bobi wine

Robert Kyagulanyi Ssentamu, known by his stage name Bobi Wine, is a Ugandan politician, singer, and actor. He is a former Member of Parliament for Kyadondo County East constituency in Wakiso District, in Uganda's Central Region. He also leads the National Unity Platform political party. In June 2019, he announced his candidacy for the 2021 Ugandan presidential election. He participated in the 2021 election where he lost to the incumbent Yoweri Kaguta Museveni, a result which Kyagulanyi and a large section of the public strongly disputed.On December 14, 2021, he was placed under house arrest by the Government of Uganda. He has continued to protest his arrest.

View More On Wikipedia.org
  1. tonicimmobility

    Bobi wine ajitosa tena kugombea urais Uganda 2026

    Kiongozi wa chama cha National Unity Platform (NUP), Robert Sentamu Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, amejitosa tena katika kinyang’anyiro cha urais nchini Uganda, ambapo uchaguzi mkuu unatarajiwa kufanyika Januari 2026. Kwa mujibu wa taarifa za chama hicho, siku ya Jumatatu viongozi...
  2. Waufukweni

    Bobi Wine kuchuana na Museveni katika mbio za Urais Uganda 2026

    Mwanasiasa wa Upinzani, Robert Kyagulanyi, amechukua fomu Tume ya Uchaguzi ya Uganda kwa ajili ya kuwania kiti cha urais 2026. Kyagulanyi, ambaye aliwakilisha jukwaa la Umoja wa Kitaifa katika Uchaguzi uliopita, amesisitiza nia yake ya kuwania Urais wa Uganda. Kyagulanyi, Mwanamuziki...
  3. E

    Bobi Wine amwambia Museveni “Msamaha wako haujakubaliwa”

    Wakati Rais wa Uganda, Yoweri Museveni akiomba msamaha Waganda kwa makossa yaliyofanywa wakati wa utawala wao wa miaka 40, Rais wa chama cha NUP, Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine amekataa msamaha huo, akisema bado wananchi wanaendelea kuteseka katika nchi yao. Museveni na mkewe Janeth...
  4. R

    Muhoozi mtoto wa Museven alipongeza jeshi lake kwa kuwatesa wapinzani, atangaza kumteka Bobi Wine hadharani

    Mods tafadhalini msipeleke post hii jukwaa la Uganda, Lile jukwaa halipo active Hii leo taasisi ya haki za Binadamu Uganda imemuomba Muhoozi kumuachia Edward Mutwe, Mlinzi mkuu wa Bobi Wine (Mpinzani mkuu Uganda) aliemteka na kumpa mateso makali. Muhoozi alijibu LOO! Kama hawa watu...
  5. S

    Bobi Wine ashutumu nchi za magharibi kwa kutokemea matendo ya serikali ya Uganda

    Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Bobi Wine, ameshutumu nchi za Magharibi kwa kutokemea ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaofanywa na serikali ya Yoweri Museveni. Bobi Wine amedai baadhi ya viongozi wa mataifa ya Magharibi "wanahusika" na mateso wanayokutana nayo waganda kwa kuwa wanajali...
  6. R

    Uganda hali si shwari: Mlinzi mkuu wa Bobi Wine aliyetekwa na mtoto wa Museveni afichua mateso zaidi ya 15 aliyoyapitia, hawezi kutembea wala kulala,

    https://x.com/HEBobiwine/status/1920087242871112128 Edward Mutwe, ambaye ni mlinzi mkuu wa kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, alitekwa na mtoto wa Musebeni ( Muhoozi ) tarehe 27 Aprili 2025. Leo hii kafikishwa mahakamani akiwa kwenye hali mbaya sana anabebwa. Haya...
  7. Waufukweni

    Viongozi wa upinzani Afrika walioshtakiwa kwa uhaini. Lissu, Bobi Wine wamo

    Mashitaka ya uhaini yanayomkabili kiongozi wa cham kikuu cha upinzani Tanzania, Chadema Tundu Lissu yamekitikisa chama hicho na kuishitua dunia. Siku ya Alhamis tarehe 10 Aprili, karibu magazeti yote makubwa ya dunia yalikuwa na habari ya kesi hiyo kubwa kabisa ya Lissu. Mwenyekiti wa zamani wa...
  8. Waufukweni

    Bobi Wine: Mtoto wa Museveni anatishia kunichinja, Muhoozi asema Baba yake ndiye anayemzuia kumchukulia hatua

    Mkuu wa Majeshi nchini Uganda (CDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba ambaye pia ni Mtoto wa Rais wa nchi hiyo Yoweri Museveni, amesema mtu pekee anayemzuia kumshughulikia Mwanasiasa mashuhuri wa Uganda ambaye pia ni Rais wa NUP, Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) ni Baba yake Rais Museveni ambapo...
  9. Mkalukungone Mwamba

    Bobi Wine atoka Hospitali baada ya madai ya kupigwa Risasi katika mzozo na Maofisa wa Usalama Kampala

    Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine ameruhusiwa kutoka hospitali baada ya jana kudaiwa kupigwa risasi katika mzozano na maofisa wa usalama Mji Mkuu wa Kampala. Bobi Wine aliyekuwa amelazwa Hospitali ya Nsambya ameruhusiwa kutoka leo Jumatano Septemba 4, 2024...
  10. Mindyou

    Polisi Uganda: Bobi Wine hakupigwa risasi, alijikwaa

    Polisi nchini Uganda wamekanusha madai kwamba kiongozi wa upinzani, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, alipigwa risasi Jumanne jioni, badala yake, wamesema kwamba kiongozi huyo wa National Unity Platform (NUP) alijeruhiwa wakati akijaribu kuingia kwenye gari lake. Kwa mujibu wa msemaji...
  11. Mindyou

    Je, ni lini Marekani itaanza kushughulika na Museveni kama ilivyodeal na Gadaffi mwaka 2011?

    Wakuu habari zenu. Its no longer news kuwa siku ya jana kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine alipigwa risasi ya mguu na vikosi vya usalama vya Uganda. Soma pia: Boby Wine apigwa risasi ya mguu katika vuta n'kuvute na polisi We also know kwamba kwa miaka ya hivi karibuni, mahusiano ya...
  12. Suley2019

    Bobi Wine apigwa risasi ya mguu katika vuta n'kuvute na polisi

    Msanii na kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Boby Wine, apigwa risasi ya miguu akiwa katika hali ya vuta n'kuvute na polisi katika kijiji cha Bulindo nchini Uganda. Hivi sasa kiongozi huyo amekimbizwa hospitali kwa ajili ya matibabu. Mwendesha ukarasa wa mtandao wa 'X' wa Boby Wine ametangaza...
  13. BARD AI

    Mikutano ya Hadhara ya Bobi Wine yasitishwa baada ya kudaiwa kusababisha Vifo

    Inspekta Jenerali wa Jeshi la Police (IGP) Abbas Byakagaba ametangaza kusitisha Mikutano yote ya Hadhara Chama cha Upinzani cha National Unit Platform (NUP) kinachoongozwa na Bobi Wine kutokana Watu wawili kufariki katika Mikutano hiyo Hatua hiyo inakuja ikiwa ni siku mbili tangu kuanza kwa...
  14. Suley2019

    Maandamano ya Bobi Wine yazimwa. Wanajeshi wamdhibiti kabla hajatoka nyumbani kwake

    Kiongozi wa upinzani nchini Uganda na aliyekuwa mgombea urais Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine amesema kuwa leo Alhamisi polisi walikuwa wamezingira makazi yake na kumweka "chini ya kizuizi cha nyumbani" kabla ya maandamano aliyopanga Wanasiasa wa Upinzani nchini Uganda walikuwa...
  15. BARD AI

    Bobi Wine awekwa chini ya Ulinzi nyumbani kwake baada ya kukamatwa Airport

    UGANDA: Kiongozi wa Chama cha Upinzani cha National Unity Platform (NUP), Robert Kyagulanyi, maarufu kama Bobi Wine amewekwa chini ya Ulinzi nyumbani kwake baada ya kukamatwa na Maafisa wa Usalama wakati akirejea kutoka Nje ya Nchi - Taarifa ya kuwekwa chini ya ulinzi inakuja baada Katibu Mkuu...
  16. The Sunk Cost Fallacy 2

    Bobi Wine kwa Wakenya: Defend your Constitution before it's too week to defend you

    Nawasalimu kwa jina la JMT. Bobi Wine ambae ni Kiongozi wa Upinza huko Uganda amewatahadharisha Wakenya kuwa Makini na genge la Ruto kupitia wabunge wa chama chake Cha UDA wanaotaka Bunge libadili Katiba ya Nchi hiyo na Kuondoa Ukomo wa Urais wa vipindi vya Miaka 5 na kuweka Ukomo wa umri wa...
Back
Top Bottom