block

A block of the periodic table is a set of elements unified by the orbitals their valence electrons or vacancies lie in. The term appears to have been first used by Charles Janet. Each block is named after its characteristic orbital: s-block, p-block, d-block, and f-block.
The block names (s, p, d, and f) are derived from the spectroscopic notation for the value of an electron's azimuthal quantum number: sharp (0), principal (1), diffuse (2), or fundamental (3). Succeeding notations proceed in alphabetical order, as g, h, etc.

View More On Wikipedia.org
  1. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilivyomtamani rafiki wa mpenzi wangu, na kuambulia 'block'

    Siku moja, nimejichokea zangu mida ya saa nne usiku, nikaamua niende 'club' nikapate 'vibe' la kule ili niweze kuondoa 'stress' za maisha. Muhudumu akaniletea bia zangu tano za kuanzia, nikazinyonya zote zikaisha; akaniongeza tena zingine. Baada ya kufika ya nane, akili ikahama, nikajiuliza kwa...
  2. Dr Count Capone

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi kuchezea block toka kwa mpenzi wako? (Ushuhuda)

    Waungwana shida ziko palepale! Twendeni kwenye mada Nafikiri sote humu tushakuwa kwenye mahusiano kwa muda fulani, na kila mahusiano yana vimbwanga vyake, asikwambie mtu kila mahusiano yana changamoto zake. Sasa hapa tunajadili kama uliwahi kuchezea blocki toka kwa mpenzi wako iwe ktk Harakati...
  3. M

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Waziri Mkuu okoa wananchi wa Dodoma jiji D Center Makole. Wanadhulimiwa haki yao, wapewa fidia eneo ambalo kumbe mali ya MSD medeli AC Block 157

    Kichwa cha habari cha jitosheleza ,wananchi wa makole D center halmashaur ya jiji walihamisha kupisha mradi wa stendi ndogo na kituo cha biashara ndogo ndogo za ujasiliamali. Mwanzo walitakiwa kufidiwa kwa malipo ya hela ila halmashauri wakasema fungu lililotengwa lilichukuliwa tena serikali...
  4. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Block emails usizozitaka kirahisi.

    umekuwa ukipata rundo la emails usizozitakaka kwenye gmail yako? hiii huwa inachukiza sana unapopokea emails ambazo hazihusiani na mambo yako kabisa leo nitakufundisha namna rahisi sana ya kuziblock zisikufikie tena. kama ni mtumiaji wa gmail fuata hatua hizi chache.. 1.fungua gmail yako, 2...
  5. Influenza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Visa, Mastercard zazuia Taasisi kadhaa za Kifedha za Urusi kutumia mifumo yao

    Kampuni za malipo ya kifedha za Marekani, Visa na Mastercard zimezifungia Taasisi kadhaa za Kifedha za Urusi kutumia huduma zake ikiwa ni sehemu ya vikwazo kwa Urusi Aidha, Kampuni hizo zimeahidi kutoa Dola za Kimarekani Milioni 2 kila moja kwa ajili ya kusaidia katika masuala mbalimbali ya...
  6. FUTURE HUNTER

    JamiiForums Tanzania Ushauri juu yaKununua Tofali za Block

    Wakuu,Heshima kwenu nyote. Kwanza kabisa nishukuru kwa namna mnatoa madini katika jukwaa hili la ujenzi Kila siku.Hii inatia hamasa kwa mtu anaetamani kujenga. Leo nilienda kutembelea sehemu wanapouza Tofali na Bei zimekaa kama ifuatavyo. 1.Ratio ya Tofali 40 -1200 kwa Tofali. 2.Ratio ya tofali...
  7. Granted Faith

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haya mambo ya kublock wapenzi wenu ni ushamba narudia tena ni ushamba

    Haya Mambo Kublock Wapenzi wenu ni Ushamba Unakuta Mna Kaugomvi Kadogo tuu ila Mnalimana block kila sehemu then baada ya mda mnapatana then Mnajiunblock huo ni Ushamba na Upumbavu, utoto na uzwazwa. Mambo ya Kublock ni ya Kishamba na ya Kipumbavu sana.
  8. Kapepo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naamka nakuta kaniblock

    Habari wakuu, Nina mpenzi wangu ambaye nampenda kweli yaani, sasa tumeongea usiku huu kwenye saa mbili hivi akasema atanicheki, ikabidi nijipumzishe naamka usiku huu nakuta nimechezea block bila kujua nini chanzo dah, haya mapenzi haya dah [emoji1787]
  9. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania WhatsApp has sued the Indian government in a bid to block new rules

    Inakuwa kama amini usiamini ,kumbe inawezekana na wenyewe wamelivalia njuga. Ni wangapi wamekamatwa kupitia meseji za wasapu hapa Tz na polisi wakijigamba, tena meseji zenyewe ni none-sense basi tu wakiwakamata watu ili waonekane na yule baba kuwa wapo imara,kumbe sheria haiwaruhusu. ======...
  10. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi sasa?

    Aliye niblue tick WhatsApp akani mute hadi status, akaweka dislike kwenye bio. Yuko wapi sasa? Hakunijibu sms nilivyo mu DM instagram wala nilivyo mu PM kwenye social network zingine. Yuko wapi sasa? Aliye niblock kwenye simu ili nilimpigia au kutuma sms zisimufikie. Yuko wapi sasa?.
Back
Top Bottom