A barabara or barabora (Russian); ulax̂, ulaagamax, ulaq, or ulas (plural) (Aleut); and ciqlluaq (Alutiiq ~ Sugpiaq) were the traditional, main or communal dwelling used by the Alutiiq people and Aleuts, the indigenous people of the Aleutian Islands. They lay partially underground like an earth lodge or pit-house, and most of the house was excavated from the dirt so as to withstand the high forces of wind in the Aleutian chain of islands. Barabaras are no longer used, as present-day Aleuts live in modern houses and apartment buildings.
Niaje wakuu, mimi ni mkazi wa Kigoma Mjini, kuna hii barabara mpya ya lami ambayo inapita katika mtaa wa Saigoni Kigoma mjini, naomba mamlaka husika zifanyie kazi suala la kuweka matuta katika hii barabara mpya kwa sababu magari na pikipiki zinashuka kwa kasi sana.
Tuna watoto zetu na wake zetu...
Rais Magufuli leo anaanza ziara ya siku tatu mkoani Dar es Salaam ambapo atafungua miradi mbalimbali.
Kituo kikuu kipya cha mabasi ya mikoani Mbezi ni moja ya miradi itakayofunguliwa leo.
===
MATUKIO MBALIMBALI YALIYOJIRI:
Rais Magufuli amewasili Ubungo tayari kabisa kufungua barabara za...
Wana jf,
Waziri wa miundombinu kakague lami inayojengwa Lugalo jeshini, sehemu iliyomalizika ina mawimbi ya kufa mtu. Watanzania wa sasa tuko macho hatuibiwi kodi, Lami mbovu mno haitamaliza mwaka, waoondoeni au wairudie.
Ushahidi nenda mkajionee msijesema hamkuona.
Wiki iliyopita ililipotiwa hapa jukwaani kuhusu wakazi wa Kariakoo Tabora kata ya Kitete wakilalamikia kanisa lililojengwa katikati ya barabara na kupiga muziki mkubwa sana masaa 24
Sakata limeingia sura mpya baada mchungaji Jackson wa kanisa hilo kuonyesha jeuri na kuwaweka viongozi wote wa...
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Kunenge amekagua ujenzi wa barabara ya Mwinyijuma Mwananyamala na kusikitishwa na kusuasua kwa ujenzi huo.
Kunenge ameagiza Mkandarasi afanye kazi usiku na mchana na ahakikishe amekabidhi barabara hiyo ifikapo 30/6/2021 ikiwa imekamilika vinginevyo...
Tetesi za Raisi Magufuli kutembelea Temeke zazua taharuki barabara zaanza kutengenezwa usiku na mchana nyingi zilikuwa mbovu na midimbwi kibao nimepita leo Tandika nikashangaa nikaambiwa kuna tetesi Rais atatembelea Temeke.
Watendaji ofisini hawaonekani wanashinda site kusimamia kazi.
Raisi...
Habari wadau wa ufugaji. Natafuta shamba liwe karibu na barabara za mitaa kiasi nilichonacho ni laki na nusu kwa kila heka. Nahitaji heka kumi. pia lisiwe Na migogoro yeyote.
Hii barabara kwa Muda mrefu sana imekuwa ikizalisha foleni kutokana na ubovu wa hiyo barabara. Ukianzia kipande cha kutoka kona ya uwanja wa taifa au ukianzia JKT Kuelekea VETA hiki kipande kimekuwa kikitupatia sana usumbufu sisi Abiria na watembea kwa miguu kipande hiki kinazalisha foleni...
Nikiwa Tabora ambapo nilikwenda kwenye msiba wa rafiki yangu aliyefiwa na mama yake mwezi huu. Nilikutana na kituko cha mwaka ambapo tukiwa hapo msibani ulisikika muziki mkubwa sana kiasi ambacho huwezi kuongea na mtu jirani yako, huwezi kupokea simu au kusikiliza simu. Nilipouliza nikaambiwa...
Habari za jioni wakuu
Nimeona taarifa za msiba za huyu mheshimiwa naibu Waziri wa zamani na sababu ya kifo chake imeelezwa ni ajali..
Binafsi sijawahi hata kuona picha wala hababri kuhusu hii ajali yake inayotajwa kuondoa uhai wake, hii ni ajali kweli au ni futa linatumaliza huku tukificha...
Mbunge wa Morogoro kusini Mashariki Mh Taletale ameitaka Serikali ishirikiane naye waweze kuleta mkandarasi wa kujenga barabara za jimboni kwake kwa utaratibu wa Finance and Building.
Naibu waziri wa ujenzi alimjibu Taletale kwamba serikali ina utaratibu wake katika kutafuta wakandarasi na...
Kuna kiwanda kimoja maeneo ya Kunduchi Salasala kinachotumia nishati ya makaa ya mawe (coal) kuzalisha bidhaa za sabuni.
Ni hivi majuzi kimeanzisha utaratibu wa kusambaza, kwa kutumia magari ya kiwanda, masalia ya coal iliyotumika (coal ash) na kuyamwaga katika Barabara za mitaa.
Kabla ya...
Mbunge wa Kawe baba askofu Gwajima amesema jimbo lake la Kawe lina barabara zenye urefu wa takribani kilomita 1400 sawa na umbali wa kutoka DSM hadi Kigoma lakini Tarura wamepewa bajeti ya kukarabati kilomita 130 tu.
Gwajima amesema hii haikubaliki na kuwataka watu wa Tarura kujiongeza kwani...
Naandika kukufahamisha Meneja wa TARURA Morogoro kukufahamisha kuwa kama umekaa ofisini nenda site kasimamie kazi, tunashukuru serikali imetoa fedha kwaajili ya ujenzi wa barabara hiyo lakini yaelekea kuna fedha inaliwa na wajanja.
Haiwezekani kampuni ikapewa kazi ya kujenga barabara bila...
Nimekuwa nikipigia sana kelele suala la kuwa na barabara ambazo zimepakwa lami na baadaye kuja wekewa matuta Serikali iziangalie.
Ni mwaka wa tatu huu napata changamoto kila napowaza kununua gari za chini zenye speed.
Ukiangalia barabara nyingi za hapa TZ ni kama barabara za lami.ila watu...
Ukanda huu tunazidi kuufungua. Uzuri Sudan Kusini walishaacha kupigana pigana, ni mwendo wa biashara na amani sasa.
=====
Northern Kenya is undergoing a transformation following the upgrade of a key link road between Kenya and South Sudan.
The South Sudan Link road project is being undertaken...
Imenipendeza kutoa maoni yangu kupitia jamiii forum.
Hapa Dodoma imekuwa jiji na makao makuuu ya nchi. Ushauri wangu kwa wahusika, barabara kuu kutoka Dodoma kwenda Dar ni ya siku nyingi sana.
Hivyo ujio huu wa makao makuu imezidiwa sana na magari,hasa kipindi cha asubuhi na jioni na...
Wana JF,
Kilio cha siku nyingi bila mafanikio sasa kinaonekana kuwa kibaya zaidi baada ya watu wengi kuitikia wito wa kujenga nyumba kwenye viwanja vyao vilivyopo Tegeta boko bunju ununuo mbweni na mabwepande, Ni dhahiri shahili kuwa watu ni wengi hitajiko la soko kuu na barabara line mbili...
Kwa wakazi wa mikoa ya Mwanza,Geita na Kagera wanafahamu umuhimu wa hii barabara hasa kwa uchumi wa eneo hili. Maana ni njia muhimu sana katika kusafirisha watu na bidhaa hasa kwa eneo hili.
Hii barabara ilikamilika mwaka 2008 na hapo ndipo ilichochea maendeleo hasa sehemu ilizopita.
Kabla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.