128 Edward Mutwe, ambaye ni mlinzi mkuu wa kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, alitekwa na mtoto wa Musebeni ( Muhoozi ) tarehe 27 Aprili 2025. Leo hii kafikishwa mahakamani akiwa kwenye hali mbaya sana anabebwa. Haya...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa upinzani Afrika walioshtakiwa kwa uhaini. Lissu, Bobi Wine wamo

    Mashitaka ya uhaini yanayomkabili kiongozi wa cham kikuu cha upinzani Tanzania, Chadema Tundu Lissu yamekitikisa chama hicho na kuishitua dunia. Siku ya Alhamis tarehe 10 Aprili, karibu magazeti yote makubwa ya dunia yalikuwa na habari ya kesi hiyo kubwa kabisa ya Lissu. Mwenyekiti wa zamani wa...
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Bobi Wine: Mtoto wa Museveni anatishia kunichinja, Muhoozi asema Baba yake ndiye anayemzuia kumchukulia hatua

    Mkuu wa Majeshi nchini Uganda (CDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba ambaye pia ni Mtoto wa Rais wa nchi hiyo Yoweri Museveni, amesema mtu pekee anayemzuia kumshughulikia Mwanasiasa mashuhuri wa Uganda ambaye pia ni Rais wa NUP, Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) ni Baba yake Rais Museveni ambapo...
  18. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Bobi Wine atoka Hospitali baada ya madai ya kupigwa Risasi katika mzozo na Maofisa wa Usalama Kampala

    Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine ameruhusiwa kutoka hospitali baada ya jana kudaiwa kupigwa risasi katika mzozano na maofisa wa usalama Mji Mkuu wa Kampala. Bobi Wine aliyekuwa amelazwa Hospitali ya Nsambya ameruhusiwa kutoka leo Jumatano Septemba 4, 2024...
  19. Mindyou

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Polisi Uganda: Bobi Wine hakupigwa risasi, alijikwaa

    Polisi nchini Uganda wamekanusha madai kwamba kiongozi wa upinzani, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, alipigwa risasi Jumanne jioni, badala yake, wamesema kwamba kiongozi huyo wa National Unity Platform (NUP) alijeruhiwa wakati akijaribu kuingia kwenye gari lake. Kwa mujibu wa msemaji...
  20. Mindyou

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Je, ni lini Marekani itaanza kushughulika na Museveni kama ilivyodeal na Gadaffi mwaka 2011?

    Wakuu habari zenu. Its no longer news kuwa siku ya jana kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine alipigwa risasi ya mguu na vikosi vya usalama vya Uganda. Soma pia: Boby Wine apigwa risasi ya mguu katika vuta n'kuvute na polisi We also know kwamba kwa miaka ya hivi karibuni, mahusiano ya...
Back
Top Bottom