The BBC World Service is an international broadcaster, owned and operated by the BBC. It is the world's largest of any kind. It broadcasts radio news, speech and discussions in more than 40 languages to many parts of the world on analogue and digital shortwave platforms, internet streaming, podcasting, satellite, DAB, FM and MW relays. In 2015, The World Service reached an average of 210 million people a week (via TV, radio and online). In November 2016, the BBC announced that it would start broadcasting in additional languages including Amharic and Igbo, in its biggest expansion since the 1940s.The World Service is funded by the United Kingdom's television licence fee, limited advertising and the profits of BBC Studios. The service is also guaranteed £289 million (allocated over a five-year period ending in 2020) from the UK government. The World Service was funded for decades by grant-in-aid through the Foreign & Commonwealth Office of the British Government until 1 April 2014.BBC World Service English maintains eight different regional feeds with several program variations, covering, respectively, East and South Africa; West and Central Africa; Europe and Middle East; Americas and Caribbean; East Asia; South Asia; Australasia; United Kingdom. There are also two separate online-only streams with one being more news-oriented, known as News Internet. The service broadcasts 24 hours a day.
The current controller of BBC World Service English is Mary Hockaday.
Tupeni habari kamili bila upendeleo.
Habari zenu zimegemea sana marekani na Isreal badala ya kutupa habari sahihi za vita. Mnatupa kauli za Trump na letanyahu huku kauli za Iran mnazitia kabitini na hamtaki kabisa washabiki wenu tuzisikie.
Mnatunyima fursa washabiki wenu
Tupeni taarifa za...
Ili heshimika kama chombo kikubwa cha kidunia kikiangazia ishu kubwa kubwa za kidunia na kikanda tangu ihamishiwe Kenya imekuwa garasa hadi kuhoji vitu vya kitoto kama ndoa na mahusinanaleo ukurasa mzima ni maswali ya lisu na shahidi. Kweli?
Leo BBC ni kulipiza ishu za kina Hilder na Boni yai...
Najaribu kuperuzi wavuti wa BBC Swahili ila siwezi kuufikia, Nimejaribu mara kadhaa bila mafanikio ila baada ya kutumia vpn nimeweza kuufikia.
Swali kwa TCRA: Je mmefungia baada ya repoti ya BBC eye au?
Wakuu BBC wamezungumza na watu kutoka kada ya afya ikiwemo Madaktari kutoka hospitali binafsi na za serikali ambao awameeleza kuwa kumekuwa na magari yanayoenda kuchukua miili na kuipeleka kusikojulikana.
===
Toka kutokea kwa vurugu za maandamano wakati wa uchaguzi mkuu nchini Tanzania, baadhi...
Ni takribani masaa 12 sasa tangu BBC Swahili kuchapisha habari inayomhusu mfanyabiashara maarufu wa Zimbabwe, Chivayo, ikiwemo picha yake akiwa Ikulu ya Tanzania. Tukio hili limeibua mjadala mzito huko mitandaoni: watu wanahoji je, TCRA itachukua hatua sawa na zile ilizochukua dhidi ya...
Hii ni fedhea, aibu na kuporomoka Kwa ukuaji wa Demokrasia.
Kwa kuwa ni Uchaguzi wa maigizo ata media zinalipoti kiutani utani.
By the way Kuna international observers mwaka huu?
Mto wa Mbu
Mahakama kuu-DSM
---
Bila shaka wanahistoria wanaendelea kukusanya takwimu za namna uchaguzi mkuu wa...
Kutokana na habari za utekaji kutrend Leo kwenye vyombo vya habari hasa habari hiyo kurushwa na BBC.
Nikaamua niwafate BBC Swahili kupitia Star Tv Kila saa 3 kamili usiku. Cha ajabu hiyo habari ya utekaji imekatwa na star tv muda huu na kuweka matangazo TU.
Aisee hii nchi ilikofikia na mbaya...
Naomba tupate clip ya huyu Dada Stella Agara akiongea juu ya utawala ulioshindwa WA Ruto. Dada kashusha nondo vibaya Sana. Ana sema Ruto aondoke kwa kujiuzulu mwenyewe, ikiwa njia zingine zimeshindika kupitia Bunge na Senate, mpaka kazungumzia Mungu kuingilia kati.
Na kwamba fujo zina...
Nimesikiliza taarifa ya habari ya BBC Swahili Leo hii saa tatu kupitia Star tv mwandaa maudhui na mtangazaji wake wamepwaya sana hasa kesi ya Lissu walivyoitolea taarifa.
Kila haki nyuma kuna wajibu,BBC wana malengo yao kama taasisi na hili siwalazimishi kubadilika sabu wapo kibiashara,malengo...
Wakuu naomba kuuliza Sta tv na Azam king'amuzi wanahujumu bbc swahili ?!
Mara nyingi siku zenye habari nzito kwa hivi karibuni ikifika saa 3 usiku Star tv siipati kwenye kingamuzi changu.
Wakuu
Katika kusheherekea na kuadhimisha miaka minne ya utumishi wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia tangu alipoingia madarakani Samia 4x4 wakiongozwa na Mtangazaji Salim Kikeke wameandaa ziara ya matembezi ya kiburudani kuelekea Mkoani Tanga Wilayani Pangani kwa ajili ya...
Amani iwe kwenu wakuu
Kuna member wa JamiiForum aitwaye screpa alileta uzi kumhusu msanii dully skys naona leo BBC wamepita nao kiaina
Soma pia: Kwanini Dully Sykes anasema yeye ndiye Mwanzilishi wa Bongofleva?
SEHEMU YA KWANZA👇🏻👇🏻
https://youtu.be/OO2AYA3VY-Y?si=rYCwWDRt0KJognM3
SEHEMU YA PILI👇🏻👇🏻
https://youtu.be/e0MXkGVJrn8?si=56j8vHveXRune5eo
Kwa ufupi:
➡➡Amejibu na kutoa ufafanuzi wa tuhuma mbalimbali zilizotolewa na mgombea uenyekiti mwenzake Ndugu Freeman Mbowe....
Miongoni mwa tuhuma hizo...
Mwanamke wa karne ya 19 huko Yuropa ametajwa kuwa mwanamke mwenye sura 'mbaya zaidi' duniani.
Jina lake ni Julia Pastrana. Uso mzima wa Julia ulikuwa umefunikwa na nywele kwa sababu ya ugonjwa adimu wa maumbile.
Alikuwa akifanya kazi kama mwanasarakasi.
Julia alikufa mwaka wa 1860. Baadaye...
Hizo propaganda zenu baada ya kushindwa Urusi mumehamia Mashariki ya kati? Ukifungua page ya website ya bbc swahili kila kukicha Isreal hivi hivi huku ikishindwa kuandika kabisa mafanikio ya Palestina.
Licha majeshi ya Isreal kupigwa na kurudishwa nyumbani kwao ktk majeneneza lkn wamekuwa...
Nimesoma kwa masikitiko taarifa za siri za watu kutekwa nyara kuuwawa na watu wanajitambulisha kuwa polisi kwenye website ya BBC Swahili.
Taarifa ilikusanywa na mwanahabari Samy Awami na timu yake ,Samy ni mtanzania mwenzetu amefanya kazi kubwa nawaomba moderators wauweke hapa.
===========...
Kuanzia nafanya utafiti jinsi Lugha ya Kiswahili inavyaondikwa kimakosa katika mtandao wa bbc swahili
Mfano leo wameandika
Mamilioni ya watuwenye umri wa makamo wameongozwa kimakosa kuamini kuwa wao si wanene, kulinganana utafiti wa Kiitaliano ambao uliangalia mafuta ya mwili badala ya...
Ktk page yao
wanAnalalamika Palestina kupewa na Iran
. Halafu wnalalamika Ukrain kunyimwa pesa na Marekani ili kupambana na Urusi
Bbc swahili website yenu ibadilike.
Waandishi wasiwe bias.
Waislam pia tunaipitia page hio
Pasaka njema.
Waandishi waislam mnaofanya kazi humo ktk vikao vyenu...
Kwanini BBC Swahili inahimiza Islamic State wamehusika shambulio la Urusi wakati serikali ya Urusi inasema Ukraine ndio wahusika? Warusi wanahimiza Ukraine ndio wahusiks lkn BBC swahili hawataki kuripoti hivyo.
Kwanini BBC hataki ripoti badala yake wanayo yao mfukoni?
Nimesoma makala moja ya bbc swahili ikimponda sana mchambuzi na Twitter maarufu ndugu Hinkle
Hinkle alisema mashambulio ya Hamas ya October 7 yalifanywa na Isreal alikwenda mbali zaidi na kukanusha ukatili wa Hamas wa Oktoba 7, akidai watu waliohudhuria tamasha la Supernova hawakuuawa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.