Robert Kyagulanyi Ssentamu, known by his stage name Bobi Wine, is a Ugandan politician, singer, and actor. He is a former Member of Parliament for Kyadondo County East constituency in Wakiso District, in Uganda's Central Region. He also leads the National Unity Platform political party. In June 2019, he announced his candidacy for the 2021 Ugandan presidential election. He participated in the 2021 election where he lost to the incumbent Yoweri Kaguta Museveni, a result which Kyagulanyi and a large section of the public strongly disputed.On December 14, 2021, he was placed under house arrest by the Government of Uganda. He has continued to protest his arrest.
Baada ya kudaiwa kuwa Mgombea Urais Bobi Wine amechukuliwa na vyombo vya usalama na kupelekwa kusikojulikana hapo jana, Solomon Kampala ameandika kupitia mtandao wa X kuwa alifanikiwa kutoroka wakati wa shambulio la polisi na Wanajeshi wa UPDF waliokuwa wamezunguka makazi yake na kuzuia kabisa...
Rais Yoweri Museveni wa Uganda amefafanua msimamo wake katika uchaguzi wa mwaka huu, ambapo anatafuta kuongeza muda wake wa uongozi kwa miaka mingine mitano, hivyo kuongeza zaidi ya miongo minne aliyokaa madarakani.
Mwaka 2005, Bunge la Uganda lilipitisha marekebisho tata ya Katiba yaliyoondoa...
Mgombea urais wa upinzani nchini Uganda Ssentamu Robert Kyagulanyi almaarufu Bobi Wine amepiga kura. Bobi alifika katika kituo cha Freedom Square Magere akiandamana na mkewe Barbie.
Bobi Wine wa chama cha NUP anakabiliana na rais wa sasa Yoweri Kaguta Museveni ambaye amekuwa madarakani kwa...
Naomba yaliyotokea Tanzania yasitokee Uganda vinginevyo ilazimike kuwa hivyo. Heri Bobi ashinde ndipo waganda wote washinde kuliko kushindishwa m7 ambaye umri umemuacha. Sijui kwanini watawala washenzi na waroho wa kiafrika wanapenda kufia madarakani.
Aisee Huu mchuano sio wa kukosa haya machama mawili yote yanaonekana kuukamia mchezo
Ukicheki chama la wanna (NUP) dhidi ya wakongwe (NRM) kila mtu yuko na energy na passion.
Hii ngoma naiona haiwezi amuliwa 90a u 120 minutes.
Hii ngoma naiona ikifika penalty
Jana Kuna video nimeona Gen Z wa Uganda yaani wana vibe la hasira wakimshangilia Bob Wine
Aisee hiki ni kipindi kibaya sana Kwa majizi na madiktekta duniani
Yaani vijana wanawakataa hadharani.
Fikiria vijana wako radhi wauwawe ila sio kukubali kuendeshwa na diktekta kitawaka hapo Uganda kesho
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi, maarufu kama Bobi Wine, ametangaza kuwa ataitisha maandamano ya nchi nzima ikiwa Rais Yoweri Museveni ataiba kura katika uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Alhamisi ya wiki hii. Akizungumza na shirika la habari la AFP nyumbani kwake jijini...
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi, maarufu kama Bobi Wine, ametangaza kuwa ataitisha maandamano ya nchi nzima ikiwa Rais Yoweri Museveni ataiba kura katika uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Alhamisi ya wiki hii.
Akizungumza na shirika la habari la AFP nyumbani kwake jijini...
Museveni anacheza smart kwa kumuachia mpinzani wa mchongo (sio Besigye) apige kampeni ila kwenye kutangaza mshindi atatajwa Yoweri Museveni kwa 62.9% tofauti na Malawi ambao mpaka damu imwagike Kwanza halafu uunde Tume baadae maridhiano (Feki).
NB: Game Ile Ile ila inachezwa kwa level 2 tofauti.
Hali inaendelea kuwa tete kwa upande wa Uganda
Polisi wa Uganda wamenaswa wakimpiga na kumkaba koo mwandishi wa habari aliyekuwa akifuatilia kampeni za mgombea urais Bobi Wine.
President Yoweri Museveni responded firmly to this assertion. In a video broadcast on Uganda Broadcasting Corporation (UBC), the national public broadcaster, Museveni addressed citizens directly, emphasizing the capabilities of the security apparatus. He stated that each security personnel is...
Siasa za Afrika ni ngumu sana, Ukishangaa ya Tanzania basi utayakuta ya Uganda.
Musevi anatumia nguvu nyingi sana kutaka kuendelea kubaki kwenye kitu cha urais, huku taswira ni kwamba wananchi wa Uganda wameshamkataa maana umasikini bado upo sana!
===================
Hizi ni vurugu kwenye...
I came across this Video and got shocked as I have been following up Bobi Wine"s Campaigns recently seeing how he is sacrificing his life for the people of Uganda because the Police are on side of Museveni.
I think this video is manipulating the Public view to be against Bobi Wine
Bobi Wine kwa polisi wa Uganda: "Ndugu maofisa, bunduki mliyobeba ina thamani ya dola 2,000 za Marekani (kshs 258,000). Angalia jinsi bunduki hiyo inavyoonekana bora kuliko wewe, ilhali unalipwa Sh14,000 pekee. Kwa nini bunduki hiyo inaonekana bora kuliko wewe?"
Japo Bobi Wine amesahau bunduki...
Yani nchi za Afrika zinatabia zakufanana sana! Sasa ukitizama anachopitia Boni wine ndicho wanachopitia wanasiasa wavyama vya upinzani Tanzania. Leo Lissu yupo gerezani kwa kupewa kesi ya Uhaini, so bad Africa
================
Taharuki ilitanda jijini Gulu baada ya maafisa wa jeshi la Uganda...
Wakati vyama mbalimbali vya siasa vikiendelea na kampeni za uchaguzi mkuu Uganda unaotarajiwa kufanyika Januari 2026, Kumekuwepo na sekeseke la Mikutano ya Mgombea Urais kupitia Chama cha National Unity Platform(NUP), Robert Kyagulanyi Ssentamu(Bobi Wine) kuvamiwa na vyombo vya ulinzi mchini...
Mkutano wa Mgombea Urais wa Uganda kupitia Chama cha National Unity Platform(NUP), Robert Kyagulanyi Ssentamu(Bobi Wine) uliokuwa ukifanyika eneo la Bbaale nchini humo umeshindwa kumalizika vyema baada ya askari wa Jeshi la Polisi kurusha mabomu ya machozi kitendo kilichowafanya wafuasi...
Hello guys, I saw this information dated October 28, 2025, is this true?
"Last Sunday, @HEBobiwine was seen at State House where he met with the President of Uganda. During their discussion, he revealed plans of withdrawing from the presidential race and also asked for forgiveness. Kino...
BREAKING: Police is now breaking into the hotel where Bobi wine is residing in Lira. The receptionist has been arrested and they’re knocking on every room.
They’re commanded by FFUs Mukiibi with quite a number of plain clothed operatives & their car number plates are covered...
The struggle continues...
Our fourth week will resume with Bunyoro sub-region on Monday and close with Lango on Saturday. The revolutionary train is still on track to advance the message of the #ProtestVoteUg2026
#PeoplePowerOurPower
#ANewUgandaNow #FreeUgandaNow #M7Mustgo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.