benki kuu ya tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    JamiiForums Tanzania Kwanini loan restructuring na loan takeover NMB, CRDB na TCB hakifanyi kazi mpaka Leo?

    Naomba Serikali na Benki Kuu ya Tanzania kueleza kwa nini huduma za Loan Restructuring na Loan Takeover katika benki kama NMB, CRDB na TCB hazifanyi kazi kwenye mfumo wa ESS? Huduma hizi zimetangazwa kusaidia wakopaji, lakini wengi wanashindwa kuzipata mpaka Leo hii. Tunaomba hatua...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Gavana wa BoT- Emmanuel Tutuba: Kiwango cha akiba yetu ya fedha za kigeni kinatosha uagizaji wa huduma na bidhaa kutoka nje kwa zaidi ya miezi 4.8

    Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imebainisha kuwa kiwango cha akiba ya fedha za kigeni nchini kimeendelea kuimarika na kufikia uwezo wa kuagiza bidhaa na huduma kutoka nje kwa kipindi cha miezi 4.8, kiwango ambacho kiko juu ya matakwa ya kisheria ya nchi. Hayo yameelezwa leo Juni 12, 2026, na Gavana...
  3. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Dkt. Samia amekishiriki Maadhimisho Ya Miaka 60 Ya Benki Kuu Ya Tanzania, JNICC, Dar, Juni 12, 2026

    https://www.youtube.com/watch?v=Qne7eWGfD5w Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki Maadhimisho ya Miaka 60 ya Benki Kuu ya Tanzania (BOT), tarehe 12 Juni, 2026, JNICC Dar es Salaam
  4. McLaren

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akishiriki maadhimisho ya miaka 60 ya Benki Kuu ya Tanzania, JNICC, Dar es Salaam

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akishiriki Maadhimisho ya Miaka 60 ya Benki Kuu ya Tanzania (BOT), tarehe 12 Juni, 2026, JNICC Dar es Salaam https://www.youtube.com/watch?v=Qne7eWGfD5w Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania alionya matumizi ya cryptocurrency

    Gavana wa Bank Kuu Tanzania Emmanuel Tutuba Katika miaka ya hivi karibuni, matumizi ya fedha za kidijitali maarufu kama cryptocurrency yameongezeka duniani kote. Watu wengi wamevutiwa na ahadi ya kupata faida kubwa kupitia uwekezaji wa sarafu kama Bitcoin na nyinginezo. Hata hivyo, nchini...
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania TANZIA Gavana wa nne wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk. Idris Rashid, afariki dunia akiwa na umri wa miaka 78

    Aliyekuwa Gavana wa nne wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk Idris Rashid, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 78. Dk Rashid aliyezaliwa mwaka 1948, wilayani Mbulu katika Mkoa wa Manyara, amefariki dunia usiku wa kuamkia Ijumaa ya Machi 13, 2026, baada ya kuugua kwa muda mrefu. Taarifa za...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Benki Kuu ya Tanzania: Hatuuzi dhahabu kufadhili miradi ya Serikali

    Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni zikidai kuwa ina mpango wa kuuza sehemu ya hifadhi yake ya dhahabu kwa ajili ya kufadhili miradi ya kimkakati ya serikali. Akizungumza mkoani Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Idara ya Masoko ya Fedha wa BoT, Emmanuel Akaro...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Bagamoyo: Serikali isisikilize maneno uuzaji wa akiba ya dhahabu, Wanaharakati uchwara wapuuzwe

    Mbunge wa Bagamoyo (CCM), Subira Mgalu, ameishauri Serikali kutoyumbishwa na maoni ya wanaharakati na wakosoaji kuhusu mpango wa kuuza sehemu ya akiba ya dhahabu ya Taifa kwa ajili ya kugharamia miradi ya kimkakati. Akichangia mjadala wa hotuba ya Rais bungeni jijini Dodoma leo, Januari 30...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Tanga: Benki Kuu ya Tanzania (BoT) yatahadharisha kuhifadhi fedha kwenye matiti, pindo la kanga

    Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imewakataza wananchi, hususan kina mama, kuhifadhi fedha kwenye matiti ikieleza tabia hiyo huharibu ubora wa fedha na kuilazimisha Serikali kugharamia kuchapisha mpya kabla ya muda wake wa matumizi kuisha. Mbali na kuhifadhi kwenye matiti, kufunga fedha kwenye pembe...
  10. P

    JamiiForums Tanzania DHULMA TUNAZOTENDEWA NA BENKI YA CRDB ILHALI BENKI KUU YA TANZANIA , INAONYESHA KUWA UPANDE WAO KWA KUSHINDWA KUJIBU "REVISION" KWA MUJIBU WA SHERIA.

    TATIZO KUBWA – WITO WA HAKI NA UWAZI KIFEDHA TANZANIA Kampuni ya Peachy Village Company Limited, yenye makao yake makuu Dodoma, Tanzania, imejikuta katika hali mbaya kifedha baada ya kufunguliwa kwa akaunti za benki zisizo halali kwa jina lake. Tukio hili limeleta hasara kubwa, likiathiri...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Benki Kuu imekanusha taarifa za kuchapisha pesa “Makontena kwa Makontena” kwa ajili ya uchaguzi

    Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imekanusha taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kuchapishwa kwa fedha na kuzisambaza kwa ajili ya uchaguzi, huku baadhi ya watu wakihamasisha wananchi kuondoa fedha zao kutoka mabenki kwa madai ya uhaba wa fedha. BoT imesisitiza kuwa taarifa hizo...
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Benki Kuu ya Tanzania kuuziwa 20% dhahabu inayozalishwa na Shanta, Geita Gold Mine, Buckreef Gold

    Kampuni za madini za Geita Gold Mine (GGM), Shanta na Buckreef Gold zimeingia mkataba na Benki Kuu (BoT) ya utekelezaji wa sheria ya madini inayozitaka kampuni binafsi za uchimbaji madini kuiuzia BoT dhahabu inayozalishwa na kampuni hizo kwa kiwango kisichopungua asilimia 20. Mikataba hiyo...
  13. Mr Why

    JamiiForums Tanzania Benki kuu ya Tanzania yapiga marufuku matumizi ya fedha za kigeni kufanya miamala ya ndani

    Benki kuu ya Tanzania ilisema katika taarifa yake Ijumaa jioni kwamba imepiga marufuku matumizi ya fedha za kigeni kwa miamala na malipo ya ndani. Benki Kuu ya Tanzania (BOT) imesema kwa mujibu wa kanuni zilizotolewa na Serikali mwaka 2025, bei na malipo ya bidhaa na huduma zote nchini lazima...
  14. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Benki Kuu ya Tanzania (BoT): Uchumi wa Tanzania unatarajiwa kuendelea kukua kwa kasi ya 6.1% na 6.5% mtawalia

    BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imetangaza kuwa uchumi wa Tanzania Bara na Zanzibar unatarajiwa kuendelea kukua kwa kasi ya kuridhisha katika robo ya pili ya mwaka 2025, kwa asilimia 6.1 na 6.5 mtawalia, huku mfumuko wa bei ukitarajiwa kubaki tulivu kwa asilimia 3.2. Akizungumza jijini Dar es...
  15. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Historia ya kuanzishwa kwa Benki Kuu ya Tanzania

    Niliwahi kusoma makala moja iliandikwa na marehemu Ali Nabwa,kwenye gazeti la dira,yenye kichwa cha habari,Zanzibar yafa dungu msokoni. Makala hiyo ilielezea ugomvi mkubwa sana kati ya karume na nyerere,kuhusu benki kuu ya tanzania.Nyerere akamtuma Amir Jamal keenda kuongea na Karume,Karume...
  16. Holota

    JamiiForums Tanzania USAILI BENKI KUU YA TANZANIA (BOT)

    Wakuu kwa mwenye uzoefu au ufahamu kuhusu writen interview ya bot kwa kada ya Bank officer III atusaidie walau tujue kwa kuanzia
  17. Planet Data bundles

    JamiiForums Tanzania Wakuu hati fungani za BOT zikoje? Riba au faida yake ni % ngapi?

    Wakuu msaada hapa naisikia sana hii lakini sielewi maana. Nipeni ABC
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Benki Kuu ya Tanzania (BoT) yaanika Application 69 zilizofungiwa kwa utoaji mikopo kidijitali bila leseni

    Benki Kuu ya Tanzania inapenda kuufahamisha Umma kuwa imebaini kuwepo kwa Majukwaa na Programu Tumizi 'Applications" zinazojihusisha na utoaji wa mikopo kidijitali bila ya kuwa na leseni na idhini kutoka Benki Kuu ya Tanzania. Aidha, Majukwaa na Programu hizo zimeshindwa kukidhi matakwa ya...
  19. Damaso

    JamiiForums Tanzania Kanuni Mpya za Benki Kuu ya Tanzania na Athari Zake kwa Soko la Fedha za Kigeni

    Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeanzisha kanuni mpya kwa ajili ya shughuli za kubadilisha fedha za kigeni, ikijumuisha uwepo wa masharti makali zaidi kwa ajili ya miamala inayozidi dola za Marekani 5,000. Kanuni hizi mpya zina lengo la kuimarisha uwazi, uwajibikaji, na usalama ndani ya soko la...
  20. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Benki Kuu ya Tanzania kuanza kuondoa kwenye mzunguko noti za zamani za shilingi

    Benki Kuu ya Tanzania inatarajia kuanza kuondoa kwenye mzunguko noti za zamani za shilingi ishirini (20), mia mbili (200), mia tano (500), elfu moja (1000), elfu mbili (2000), elfu tano (5000), na elfu kumi (10000) za matoleo ya mwaka 1985 hadi 2003, pamoja na noti ya shilingi mia tano (500)...
Back
Top Bottom