bbc

  1. M

    Waandishi wa bbc swahili hawapati kumuuliza maswali trump?

    Waandishi wa bbc swahili hawapati kumuuliza maswali trump? Karibu mwezi sasa wanaandika habari za Trump 1. Ndani ya siku 1 wataingamiza Iran 2. Ndani ya siku 10, mara wiki 2, mara siku 5, mara siku 30 Yaani ukisoma page yao ukiamka ndio habari hizo tu. Jee hawapati ya kumuuliza maswali? Huyo...
  2. Wakusoma 12

    Wanajeshi wa Urusi waliiambia BBC: 'Tulishuhudia wenzetu wakiuawa kwa amri ya makamanda wetu'

    Dima anasema alishuhudia askari mwenzake akiuawa kwa amri ya moja kwa moja ya kamanda wake. Dima anasema alishuhudia askari mwenzake akiuawa kwa amri ya moja kwa moja ya kamanda wake. Maelezo kuhusu taarifa Onyo: Taarifa hii ina maelezo ya vurugu iliyokithiri na marejeleo ya kujiua...
  3. Genius Man

    Inadaiwa umoja wa mataifa umeitaka mamlaka ya Tanzania imuachie Lissu mara moja kutokana na habari zinazosambazwa na BBC, DW

    Inadaiwa umoja wa mataifa umeitaka mamlaka ya Tanzania imuachie Lissu mara moja kutokana na habari zinazosambazwa na BBC, DW Vyombo hivi vimekuwa viki ripoti habari zote ya kinacho endelea mahakamani na inaonesha kwamba kesi ni ya uongo hali ambayo imechochea shinikizo la kimatifa kutaka Lissu...
  4. USSR

    BBC Swahili imekuwa too cheap hadi kuchapisha ishu za dodoso la Lissu kule mahakamani, what went wrog ?

    Ili heshimika kama chombo kikubwa cha kidunia kikiangazia ishu kubwa kubwa za kidunia na kikanda tangu ihamishiwe Kenya imekuwa garasa hadi kuhoji vitu vya kitoto kama ndoa na mahusinanaleo ukurasa mzima ni maswali ya lisu na shahidi. Kweli? Leo BBC ni kulipiza ishu za kina Hilder na Boni yai...
  5. Digaller

    Tovuti ya BBC Swahili imefungiwa Tanzania

    Najaribu kuperuzi wavuti wa BBC Swahili ila siwezi kuufikia, Nimejaribu mara kadhaa bila mafanikio ila baada ya kutumia vpn nimeweza kuufikia. Swali kwa TCRA: Je mmefungia baada ya repoti ya BBC eye au?
  6. Genius Man

    Mafwele amendelea kutuhumiwa na utekaji

    Kutoka na ripoti na Kwa taarifa za kuaminik zisizo na mashaka kutoka BBC afisa wa juu wa jeshi la "Mafwele" ameendelea kutuhumiwa na utekaji
  7. O

    State of Fear: Inside Tanzania's Enforced Disappearances - BBC Africa Eye Documentary

    "When Samia Suluhu became Tanzania’s first female president in 2021, after the sudden death in office of her predecessor, there were hopes that her presidency would mark a break from authoritarian rule. She lifted a ban on opposition rallies, allowed the media to operate more freely, and called...
  8. T

    Misheni ya siri ya kuusafirisha mwili wa Rais nyumbani - Rubani aifichulia BBC

    Takriban miaka 31 iliyopita, marubani wawili wa Kenya, Hussein Mohamed Anshuur na Mohamed Adan, walitembelewa na mgeni ambaye hawakumtarajia katika ofisi yao katika Uwanja wa Ndege wa Wilson, nje kidogo ya jiji la Nairobi. Ni mwanadiplomasia wa Nigeria, ambaye aliwaomba kumfanyia kazi nyeti na...
  9. T

    Misheni ya siri ya kuusafirisha mwili wa Rais nyumbani - Rubani aifichulia BBC

    Takriban miaka 31 iliyopita, marubani wawili wa Kenya, Hussein Mohamed Anshuur na Mohamed Adan, walitembelewa na mgeni ambaye hawakumtarajia katika ofisi yao katika Uwanja wa Ndege wa Wilson, nje kidogo ya jiji la Nairobi. Ni mwanadiplomasia wa Nigeria, ambaye aliwaomba kumfanyia kazi nyeti na...
  10. Genius Man

    BBC, DW, CNN wapuuzia taarifa za maandamano ya watu 100 waliojitambulisha kama Wakatoliki huku Vyombo vya Habari vya ndani vikiripoti

    BBC, DW, CNN wapuuzia taarifa za maandamano ya watu 100 waliojitambulisha kama Wakatoriki huku vyombo vya habari vya ndani vikiripoti. Aidha waandanaji hao baada ya kuulizwa kuhusiana na vitbulisho hawakutoa ili kuthibitisha ushirika wao na kanisa hilo.
  11. Genius Man

    BBC: Habari za Polisi wa Tanzania kuhusu ukatili wa Oct 29 zimesomwa sana kwenye chombo chao hicho cha kimataifa

    BBC: Habari za polisi wa Tanzania kuhusu ukatili wa Oct 29 zime somwa sana kwenye chombo chao hicho cha kimataifa cha BBC.
  12. stakehigh

    BBC wamelipia tangazo insta kuonyesha maandamano yalivodhibitiwa

  13. funaku

    Rais wa Marekani Donald Trump aishtaki BBC akidai fidia ya Dola Bilioni 10

    Rais Donald Trump amefungua kesi ya kashfa dhidi ya BBC katika mahakama ya shirikisho ya Miami, akidai fidia ya hadi dola bilioni 10. Trump anaituhumu BBC kwa kuandaa makala ya Panorama iliyoonyesha kauli zake za Januari 6, 2021 kwa namna iliyohaririwa vibaya, na kufanya ionekane kama...
  14. stakehigh

    Mdahalo wa BBC kuuliza wakenya wanataka nini, wakina Karua mwishowe wameumbuka

    https://youtu.be/ombHjfUoaiQ
  15. R

    Mapinduzi Benin: CNN, BBC, ALJAZERA sijawasikia wakitanyaza habari hizi

    Ina maana this is not great news? Mapinduzi Benin: CNN, BBC, ALJAZERA sijawasikia wakitanyaza habari hizi
  16. Genius Man

    PostGE2025 CNN, BBC, DW na vyombo vingine vya kimataifa vyaripoti barua ya Mange kwa Trump

    CNN, BBC, DW na vyombo vingine vya kimataifa vya ripoti barua ya mange kwa trump, je gen z kupata support ya trump ni ushindi kuelekea #D9? Trump anaweza kushinikiza uchaguzi huru na wa haki kwa masaa 24 tu urudiwe. Gen z kuendelea kumuita trump huku mamlaka zake kuendelea kutathimini uhusiano...
  17. Madwari Madwari

    Wale mnaotaka utajiri wa ndumba na kuloga BBC wamewaletea solution

    Hii hapa documentary toka BBC ikielezea kuhusu ndoto za utajiri kupiti ushirikina. https://www.youtube.com/watch?v=EjDe1D8NlOY
  18. Genius Man

    PostGE2025 BBC waendelea kuianika serikali ya Tanzania kimataifa baada ya serikali kutaka iache kuchapisha habari za mauaji kipindi cha uchaguzi

    BBC waendelea kuianika serikali ya Tanzania kimataifa baada ya serikali kutaka iache kuchapisha habari hizo za mauwaji kipindi cha uchaguzi. Aidha serikali haijakanusha uwepo wa mauwaji ya kutisha oct 29, hata ndugu samia alitoa pole bungeni kwa watanzania waliofiwa. Post ya BBC muda mchache...
  19. R

    In science kuna kitu kinaitwa confirmatory test. BBC, CNN and the like zinaangukia katika kundi hilo

    CNN, BBC, ALJAZERA and the like ni confirmatory test for the authenticity of the news. CNN akisema basi mchezo umeisha! Rome has spoken; the cause is finished” or in Latin ” Roma locuta; causa finita est
  20. R

    PostGE2025 Msemaji mkuu wa Serikali Gerson Msigwa awahakikishia watalii usalama na kupuuza taarifa potofu

    Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akizungumza na Vyombo vya habari leo Novemba 23, 2025 amewahakikishia watalii wote kutoka mataifa mbalimabali kuwa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania inawakaribisha wote nchi yetu itabaki kuwa ya amani na wazi kupokea wote wanaowiwa kuja...
Back
Top Bottom