Barcelona anapewa nafasi kubwa kushinda gemu ya leo kwa sababu wana mchezaji bora duniani Messi na faida ya kucheza nyumbani lakini Zidane amesema Yes we can kwenye interview leo so inawezekana ikawa mechi ngumu kwa timu zote. tukae hapa maana gemu ina dakika chache inaenda kuanza.
Barcelona wenzangu Valencia wametupiga 2-1 mchezo wa fainali kombe la mfalme, nilivyoyaona magoli yote mawili tuliyofungwa ni uzembe wa wazi wa defenders ukiongozwa na Pique, hivi lini tutaimarisha ukuta wetu? Huyu Pique anasubiri nini kutimuliwa?
Ameshafungisha goli nyingi hadi sasa lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.