masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Katika miaka 25 ambayo Magufui amekuwa kinara wa ujenzi wa mabarabara nchi, barabra ya Busokelo -Tukuyu imetia fora kwa kusuasua! Hivi leo ni mwaka wa 26 sasa, hakuna fedha zinenda kwenye mradi wa barabra hii muhimu.
Wananchi wamelia na serikali lakini wapi.
Jionee mwenyewe Mwenyekiti wa Halmashauri Busokelo akilalamika kuwa barabara zingine za makilometa 100 zinatengewa fedh na zinakamilika, lakini si hii barabara.
Kunani TANROADS?
Tazama video hii
Wananchi wamelia na serikali lakini wapi.
Jionee mwenyewe Mwenyekiti wa Halmashauri Busokelo akilalamika kuwa barabara zingine za makilometa 100 zinatengewa fedh na zinakamilika, lakini si hii barabara.
Kunani TANROADS?
Tazama video hii