bifu

The Banking, Insurance and Finance Union (BIFU) was a British trade union.
The union was founded in 1946 as the National Union of Bank Employees (NUBE), when the Bank Officers' Guild and the Scottish Bankers' Association merged. In 1979, it was renamed the Banking, Insurance and Finance Union. In 1999, it merged with the NatWest Staff Association and the Barclays Group Staff Union to form UNIFI.By the time of its merger, the union had 113,000 members, in national and international banks, the Bank of England, insurance companies, building societies, finance houses and the Financial Services Authority. It was affiliated to the Trades Union Congress.

View More On Wikipedia.org
  1. digalangosha

    Rais Samia unakumbuka haya, naona umeanza tena kuhusu muda wa madaraka ya Urais

    Mtangulizi wake ambae ni JPM alikuwa anafurahia kusifiwa kwamba ataongezewa muda, lakini naona plans zake zilipishana na plans za mwenyezi Mungu. Rais Samia naona na yeye kaanza kujitabilia kuongoza miaka tisa (9) mbele, bila kujua kama mwenyezi Mungu nae anazo plans pia. Kwa tunaoamini katika...
  2. Ettore Bugatti

    Maulid Kitenge, propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana-Ngorongoro hazitakuacha salama

    Somebody said, AirPods journalist is looking towards being District Commissioner or equivalent in this regime. FYI my Brother Mshambuliaji, hawa ndugu zetu pale wapo kihalali na walihamishwa toka miaka 1950's kutoka Serengeti na nakukumbusha kuna amri ya mahakama ya Afrika Mashariki EACJ...
  3. N

    Bifu linaendelea, Mume wa Waziri Gwajima akana kumtambua Mathias Gwajima kama Baba yake

    Picha ya Marehemu Mzee Stiven Gwajima. Huyu ndiye alikuwa Mkwe wa Waziri wa Afya Dorothy Gwajima. Mzee Stiven Gwajima alifariki dunia tarehe 30/9/2019 jijini Dar es Salaam. Mtoto wake Mwanasheria Msomi Methusela Gwajima amezungumza na #KitengeTV na kusema huyo ndio alikuwa Baba yake na Mkwe wa...
  4. Fundi Madirisha

    Propaganda za Chanjo ya COVID-19: Askofu Gwajima apuuzwe

    Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha. Huyu mtu anarudisha juhudi za...
  5. M

    Bifu lililokuwa la Rayvanny na Harmonize, limemshusha Rayvanny zaidi, nadhani

    Kwa upande wangu naona hili bifu limemuathiri zaidi Rayvanny, nimegundua baada ya kwenda you tube na kuangalia video ya keleb ya Rayvanny, nimesoma comments nikafamu Kuna watu wanetoa negative comments wengi Sana Hali hii haikuwa hapo mwanzoni. Kwani Rayvanny alikuwa na neutral fan base hata...
  6. anonymousafrica

    Bifu la Eminem na Snoop Dogg

    Au niite mgongano (maana halijawa bifu 100%, ila nadhani nimeeleweka kwa huo msamiati) Mwaka jana mwishoni kumeibuka msuguano (kutoelewana) kati ya snoop dogg na Eminem. Kumbuka hawa jamaa wamekuwa karibu kwa mda mrefu bila kusahau wanaunganishwa na Dr Dree (wote ni watu wa karibu na dree na...
  7. sky soldier

    Rafiki yangu katumiwa video WhatsApp na aliekua na bifu naye akimla demu wake, je afanyaje?

    Inauma sana kumuona yule unayempenda akitoa penzi kwa mwengine hasa akiwa adui yako, nazungumzia unaempenda kweli kweli sio hawa ambao tupo nao ilimradi tu. Basi kuna kisa kimempata rafiki yangu, Kwa sasa ana stress nyingi mno, Kaachiwa jeraha kubwa sana moyoni, hata kula ni shida, hana...
  8. dvj nasmiletz

    Dada yako unayempenda sana anataka aolewe na jamaa ambaye una bifu naye la 2-Pac na Big

    Husika na kichwa hapo juu. Utamridhisha dada yako wako wa pekee kwa kuruhusu aolewe naye huyo jamaa ambaye ni paka na panya kati yenu au utamkatalia ili abaki bila furaha (ambayo ndio kitu unapenda awe nacho)
  9. PACHOTO

    Salaam SK- Harmonize bifu hilo kwio

    Msibani Morogoro mazishi ya Mke wa Babu Tale, SALAAM SK mmoja wa mameneja wa Diamond akataa mkono wa HARMONIZE, binfsi sijapenda bifu hadi msibani, kama hasira angekuwa nazo Harmonize kwa zile M600, sio yeye. NB: kumbe WCB walikuwa wanafaidika na uwepo wa TEMBO sasa mambo magumu
  10. Jackal

    Hivi Carry Mastory huwa ana bifu na Diamond?

  11. Influenza

    Mrisho Gambo atenguliwa Ukuu wa Mkoa wa Arusha

    UTEUZI WA RC ARUSHA NA DC ARUSHA WATENGULIA Rais Magufuli, leo ametengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo na nafasi yake imechukuliwa na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Monduli, Idd Kimanta Pia ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Gabriel Daqarro na nafasi yake imechukuliwa...
  12. Planett

    Bifu kati ya 50 Cent na Rick Ross.

    Hawa jamaa nilikua nasikia tuu kua wana bifu ambalo hakuna wa kuamua ila leo nimeamini. Cheki hii verse kutoka kwenye wimbo wa Rick Ross unaoitwa BUY BACK THE BLOCK anamwambia 50 Cent kua "nina kazi kwa ajili ya baba yako". Hii ni dharau ya kiwango cha juu sana. It's time to clean up the...
  13. Burnaboy

    Somo kutoka kwa Davido na Wizkid: Bifu zina mchango gani kwenye kukuza au kuua wasanii?

    Jana nimemsikia presenta mmoja wa radio maarufu akidai kwamba "wasanii wa Nigeria wanaendelea sababu wana UMOJA, hawana ma-bifu". Hata wasanii wanaoheshimika bongo wamekua wakitoa hii hoja. Je, ni kweli wasanii wa Nigeria wana UMOJA? (kwa kuangalia mfano wa Davido na Wizkid).Je, bifu zina faida...
Back
Top Bottom